Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Afrika jinsi ilivyo na Watu ( Raia ) walio 'Goi Goi' inahitaji akina Hitler kama 60 tu ili Kuiamsha na Kuichangamsha Kimaendeleo na Kiuchapakazi.
Mbona wewe usiwe Hitler wa familia yako Ili mpate maendeleo? It will never happen again,and he used to be there as political mistake thus why his term ended in that way.

Kama kawaida unathibitisha how panthetic you are.
 
Aisee haitakaa itokee ,wewe na mtoa mada licha ya kujiandikia maelezo meeengi ya kijinga hamna ushahidi wowote wa kuthibitisha maelezo yenu mwisho wa siku inakuwa ni chuki ya kukosa uteuzi basi.
Yaani GENTAMYCINE ninataka Uteuzi?
 
Nilikuwa ninakuheshimu kumbe ni bure.

Nitasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko....Ahadi za mwana TANU.

Siwezi kupindisha maneno kwa kumfurahisha mtu,Jiwe aliendesha nchi kwa mkono wa chuma,kila binadamu ana mazuri na mabaya yake ,bashite,jambazi sabaya,wewe mtaangalia mazuri tu ila Lissu alichapwa risasi 38 au Familia ya ben saa8 hawawezi kuangalia mazuri.
 
Hutakiwi kuzima kwa maigizo Zima mazima Ili utuondolee uchuro kama mkuu wa uchuro alivyoshindiliwa chini ya vifusi..
 
Wewe acha tu nakumbuka mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa mtu akitenda ubaya sura yake uwa inaongea. Siku ya mazishi ya JPM nimwona mmoja wao akijikanyaga na hotuba uchwala anauma midomo nikamwangalia nikajisemea kimoyoni kwamba " huyu "
 
Wewe acha tu nakumbuka mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa mtu akitenda ubaya sura yake uwa inaongea. Siku ya mazishi ya JPM nimwona mmoja wao akijikanyaga na hotuba uchwala anauma midomo nikamwangalia nikajisemea kimoyoni kwamba " huyu "
Utaishia kujisemea kimoyo moyo hivyo hivyo hadi tunafukia
 
Sikuwahi kumpenda JPM, lakini honestly ilivyotangazwa usiku ule kuwakafariki machozi yalinitoka, nikakaa nje karibia saa nzima. Niliona kabisa yale magenge ya majambazi serikalini na chamani yayakavyorudi kwa nguvu.
 
GENTAMYCINE[emoji120]

2025 SSH 5tena[emoji871][emoji871][emoji871]
Mitano tena, Hii kauli imetugharimu kama chama

Watu walitukebehi sana hii kauli ya mitano tena, Kumbe kiroho ilikuwa kinyume chake kuwa hatamaliza mitano imeishia miezi kadhaa

Mitano tena, Ikawa miezi kadhaa na Kwaheri ya kuonana
 
Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Pimeni mambo vizuri. Ukisema magu ni mbaya lazima kuna utayesema ni mzuri. Na ukisema magu ni mzuri kuna unayemini ni mbaya.
Uzuri ni nini na ubaya ni nini?
Ukija na orodha ya mambo mazuri, mwingine ataorodhesha mabaya.
Msifike mahali kusema mtu ni malaika, hii kufuru.
Binadamu hawezi kuwa mzuri tu au mbaya tu kwa watu wote wakati wote.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kama ilivyo kwa Binadamu yeyote yule hakosi "flaws" Basi ndivyo ilivyo kuwa kwa Jpm. R.i.p kwake.... Ila kwa sasa ndiyo gap kubwa zaidi tunaliona kutokana na uongozi wa sasa [emoji115][emoji115][emoji115] ni useless kabisa.
 
Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Utakuwa upo mbali sana kutoka usawa wa nchi, mbona huku ndani sasa hata tuliokua tunajua kumbe ilikuwa wajinga wa kutupwa. (Nchi hii haijawahi kuwa na mwizi, tapeli, laghai, muongo, na katili wa mfano wake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…