Hunteroflove
Senior Member
- Sep 18, 2014
- 126
- 92
Kama mada inavojieleza hapo nimepoteza Receipt ya fees Ya chuo yaani baada ya kulipa bank kwa account ya chuo unaenda kupeleka receipt chouni ya bank na sikuwahi kuitoa copy hivi nikienda bank wanaweza kunisaidiaje kwa tatizo hili