Nimepoteza vyeti, msaada

Kidzukulu

Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
12
Reaction score
0
Naitwa Williard Maimu, ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro.

Nilipoteza vyeti vya kidato cha nne, sita, diploma na cheti cha kuzaliwa. Naombeni msaada nawezaje kuvipata.
0714460301
 
utapata cha kuzaliwa hivyo vingine sahau.fanya process za kuripoti polisi,kutoa matangazo kwenye gazeti la serikali ukaestandby kwa kila anaehitaji cheti chako unaambatanisha nakala za hivyo vitu(tangazo gazetini na ripoti ya polisi) pamoja na fee itakayohitajika na fomu utajaza unapeleka mamlaka husika kama ni necta au tcu watatuma taarifa za matokeo yako sehemu zinapo hitajika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…