Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Sasa kama Mungu alimuondoa Magufuli kutokana na maombi ya watu iweje asiondoe na ccm ambayo chanzo cha matatizo yote hata huyo Magufuli kapatikana kwa sababu ya ccm?
Kabla ya Magufuli watu wamekuwa wakiomba ccm ing'oke ila hadi leo ipo.
Nani alimuombea mwenzake kifo kikatimia?
 
Sasa yanipendeze kwa lipi? muhimu hapa ni kwamba kwenye kila utawala lazima tu kuna watu watashughulikiwa kama akina Ulimboka na Lissu.
Huo umuhimu wa kipumbavu ndio unaoutufanya tumuone magufuli alikuwa mshenzi tuu.sasa hakutaka siasa za vyama vingi si wangetoa kwenye katiba?
 
NENO LA UKWELI SIYO ZURI ,, NA NENO ZURI HALINA UKWELI NDANI YAKE....
[emoji654]
nb [emoji654]ishi ulaumiwe, kufa usifiwe..
 
Acha kujipendekeza kwa MAREHEM huo ni uzandiki...
 
Watu walivyokuwa wanasema magu kauliwa si ulimsikia mama alivyosema.
 
Mipango yaanzia mbali kwa wale wote waloonekana wakwamishaji.

1. Nkuruzinza ilikuwa onyo.

2. Mkapa asingependa kuona JPM hafiki 2025, hivyo alikuwa kikwazo kwao.

3. Mahiga mshauri mzuri tu wa foreign policy na namna ya kuiongelea

4. Kijazi mpangaji mipango na michoro yote ya miundombinu na JPM akasema huko nje walikataa kutoa ushauri wa kitaalam.

5. Na wengine wa karibu zaidi pale mjengoni.

6. Mzee Madevu akamaliza mchezo baada ya kuona chuma kimekaza hakitaki mipango ile ya kudungwa.

Yeye alikwea pipa kabisa kwenda kulekule eneo la tukio.

7. Mfugale alikuwa ana plan yote ya miundombinu ya nchi hii na alianza kukataa kutoa ushirikiano, hivyo akatangulizwa.

8. Tshekedi mwanzo alisita lakini kama ninyi vijana ni wafuatiliaji basi jikumbushe kisanga kilichotokea baada ya yeye kukataa mpango.

Baadae Tshekedi akasalimu amri na akarudi kwenye mpango na leo wacongo wengi ni nguruwe wa majaribio.

9. M7 yeye akasema umri umeenda hivyo he has nothing to lose akakubali kupokea mpango.

Hii mipango ina kamba ndefu zinazotokea mbali na remote control zote wamegawiwa akina Abdalah Salum pale Kisiju Pwani.

10. PK hana shida ila alitaka kutoa msaada lakini akasita na hata hakuja kwenye maziko kwa kuhofia yale yalotokea mwaka....... pale ........

Hivyo ndovyo hali halisi ilivyo ndugu zangu, ila tunaojitambua tunawasikitikia watanzania walo na maisha ya chini.

Wao ndo watokamuliwa mpaka ifike wakati walie kwa yowe ya ajabu.
 
Hao wote uliowataja corona ndio imewaondoa msitafute mchawi

Muhimu kuondoa utata. Tarehe 12/03/21. Watanzania wengi walishajua ameshafariki.

Wengi walikuwa wanaongea public kama kina Lissu tena akisema kwa kujiamini kabisa ana source za kuaminika, Sarungi, na wengine. Walipata wapi hizo habari?

Pamoja na kwamba tulidanganywa na Majaliwa alisema anapitia mafaili akiwa msikitini Samia akiwa Tanga alisema anawasalimia. Kuna uwezekano hawakujua ukweli.

Inawezekana vipi watu nje ya system wakajua ukweli wa ndani wasijue.

Ilifikia mahali kulikuwa hakuna jinsi lazima kutangaza.

Muhimu for sake and integrity of Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukweli ukawekwa wazi.

Sababu inaweza kutokea tena kwa Rais wa sasa au mwingine ajaye. Hivyo ni muhimu wananchi wajue ukweli wawe na uhakika na imani hakuna watu juu, chini shadowy parallel government.
 
Madevu ni mzee wa sawa sawa au
 
Wakati unamlilia huyo pia usisahau kumlilia AZORY GWANDA aliyepatikana kinyama.
Usisahau kumlilia Been saa NANE ambaye huenda mwili wake ulikuwa Ni moja ya viroba vya bahari ya Hindi.
Usisahau kumlilia Simon kinguye ambaye alipotezwa pia huenda mwili wake ulikuwa sehemu ya miili ambayo mnyama fisi alifanya kitoweo baada ya kusogezewa msituni.

Kila linapotejwa jina la huyo marehemu naona hakika MUNGU wetu hakufanya kosa kumuondoa.

Rip JPM kazi yako imetufanya tuamini ukuu wa Mungu wa mbinguni.
 
Hakuna kitu chema kama kuwa na Rais mwenye msimamo sio yule anaepelekeshwa na kukubali kila kitu. Hapa Magufuli alikuwa na upekee, alijua ni wapi tusimame kama nchi bila kujali wazungu watasema nini as long as Maslahi yetu ya nchi yapo kwanza. Hakika atabaki kuwa Rais bora wa muda wote
 
Hata tulioichukia CCM kwa dhati alibadili kabisa fikra zetu. Pamoja na mapungufu ya ubabe wa kupitiliza lakini nchi ilifikia hatua ya kuhitaji ubabe ule. Rest in peace JPM!
Mimi nipo siku nyingi hapa, tulipiga sana kelele kwamba nchi hii inahitaji raisi Dikteta na kwamba JK alikuwa raisi dhaifu.

Kilichonishangaza ni pale nilipomsikia JK alisema "nimewaletea chuma hicho", unafiki wa kiwango cha juu.

Ila nikakumbuka hii kitu kuna kitu chaitwa Collateral yaani dhamana.

Ni mkataba wa kukopeshana au kuazimana kitu, fedha, mali au hata watu.

Anekopa anatoa rehani mali yake ili aweza kuupata huo mkopo labda tusema nyumba.

Kwahio dhamana hapo ni ile nyumba kwamba mkopeshwaji akishindwa kutimiza masharti ya mkopo na kumlipa yule mtoaji au principal, basi ule mkopo waondolewa na kufutwa.

Sasa hapo tuangalie mtoaji mkopo ni nani, mkopo ni upi, dhamana ni nani na masharti ni yepi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…