Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Status
Not open for further replies.
Dude, leo umeamkia upande upi? Mpaka sasa umeshakamata tuzo kadhaa za wema na utu toka kwangu!

mimi sipendi manyanyaso na uonevu aisee. Dada wa watu kapigana kufa na kupona huko kilombero licha ya mizengwe aliyokumbana nayo halafu anarudi hapa kutujulia hali halafu anaanza kushambuliwa bila sababu ya msingi. Lazima nimkingie kifua. Dada wa watu hajatamka ana mipango gani lakini tayari watu washaanza kumpangia. Ila diana wa pale calabash kachangia sana huu wema (teamo anamjua huyu). Wako katika ujenzi wa taifa nn aka mzee wa byuroo lol
 
mazee kwani unaijua ratiba ya regia? Kwani regia ndo alienda kilombero wakati wa uchaguzi tu na huko siku za nyuma na miaka ya nyuma alikuwa hajawahi kwenda? Au kakwambia ndo keshaondoka for good?

Kwanza unajua primary domicile yake ni wapi?
 
mi naamini hoja ya msingi hapa ni KUMKARIBISHA,mheshimiwa regia jamvini......!

mambo mengine naona huyo kiranga anakuwa too theoretical!

for your information kiranga ni kwamba regia ATAINGIA BUNGENI!

karibu sana dada-lake-na-mimi!

achana na ''siasa-za-vitabuni'' za huyo kiranga!

TUNAANDAA KIKAO KIKUBWA SANA NA POMBE NYINGI SANA katikati ya wiki....!hiyo ndo kazi yangu bwana
 
bila ya shaka natia shaka ndo maana nikauliza suali. Natia shaka ya kwanini chadema ikaruhusu hali hiyo itokee.

msikiko wa sauti ni kwa mujibu wa akili yako ulivyoiweka, Asprin kasikia uzuri na akatoa jibu muafaka mbona.

haswaa na wala hujakosea. Nasikia na kuelewa kwa mujibu wa masikio na akili yangu na aspirin na wengineo nao vivyo hivyo.
 

Hoja ya msingi ni kwamba kulazimisha hoja fulani ni hoja ya msingi si hoja ya msingi.

Labda kama uko tingas tayari.
 
Hoja ya msingi ni kwamba kulazimisha hoja fulani ni hoja ya msingi si hoja ya msingi.

Labda kama uko tingas tayari.
ha ha ha!
kuwa tingas hapa ni 24/7

lakini ni bora nikawa hivyo kuliko kuwa kama ulivyo

wewe una matatizo

na tatizo lako kubwa ni kutokujua matatizo ya matatizo yako......!

acha UKANDAMIZAJI BWANA!....
 

Yaani mmoja wetu akihoji jambo, basi ana bifu na aliyemhoji, na kwamba si mtaarab?!

We have a long way to go.....
 
mimi sijui. Wewe unajua?

Kama hujui huna haki ya kubishia hoja zangu kuhusu wawakilishi na wadau wanaojinadi kutaka uwakilishi kuwa karibu na wananchi, mimi najua Regia Kilombero si primary domicile yake.
 
Karibu sana Regia, Kwangu Mimi wewe ni Mbunge wa Kilombero ambaye hukutangazwa na Tume ya Uchaguzi

Kila la Kheri dada Regia
 

Mimi kamanda leo nakutendea haki kwa vitendo kama hivi:

The Following User Says Thank You to Nyani Ngabu For This Useful Post:
Asprin (Today)


Halafu hii Posted via Mobile..........Bado hujaachana na Diana?
 

please share with us your experience huko ulaya na marekani wanaoshindwa wanafanyaje na pia uelewa wako wa siasa za bongo kama ni full time hata pale unapokosa nafasi

a uniderectional mind is a confined one

ujuaji ukizidi....
 
haswaa na wala hujakosea. Nasikia na kuelewa kwa mujibu wa masikio na akili yangu na aspirin na wengineo nao vivyo hivyo.

ukijua hilo, mambo ya kujifunza yametokea wapi?
 
speed in a wrong direction is irrelevant
 
please share with us your experience huko ulaya na marekani wanaoshindwa wanafanyaje na pia uelewa wako wa siasa za bongo kama ni full time hata pale unapokosa nafasi

a uniderectional mind is a confined one

ujuaji ukizidi....


Kumekucha!!!
 
jamani eeh mnadhani ni baa gani itafaa kumkaribisha dada regia....?

mi nadhani tungelijadili hili....
 
<br />
<br /> nafikiri mkuu kiranga unasahau kama dada Regia ni mwajiriwa wa ofisi ya makao makuu ya chadema na hivyo suala ya yeye kupumzika au kubaki kilombero linategemea makubaliano yake na mwajiri wake.kumbe sisi hatuwezi kubadili kile ambacho amekubaliana na mwajiri wake.
 
.......ukweli kwamba wapinzani wetu hawakujiandaa vilivyo na waliweka wagombea dhaifu kama kina Regia. ......



Kiranga nimekusoma vizuri sana tangu mwanzo nikashawishika kwamba una nia njema kabisa na huyu dada ndio sababu unampa ushauri huu ambao wengi wanaonekana kutoupenda. Lakini niliofika hapo nikagundua kumbe hauna ushauri wowote wa maana hapa, sasa nakubaliana na wanaodhani una bifu au personal interest na Regia. Kama uko upande wa pili wa wana kijani hutarajiwi kuwa na mtazamo tofauti na huu unaouhubiri hapa, huku ukijaribu kutudanganya kwamba unampa ushauri. Kwa hali hii ni ukweli kwamba unatafuta ligi isiyo na maana, kama unapata tabu kumkaribisha Regia basi unaweza kutulia kidogo, kwani lazima?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…