Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Asante kuwa na maono yaliyo thabiti
 
Hii nchi na ubabe huo mbona tunapitwa na nchi nyingi tuu tena ndogo sana hapa afrika? Tumieni akili siyo nguvu
 
Ulithibitishiwa kuwa 'Hayati' aliwauwa?

Hata mtoto wa miaka miwili anajua ni nani alitoa order ya mauaji ya hao watu ,Zitto alishaelezea tafuta clip zake za Bungeni.


"Tulikuwa "tunatrap" simu zake mara anamwambia Mwanyika leta ducuments hii mara leta kile,Dawa ya msaliti jeshini wanajua,hauwezi kuwa msaliti halafu ukaendelea kusurvive" ...................JIWE

Baada ya masaa mawili Lissu akachapwa risasi 38...Watz sio wajinga.
 
Kwangu mimi JPM JPM alikuwa rais muuaji, mwenye chuki kali sana kwa wanamkosoa na kumpinga, mbinafsi aliyepitiliza kiwango cha kawaida na mungu mtu aliyependa kusujudiwa mpaka na nzi. MUNGU AMEWATENDEA HAKI WATANZANIA.
 
We sema tuu kwamba umenyimwa ulaji tofauti na matarajio sasa unajifanya kumwaga mboga 😆😆..

Tzn inakwenda kwa kasi sana,hizi ni km 2 za lami za Tarura mkoani kwa mpigo.Mambo ni moto Sana na 2025 tunaenda na Samia.

Chini ya Mwendazake Tulikuwa tunapata pesa za kujenga 0.5 km via Tarura 👇





 
R.I.P ulinisaidia kupata kiwanja nilichodhulumiwa. Baada ya wewe kulala yooo...
Amekuja tena kuniletea vurugu kwenye kiwanja yule mtu. Hakika hatanisahau,nimepiga kama naua nyoka.
Nakuhakikishia sitokuangusha.
 
Na bado hujalia siku ukipata mtu wa karibu nae akakusimilia kifo chake, utaenda chato mwenyewe kuona hata kaburi yake.

Siumii kwa nini amekufa maana kila mtu ataonja kaburi, kinachoniuma ni yale mazingira alokufa.
Mkuu kuhusu Kifo chake kimetokana na nini wala usijali kwani huenda nami kwa niliyoambiwa na Mchongo mzima ulivyokuwa hadi Kufa Kwake nimeanza kuuamini ule Msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO na nina Watu Watatu katika hiyo 'List' huwa nikiwaona tu katika Tv ( Runinga ) huwa nazima kwa Hasira na kubaki Kuwasonya na Kuwatukana tu Kimoyomoyo na Kufuta Machozi ya kutuwahishia Udongoni Chato Mkoani Geita huyu Mwamba wetu.
 
Na bado hujalia siku ukipata mtu wa karibu nae akakusimilia kifo chake, utaenda chato mwenyewe kuona hata kaburi yake.

Siumii kwa nini amekufa maana kila mtu ataonja kaburi, kinachoniuma ni yale mazingira alokufa.
Alikufa katika mazingira gani?
 
Mliwahi kumuuliza Mbowe kuhusu kifo cha Chacha Wangwe. Je ulishawahi kungalia upande wa pili wa shilling? Siku mkija kuujua ukweli mtashangaa
 
Nilikuwa ninakuheshimu kumbe ni bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…