Nimerudi mlangoni, hodi wana jf

Nimerudi mlangoni, hodi wana jf

kyanaKyoMuhaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,952
Reaction score
938
Nimepitiliza hadi jikoni, wana JF nimerudi mlangoni, "NGO NGO ........hodi sebuleni, naomba mnikaribishe"
 
Kwamba unakuja tena, ulikuwa humu kwa ID gani kabla? Anyway karibu sana.
 
Wakuu, nilijikuta nagonga vyumbani wakawa wanatoka wana jamvi na kunishangaa nilikotokea. Mf. Preta,Bishanga, Sweetlady na ........... Narudi nafuata diary nimeweka majina.
 
Back
Top Bottom