Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukiwa na kitambi hivi inakuaje... [emoji28][emoji28][emoji28]Saanaaaa so free like a molecule... [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mirror mirror on the wall........
Ila kioo sijui kinakuwaga na mashetani gani kuna mda unaweza kujikuta unafanya maajabu flani hiviiii... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Issue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.
Mimi ni nudistSaanaaaa so free like a molecule... 😆
Unaenjoy view in HD sio 🤣🤣🤣Acha kabisaa, mie hadi nimeweka kioo bafuni kwangu. Nikiwa naoga najiona mwili mzima.
Nisipokiwa makini naweza maliza lisaa lizima bafuni aahahahahaha.
Sasa ukiwa na kitambi hivi inakuaje... [emoji28][emoji28][emoji28]
Si ndio pale mtu ana kishika na kukibenjua kukiangalia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mda unaweza kujikuta unafanya maajabu flani hiviiii... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna Watu wengine wanategwa lakini hawategeki,Mimi hapo naminingevua nguo zote alafu tucheze Mziki wote kwenye hiyo dressing table! Kuna muda mwingine Wanawake wanapenda kucheza rough games in the room,sema Wanaume wengi wanakua hauwajuwi!!Vipi Ulimsukumiaa motoo akiwa umeshikaa dress table????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Mimi ni nudist
Na wewe ungevua mkaanza kucheza wote, maana nyie ni mwili mmoja .Wakuu kwema?
Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
cha ajabu ni nini?Wakuu kwema?
Jana jion nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Unaenjoy view in HD sio 🤣🤣🤣
Huyu kilaza wa mwishoo kabisaaa... yani anashangaa mke wake kuchezaa uchiii aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ufala sana huuKuna Watu wengine wanategwa lakini hawategeki,Mimi hapo naminingevua nguo zote alafu tucheze Mziki wote kwenye hiyo dressing table! Kuna muda mwingine Wanawake wanapenda kucheza rough games in the room,sema Wanaume wengi wanakua hauwajuwi!!
Kuna Watu wengine wanategwa lakini hawategeki,Mimi hapo naminingevua nguo zote alafu tucheze Mziki wote kwenye hiyo dressing table! Kuna muda mwingine Wanawake wanapenda kucheza rough games in the room,sema Wanaume wengi wanakua hauwajuwi!!
Wwe acha hizo unataka kumgongea mwenzio,nakuona!!Mke wako ni mchawi, mlete kwangu akae wiki moja tu, nimtoe uchawi wake wote. Pia ninafuta chale