Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Mbona wewe usiwe Hitler wa familia yako Ili mpate maendeleo? It will never happen again,and he used to be there as political mistake thus why his term ended in that way.Afrika jinsi ilivyo na Watu ( Raia ) walio 'Goi Goi' inahitaji akina Hitler kama 60 tu ili Kuiamsha na Kuichangamsha Kimaendeleo na Kiuchapakazi.
Yaani GENTAMYCINE ninataka Uteuzi?Aisee haitakaa itokee ,wewe na mtoa mada licha ya kujiandikia maelezo meeengi ya kijinga hamna ushahidi wowote wa kuthibitisha maelezo yenu mwisho wa siku inakuwa ni chuki ya kukosa uteuzi basi.
Nilikuwa ninakuheshimu kumbe ni bure.
Hutakiwi kuzima kwa maigizo Zima mazima Ili utuondolee uchuro kama mkuu wa uchuro alivyoshindiliwa chini ya vifusi..Mkuu kuhusu Kifo chake kimetokana na nini wala usijali kwani huenda nami kwa niliyoambiwa na Mchongo mzima ulivyokuwa hadi Kufa Kwake nimeanza kuuamini ule Msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO na nina Watu Watatu katika hiyo 'List' huwa nikiwaona tu katika Tv ( Runinga ) huwa nazima kwa Hasira na kubaki Kuwasonya na Kuwatukana tu Kimoyomoyo na Kufuta Machozi ya kutuwahishia Udongoni Chato Mkoani Geita huyu Mwamba wetu.
Mkuu unadhani hawaujui?Mliwahi kumuuliza Mbowe kuhusu kifo cha Chacha Wangwe. Je ulishawahi kungalia upande wa pili wa shilling? Siku mkija kuujua ukweli mtashangaa
Wewe acha tu nakumbuka mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa mtu akitenda ubaya sura yake uwa inaongea. Siku ya mazishi ya JPM nimwona mmoja wao akijikanyaga na hotuba uchwala anauma midomo nikamwangalia nikajisemea kimoyoni kwamba " huyu "Mkuu kuhusu Kifo chake kimetokana na nini wala usijali kwani huenda nami kwa niliyoambiwa na Mchongo mzima ulivyokuwa hadi Kufa Kwake nimeanza kuuamini ule Msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO na nina Watu Watatu katika hiyo 'List' huwa nikiwaona tu katika Tv ( Runinga ) huwa nazima kwa Hasira na kubaki Kuwasonya na Kuwatukana tu Kimoyomoyo na Kufuta Machozi ya kutuwahishia Udongoni Chato Mkoani Geita huyu Mwamba wetu.
Utaishia kujisemea kimoyo moyo hivyo hivyo hadi tunafukiaWewe acha tu nakumbuka mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa mtu akitenda ubaya sura yake uwa inaongea. Siku ya mazishi ya JPM nimwona mmoja wao akijikanyaga na hotuba uchwala anauma midomo nikamwangalia nikajisemea kimoyoni kwamba " huyu "
Mimi nimeweka sebuleni siji kuitoa hii picha.Pole sana mkuu, Binafsi Magufuli naamini ndiye Rais bora ambae aliiwaza Tanzannia ya miaka 2050, Magufuli alikuwa kiongozi sema Watanzania wengi wanataka wanasiasa.
Hii picha hapa chini iko ndani kwangu tena chumbani kwangu! View attachment 1991351
Sikuwahi kumpenda JPM, lakini honestly ilivyotangazwa usiku ule kuwakafariki machozi yalinitoka, nikakaa nje karibia saa nzima. Niliona kabisa yale magenge ya majambazi serikalini na chamani yayakavyorudi kwa nguvu.Tangu mwaka uanze nahisi huu ni uzi wako wa maana kuliko zote.
Anyway binafsi jpm nillikuwa namkubali kawaida tu hasa nikiwa sehemu ya changanyikeni kama humu, nilikuwa simchukii kama wengine, kuna vitu alikuwa akifanya nasema huyu kweli rais hata kama sisem ila moyoni nasema hili jembe.
Siku niliposikia habari za kifo chake trh 9 nilisikia maumivu ambayo sikujua yametoka wapi.
Miliogopa hata kumwambia mtu yeyote maana alienihakikishia kafa alinitaka nifunge mdomo wangu.
Nilikuwa nikiingia humu nakuta watu wanachangia nyuzi kibao eti jpm yupo wapi na mimi najilazimisha kuchangia as if sijui kinachoendekea.
Pili moyo haukuamini nilichoambiwa nikawa akisemea ' huyu mbwa nae mwongo jpm atakufaje kizembe hivi?
Siku moja nikataka kumwambia mama yangu moyo ukasema hapana yupo hai yule fala mzushi.
Trh 17 usiku nikaota eti kafa nikastuka usingizini nikajisemea hapana ni nawazo yaliyo kichwani mwangu coz nishapewa hiyo habari wiki moja kabla.
Niliamka nikapiga magoti nikasali mikasema hii ndoto isiwe kweli, nikaingia jf nikakuta mtu kapost eti kwa nini wasitangaze tu rais kashakufa kha! Ndo niliamini yale maneno.
Baada ya kutangaza nilipata maumivu ambayo sikujua yametoka wapi, maana niliona Tanzania ambayo jpm alikuwa akiitengeneza ikiyeyuka.
Niliona ujinga ukirudi kwa kasi, wizi, miradi yake ikifa, nidham ya watumishi ikirudi 0, ufisadi nje nje , majambazi wakirudi kwa kazi, unyanyasaji wa wanyonge, viongozi kula mishahara ya bure,kupewa kazi kwa kujuana, vyeti feki,
Nikaona lile genge sugu la majambazi wanaotesa nchi wakifurahia kifo chake, nililia sana nikasema Mungu alitupa malaika ila wengi tulichukulia poa.
Huko ulipo jpm ulale salama, hakuna siku imepita bila kukukumbuka. Binafsi nimekumiss sana.
Rip jpm.
Wewe umeambiwa hutokuja Kufukiwa?Utaishia kujisemea kimoyo moyo hivyo hivyo hadi tunafukia
Mitano tena, Hii kauli imetugharimu kama chamaGENTAMYCINE[emoji120]
2025 SSH 5tena[emoji871][emoji871][emoji871]
Yesu ni mkombozi hakutaka sikio la adui yake likatwe akalirudisha.Tanzania tumeondokewa na Mkombozi.
Hayo ni mawazo yako ya kijingaKwamba akina Musiba walikuwa Ma Kenge Tu, Kwamba kuna Ma Mamba Majangili Makubwa kabisa
Pimeni mambo vizuri. Ukisema magu ni mbaya lazima kuna utayesema ni mzuri. Na ukisema magu ni mzuri kuna unayemini ni mbaya.Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Utakuwa upo mbali sana kutoka usawa wa nchi, mbona huku ndani sasa hata tuliokua tunajua kumbe ilikuwa wajinga wa kutupwa. (Nchi hii haijawahi kuwa na mwizi, tapeli, laghai, muongo, na katili wa mfano wake)Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Pia kuna wanaomuomba badala ya kumuombeaNchi zilizoendelea ukiondoka madarakani au ukifariki wanakuwa wamemaliziana na wewe, sisi tunaendelea kuwa na matumaini kuwa atatukomboa!
Mkombozi yuko segerea anapambana na kesi feki ya ugaidi. Tokea lini mkombozi akatokea UPANDE huoTanzania tumeondokewa na Mkombozi.
Jiandaeni kumpelekea Chakula Segerea.Mkombozi yuko segerea anapambana na kesi feki ya ugaidi. Tokea lini mkombozi akatokea UPANDE huo