Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Interchange ilikuwa ya Kikwete, na hela ilishatoka ikabidi ajibaraguze humohumo, na hiyo barabara ilikuwa ya Kikwete pia, Taja mradi ambao aliuanzisha na ukaisha ndani ya miaka mi5 yake ya kwanza....
Mingi tu mkuu. Hakujenga barabara peke yake kajenga madaraja makubwa kama lile la Busisi.

Inabidi uniambie tofauti ya Kikwete na Magufuli wakiwa wanatekeleza ilani moja CCM, ubinafsi na chuki zetu zinatufanya tushindwe kuuelewa ukweli huo. Ni sawa umtofautishe Mama Samia na JPM wakati wanatekeleza ilani ile ile ya chama kile kile.
 
La Busisi limeisha? Angekuwa Magu angelitupilia mbali huko, all in all tupambane nchi yetu isonge mbele!! Tukisema huyu alifanya hiki na yule alifanya kile hiyo ligi haiwezi kuisha!!
 
Hakika wewe ni popoma maandazi kutoka Rwanda, jingaman wewe
 
Daaaaa Hadi nimetokwa machozi mkuu huwezi amini,daaaaa baba katuacha yatima aiseee Leo hatuna mkombozi sisi wanyonge wa nchi hii nadiriki kusema Magufuli alikua zaidi ya Masihi wa Mungu watanzania tumepoteza jembe a.k.a Jiwe kweli mwamba imara kabisa ila ukavunjika Kwa nyundo Moja tu Tena ya mbao!

Najua wendawazimu wataniunga mkono ila ukweli naujua Mimi!
Mnyonge!
Mnyonge!
Mnyonge!
Narudia Mnyonge nadhani tumeelewana ndugu zanguni wa UFIPA!
 
Mtu ametawala miaka mitano tu lkn tuliona nchi ikibadilika ki maendeleo hasa kwenye miundo mbinu........
CDM walivyokuwa wanafiki eti wanakwambia tunataka maendeleo ya watu sio vitu.......maendelea ya watu utapataje bila maendeleo ya vitu!!??
kwamba mtu anaweza kuendelea alafu hana kitu dah
 
Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Wewe fala kweli kweli,kwa hiyo Magufuli alikuwa mwema? Tanzania ina watu wenye laana kubwa Kama wewe,Sabaya alifugwa na nani? Kuna Rais aliyeibia nchi Kama Magufuli?
Mijitu ya hovyo sana nyie
 
Ulikuwa unamwabudu kumbe? Haya hamia Chato kwenye kaburi lake kabisa,ukaweke na godoro juu ya kaburi lake uwe unalala hapo, kwanini hukuomba uzikwe naye?
 
Wewe fala kweli kweli,kwa hiyo Magufuli alikuwa mwema? Tanzania ina watu wenye laana kubwa Kama wewe,Sabaya alifugwa na nani? Kuna Rais aliyeibia nchi Kama Magufuli?
Mijitu ya hovyo sana nyie
Lete takwimu zinazoonyesha wizi wa kila Rais na sio kuropoka ropoka tu hapa!
 
Kwangu mimi JPM JPM alikuwa rais muuaji, mwenye chuki kali sana kwa wanamkosoa na kumpinga, mbinafsi aliyepitiliza kiwango cha kawaida na mungu mtu aliyependa kusujudiwa mpaka na nzi. MUNGU AMEWATENDEA HAKI WATANZANIA.
Huwezi kubadilisha legacy ya Magufuli kwa hizi propaganda zako za kinafiki zilizotengenezwa kwa chuki kwa kugeuza ukweli kuwa uwongo
 
Halafu unakuta mtu Kama wewe eti ni University graduate, yaani Elimu imekufa inatoa vijana mabazazi tupu.
Nchi huimarika kwa sababu ya katiba nzuri siyo kwa sababu ya mtu mmoja, poor reasoning capacity
 
Masikitiko ya watu zaidi ya mil 50 mungu aliyasikia na akajibu kwa mda wake sasa endelea kupoteza bando kwa kufanya ibada za wafu
Ila hadi hajibu majibu ya kuindoa ccm ambayo ndio chanzo cha matatizo karibu yote hayo.
 
Chief unamlilia kwa lipi huyo jamaa yako? Unaweza hata kuorodhesha mawili matatu
kamuulize yule mama kipofu aliyedhulumiwa au yule mama aliyepewa bajaji kumsaidia, sisi tukisema utatuona waongo
 
Ni kwasababu ni WAKRISTO a.k.a (RC) lazima uwasifia kwa njia yoyote na hiyo ndio mlivyo fundishwa na mnaendelea kufundishwa na hiyo ndio utaratibu wa (RC) unajulikana hapa TANZANIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…