Nimerudi mlangoni, hodi wana jf

kyanaKyoMuhaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,952
Reaction score
938
Nimepitiliza hadi jikoni, wana JF nimerudi mlangoni, "NGO NGO ........hodi sebuleni, naomba mnikaribishe"
 
Kwamba unakuja tena, ulikuwa humu kwa ID gani kabla? Anyway karibu sana.
 
Wakuu, nilijikuta nagonga vyumbani wakawa wanatoka wana jamvi na kunishangaa nilikotokea. Mf. Preta,Bishanga, Sweetlady na ........... Narudi nafuata diary nimeweka majina.
 
karibu sana jamvini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…