Nimepungukiwa 200 tu, kakataa kuniuzia chakula

Nilishajifunza kusaidia wanaume, hata hatokusaidia wewe ila atasaidia wanaume wengine kama alivyofanua huyo mshikaji.

Wanaume ni watafutaji, wanajua kuna kukosa.

Napiga mbusus kwa pesa zikiwepo, sitaki urafiki nao.

Key word: saidia wanaume.
 
Nilishajifunza kusaidia wanaume, hata hatokusaidia wewe ila atasaidia wanaume wengine kama alivyofanua huyo mshikaji.

Wanaume ni watafutaji, wanajua kuna kukosa.

Napiga mbusus kwa pesa zikiwepo, sitaki urafiki nao.

Key word: saidia wanaume.
Kabisa mkuu afu nimechunguza wanaume hatunaga noma, kuona mshikaj mwenzako anaumbuka nilazima umnasue
 
Sasa nimelewa kuwa watu wanastahili kupuuzwa,huna maana na ni dhahiri kuwa wewe ni mpuuzi tu.Ulipoandika uzi mreeeeefu kuwaponda walimu nilidhani una maisha mazuri kuwazidi,Kumbe zile zilikuwa tu stress za kushindwa maisha.Pole aisee
Nahitaji hata watu Mia wa kunipuuza nione madhara yake, ili nijifunze
 
Nilishajifunza kusaidia wanaume, hata hatokusaidia wewe ila atasaidia wanaume wengine kama alivyofanua huyo mshikaji.

Wanaume ni watafutaji, wanajua kuna kukosa.

Napiga mbusus kwa pesa zikiwepo, sitaki urafiki nao.

Key word: saidia wanaume.
Huna marafiki wa kike? Hutaki mazoea nao hata kanisani kwako au msikitini unakoswali? Duh! So huna kabisa marafiki wasichana hata wa kubadilishana mawazo na hata kutaniana kidogo?
 
Mkuu kwa maelezo yako hujawahi kumsaidia pesa bure. Ulikua ukimkopesha kuna wakati alilipa pesa na kuna wakati alilipa utupu wake. Hapo haujamkopesha. Wewe safari hii ndio ulitaka huduma kwa mkopo wa 200 ambao kwa kuwaza kwake aliona ukishindwa kulipa hawezi kukulipisha kwa utupu ndio maana alikataa.
 
🤣🤣🤣bishara imekuwa ngumu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…