Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Miaka 4 iliopita nilikuwa mlevi wa kupindukia, nilimtesa sana wife, kurudi saa 9 usiku kwa sana, umalaya n.k, hom nilikua naacha 2000 na tuna watoto 3, wife alilalamika snaa na mwisho nikahama hom bila hata kuwaachia chochote. Ni miaka 3 imepita.
Apa naomba nikiri kua nilikula sana raha, bahati mbaya nikafilisika na sasa nimerudi kwa wife. Nimejifunza na sitorudia, asante wife kwa kunipokea na kunizalia mtoto mwingine. Wewe ni mama lamama yaani loooh, now ni mwendo wa nyama samaki tu, jaman kuoa mke mwenye akili rahaamno, ila najuta kwa nilichofanya
Apa naomba nikiri kua nilikula sana raha, bahati mbaya nikafilisika na sasa nimerudi kwa wife. Nimejifunza na sitorudia, asante wife kwa kunipokea na kunizalia mtoto mwingine. Wewe ni mama lamama yaani loooh, now ni mwendo wa nyama samaki tu, jaman kuoa mke mwenye akili rahaamno, ila najuta kwa nilichofanya