Nimepoteza kazi na Nina balance ya 500,000/- pekee

Nimepoteza kazi na Nina balance ya 500,000/- pekee

Kwa fedha iyo kitu unaweza fanya nibbiashara ya umachinga....

Ulizia maduka ya jumla ya machinga, nunua bidhaa za electronics kama viredio, memory cards, betri, toch za kucharge, chache ambako automaliza 200k,

Tafuta ratiba za minada na masoko ya vijijini unakua unaenda, pia kupiga door to door mtaan wakati unapambania vitu vingine, ukiwa mwongeaje mziri na mchesh kwa siku ukosi 15 kuendelea juu as a profit.

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Asante mkuu,
To be specific nilikuwa nafanya kazi ya ukusanyaji wa ushuru wa halmashauri na mkataba umeisha. Elimu yangu ni shahada ya Sayansi Akua na Uvuvi (Bsc. Aquatic sciences and fisheries) na ajira bado ni mtihani.

Elimu yangu kwa sasa sio ishu sana, ishu ni nini nifanye Ili nisurvive, nitazingatia ushauri wako kaka
Zama karume sakumi usiku chukia madundo makali na viatu vya watoto.kisha tembeza mitaani
 
@Mtafutaji Asiyechoka +@genius mvivu = ....................

Nawaachia wengine waje kumalizia

Ila mkuu fuata ushauri wa genius mvivu apo nenda ukafuge wala usiogope ufugaji huo huo utakusaidia

Kikubwa Muombe Mungu akusaidie

Same ID[emoji28][emoji28]
 
Asante mkuu,
To be specific nilikuwa nafanya kazi ya ukusanyaji wa ushuru wa halmashauri na mkataba umeisha. Elimu yangu ni shahada ya Sayansi Akua na Uvuvi (Bsc. Aquatic sciences and fisheries) na ajira bado ni mtihani.

Elimu yangu kwa sasa sio ishu sana, ishu ni nini nifanye Ili nisurvive, nitazingatia ushauri wako kaka

Unaelimu nzuri hivyo,jichanganye kisiju au kilwa upige biashara za samaki.
 
Njo o safri Hadi hapa bambalaga ddm utanikuta nikupe kazi hapo Walter Reed
 
Kwa kuongea Ni rahisi
emoji23.png
emoji23.png
[emoji2

Kwa kuongea Ni rahisi [emoji23][emoji23][emoji23]
Uvivu ,ujinga,ulofa,ufala,uzembe,uchekibobu,usisterduu.mwisho wa siku ni kuzibuliwa mitaro...sasa upo hivi aende karume sakumi na nusu usiku.yeye asigonbania kwa sababu hajui namba ya kununua na nimgeni.aende kwa mapointer watamuuzia Ila Bei zimechangamka.kiatu Cha mtoto kwa pointers achukue kuanzia 7000 hadi 14000.

Kiatu Cha mtu mzima anunue kuanzia 15000 hadi 20000.hapo achukue viatu vya maofisini.raba za mazoezi aanzie kumi na kuendelea na sneakers za kibishoo aanzie 20000. Size zenye wateja kwa raba za kike ni kuanzia 36 mpaka 42...viatu vya ofisini vya kiume size 40 mpaka 44.viatu vya watoto 24mpa32.pia kama viatu vya watoto akipata sando itakuwa make zaidi..

Akimaliza avae smart apendeze awekw mzigo kwenye begi.atembee ofisi kwa ofisi haza zenye watu wengi.atafute namba ya kupenya manispaa Mana zipo nyingi tu.aende gym hasa zile high quality.n b awe na mkono mwepesi kuwatoa watu kwenye maeneo hayo ili wamruhusu kuingia ..naikumbuka nilienda shirika x nikahonga 60000 kupata namba ya kupenya..dahhh it was amazing.

Tena wakikuelewa wakaweka oda kabisa na saa zingine wanakutumia kabisa pesa ununue mzigo walioutaka . Sitomsahau mrembo alienituma nimtaftie Ile Nike ya Ronaldo ya kuchongoka kwa nyuma..hope wakulungwa mnajua Bei yake..alafu nikaja kuigumia kwa mwana Bei cheeee Yani 70000 tu.
 
Wakuu habari zenu, nlikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.
Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.
Naombeni ushauri wakuu[emoji120]
Welcome to the world.
 
@Mtafutaji Asiyechoka +@genius mvivu = ....................

Nawaachia wengine waje kumalizia

Ila mkuu fuata ushauri wa genius mvivu apo nenda ukafuge wala usiogope ufugaji huo huo utakusaidia

Kikubwa Muombe Mungu akusaidie
Sasa akianza kufuga na hiyo hela ambayo pia anaitegemea kwa mahitaji na hawezi kupata faida siku hiyo hiyo. Atafanyaje?
 
Wakuu habari zenu, nlikuwa nafanya kazi ndogo sehemu fulani na ilikuwa inanisaidia sana kupata mahitaji muhimu. Kazi yetu ni ya mkataba na umeisha mwezi uliopita, tumejaribu ku-renew lakini uongozi hauna mipango na sisi Tena.
Kazi haina mafao na hivyo nimetoka kama nilivyo na hiyo laki 5 niliyosave, Nipo stuck sijui nianzie wapi!
Nipo Mkuranga, Pwani.
Naombeni ushauri wakuu[emoji120]
Kimsingi kazi ni mbegu...
Hiyo uliyonayo Anza kuzungusha ikue.
 
Agiza belo la Mtumba fasta ila sio lolote uliza ni mavazi gani ni hot sale Anza na hilo ukifikisha 50m nitafute nikupe idea inayolingana na 50m
 
Asante mkuu,
To be specific nilikuwa nafanya kazi ya ukusanyaji wa ushuru wa halmashauri na mkataba umeisha. Elimu yangu ni shahada ya Sayansi Akua na Uvuvi (Bsc. Aquatic sciences and fisheries) na ajira bado ni mtihani.

Elimu yangu kwa sasa sio ishu sana, ishu ni nini nifanye Ili nisurvive, nitazingatia ushauri wako kaka
Umeshafanya kosa, usijaribu kufanya kosa tena.
Unalijua kosa?
Ulipaswa kuwaza nini cha kufanya mkataba wako ukiisha siku ile ile ulipopata mkataba na sio siku mkataba wako ulipoisha.

Kukusaidia tu, kwa sasa waza ulikuwa unaishi vipi kabla ya kupata hiyo kazi, na hapo ndio pa kurudi na kuanzia. Sio vibaya kurudisha mpira kwa kipa na kuanza upya.
 
Nenda kalume pale asubuhi sana,, mida ya saa kumi hivi,, nunua viatu vya mtumba vya watoto na watu wazima tafuta ratiba za magulia hukohuko unapoishi nenda kawauzie,,, lakn kabla ya yote fanya research kwanza kwenye minada raba gani wanapendelea kuvaa, hii itakuraisishia kununua raba kulingana na mahitaji ya wateja,,, raba unazotakiwa kununua ni za bei ndogo coz wa tu vijijini hawanunui sana raba za bei kubwa,,, viatu vya watoto nunua kuanzia buku3 hadi 4 wakati vya wakubwa elfu4 hadi elfu6,, hapo vya watoto utauza elfu 7 hadi 8, wakati vya wakubwa kuanzia buku 10 had 15 anategemea mteja amekujaje,,,, Mimi ndio biashara inayoniendeshea maisha na inafaida nzur sana kana utaifanya kiuweledi
 
Back
Top Bottom