nimerudi nashkuru,,,,

nimerudi nashkuru,,,,

a,aleykum wapenz wangu wa humu,, nawajulisha tu kiufupi nimerudi nikiwa hai,,,mana mda wa siku takriban 5 days,,,nilipatwa na maradhi kidogo lakini la ila llah,,nimerudi ndugu zangu,,,ispokua kuwajulisha na kuomba sala zenu nilikutwa na maradhi ya qalb (hearts probems)ila si kubwa linawezekana ku be solved wiithin 3months,,dua zenu pia muhimu,,,tuko wote alhamdulillah,,:A S-rose::A S-rose::grouphug:

pole sana na karibu jamvini, nilikumis vibaya mno.ugua pole
 
Pole sana mamy wajua tena maradhi wameumbiwa wanadamu nawe ni mmoja wapo.....Anasema Allah katika kitabu chake kitakatifu kuwa... Hakika nimewaumbia maradhi na kila moja nimelipatia dawa... Naamini kwa kudra zake Allah SW utarudi katika afya yako na utaendeleza azma yako ya kumcha na kumtumikia yeye

mmmh,mama g leo umeingia kivingine kabisa
 
a,aleykum wapenz wangu wa humu,, nawajulisha tu kiufupi nimerudi nikiwa hai,,,mana mda wa siku takriban 5 days,,,nilipatwa na maradhi kidogo lakini la ila llah,,nimerudi ndugu zangu,,,ispokua kuwajulisha na kuomba sala zenu nilikutwa na maradhi ya qalb (hearts probems)ila si kubwa linawezekana ku be solved wiithin 3months,,dua zenu pia muhimu,,,tuko wote alhamdulillah,,:A S-rose::A S-rose::grouphug:
Pole sana uhkti Niliham, Mwenyezi Mungu ata kuafuu Insha'Allah.
 
shukran abuy kwani ni moja wapo ya kumuwajibikia allah let us shukri to allah,,i but 4 other time i feel like i'm no more again i do know why
??and by the time when i join in this site my happiness desipear because the one who tells me pole sana naona kama ndio anambi kwaheri nill i do know why my best??? but every thing go and be allright...
Pole sana uhkti Niliham, Mwenyezi Mungu ata kuafuu Insha'Allah.
 
a,aleykum wapenz wangu wa humu,, nawajulisha tu kiufupi nimerudi nikiwa hai,,,mana mda wa siku takriban 5 days,,,nilipatwa na maradhi kidogo lakini la ila llah,,nimerudi ndugu zangu,,,ispokua kuwajulisha na kuomba sala zenu nilikutwa na maradhi ya qalb (hearts probems)ila si kubwa linawezekana ku be solved wiithin 3months,,dua zenu pia muhimu,,,tuko wote alhamdulillah,,:A S-rose::A S-rose::grouphug:

Waleikum Salam Habibty,

Awal ya yote Shahar Shawal Mubarak, InshaAllah kwa rehma za mwezi wa Shaawal Duwa zetu ziwe maqbul. InshaAllah Allah atakupa shifaa na siha njema Amin.

I miss and love you mingi mingi.
 
oooo my godness u make me feel very defferent 4 the words u use 4 me kwasote abuy allah ndie muweza wa kila jambo,,,,ahsante yarab tekbar minal duau ya allah!!!inshallah kheri abuy i miss u 2...bye may allah bless u,,,

Waleikum Salam Habibty,

Awal ya yote Shahar Shawal Mubarak, InshaAllah kwa rehma za mwezi wa Shaawal Duwa zetu ziwe maqbul. InshaAllah Allah atakupa shifaa na siha njema Amin.

I miss and love you mingi mingi.
 
pole shostingo,get well soon!
nimefurahi kukuona tena,i dont know why lkn nimekuzoea ghafla tofauti na wageni wengine ambao hunichukua muda mrefu kuwazoea!
 
mapenzi yako na ukarimu unipao naupokea cheu mangala,,inshallah nikupende unipende nikupende binaadam kupendana ndio muhimu,,,nimeliwazika sana kwa post yako habibty,,,inshallah tudumu ya rabb,,,na nikikuudhi popote naomba kuwa muwazi nikuombe radhi,,,yallah ahsante,,,
pole shostingo,get well soon!
nimefurahi kukuona tena,i dont know why lkn nimekuzoea ghafla tofauti na wageni wengine ambao hunichukua muda mrefu kuwazoea!
:tea:
 
Pole sana Nilham, hiyo ni mitihani ya Mwenyezi Mungu
 
shukran abuy kwani ni moja wapo ya kumuwajibikia allah let us shukri to allah,,i but 4 other time i feel like i'm no more again i do know why
??and by the time when i join in this site my happiness desipear because the one who tells me pole sana naona kama ndio anambi kwaheri nill i do know why my best??? but every thing go and be allright...
Uhkti Nilham, unatakiwa kuwa na subra, kwani kwa hakika umuhimu wa Subra umeelezwa katika Qur'an na Sunnah, kwa kupatiwa mafundisho mbali mbali kupitia Manabii wa Allah (‘Alayhimus Salaam) na pia kwa Maswahaba (r.a).

"Na subiri, nakusubiri kwako kusiwe ila kwa sababu ya Allah."
An-Nahl: 127

Uhkti Nilham, ukiwa ni mwenye subra ni hakika kabisa utapata ujira wa Subra kutoka kwa Allah kwa kusubiri kwa ajili Yake pekee. Na hakika hakuna Subra yenye ujira ispokuwa inayokwenda sambamba na Ikhlaas kwa Allah (Subhaanahu Wa Ta'ala) kwa kukubali na kuwa na Iymaan juu ya mitihani itakayokupata kwa kuamini kuwa Allah Ndiye wa kuiondosha.

"Hakika wenye subira watapewa ujira wao bila ya hisabu."
Az-Zumar: 10
 
Tunamshukuru mungu kwa kukuponya na kuweza kurudi jamvini. Pole sana.
 
shukran habibty kwa kumikumbusha acha kunikumbusha bali umenfariji wallah kukumbuka kua sote tumeumbwa na inna llah maa swabirina,,,hakika kila mwennye kusubiri yupapamoja na allah!!!asante na ntakumbuka na kukushkuru kila nikitoka njee na ulivyonikumbusha may allah bless u again and again,,,
Uhkti Nilham, unatakiwa kuwa na subra, kwani kwa hakika umuhimu wa Subra umeelezwa katika Qur'an na Sunnah, kwa kupatiwa mafundisho mbali mbali kupitia Manabii wa Allah (‘Alayhimus Salaam) na pia kwa Maswahaba (r.a).

"Na subiri, nakusubiri kwako kusiwe ila kwa sababu ya Allah."
An-Nahl: 127

Uhkti Nilham, ukiwa ni mwenye subra ni hakika kabisa utapata ujira wa Subra kutoka kwa Allah kwa kusubiri kwa ajili Yake pekee. Na hakika hakuna Subra yenye ujira ispokuwa inayokwenda sambamba na Ikhlaas kwa Allah (Subhaanahu Wa Ta'ala) kwa kukubali na kuwa na Iymaan juu ya mitihani itakayokupata kwa kuamini kuwa Allah Ndiye wa kuiondosha.

"Hakika wenye subira watapewa ujira wao bila ya hisabu."
Az-Zumar: 10
 
pole binamu, Mungu akujalie afya njema mapema
 
Pole sana dada, Inshallah mwenyezi mungu ata kupa Afueni, ukishapata Nafuu jaribu sana kufanya mazoezi kidogo kidogo, kwani magonjwa ya moyo mara nyingi husababishwa na kukosa mazoezi na kujaa kwa mwili sana. Pole dadaaa!!!!
 
lakini cha kushangaza chiko sina mwili wa hivyo ni kawaida tuu kama unionavyo hapa pichani ndivyo nilivyo mana picha hiyo haina muda mrefu ni baada ya iddy tu nilipiga,,,na mazoezi hua nafanya gym asubhi na my elder brothers kwa siku tatu sas nimesimama kwa ajili ya hayo mashakil... 2gxo6dx.jpgnip.jpg
Pole sana dada, Inshallah mwenyezi mungu ata kupa Afueni, ukishapata Nafuu jaribu sana kufanya mazoezi kidogo kidogo, kwani magonjwa ya moyo mara nyingi husababishwa na kukosa mazoezi na kujaa kwa mwili sana. Pole dadaaa!!!!
 
Back
Top Bottom