Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Kiranga jibu swali langu; unaijua mipango yote ya regia?
Mimi "natabiri" kwamba atakuwa 'amelala' sasa ndo maana hilo swali halioni...au inawezekana pia kuona huku ukiwa umelala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiranga jibu swali langu; unaijua mipango yote ya regia?
Wivu wa kike mbaya sana maana unabomoa
NI KWELI MKKUU... MIE MPAMBE WAKEYou are requesting her to protest the results, regardless of the tight finances.
Mwisho unampamba kuwa una high hopes. This psychological push mnayowapa wenzenu hapa inawafanya wachemshe kwa kuwa wanaacha kufikiri kivyao zaidi, wanafikiri kuwaridhisha wapambe.
Wapambe nuksi.
Mimi "natabiri" kwamba atakuwa 'amelala' sasa ndo maana hilo swali halioni...au inawezekana pia kuona huku ukiwa umelala?
Sawa sawa,
Siwezi kujua mipango ya Regia, kwa sababu so far anaonekana hana mipango. Mtu mwenye mipango anaweza kutoa vipost kama vya Regia ?
Haya ni matusi kwa watu wake wote duniani, pamoja na huyo mnayemshabikia Regia Mtema.
Kama mna punje ya maadili mtawaomba radhi.
Wapwaz na Binamuz wote.
Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama.Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza wale wote kwa namna moja ama nyingine mmeshiriki kufanikisha uchaguzi wa mwaka hu popote pale mlipo kwa ngazi yoyote ile iwe udiwani,ubunge na hata urais,pongezi sana!!!.
Napenda kuwaambia kuwa nimerudi salama toka Kilombero,nimepambana kadiri ya uwezo wangu na kufika hapa nilipofika.namshukuru MUNGU niko salama kabisa na nitaendelea kuvinjari kwenye jukwaa letu pendwa la urafiki na mapenzi.
Nimewamiss si kidogo!!!Natafuta muda nionane na baadhi yenu.
With love
Regia
Kakwambia haendi tena??
Uliyelala ni wewe ambaye hujaona jibu nililotoa kitambo kabla ya post yako. Hapa mwendo wa vita kama Napoleon, hamna kulala usawa huu.
wakati mwingine mtu unapata shida kuelewa, labda kwa sababu ya uelewa mdogo, lakini hili la maadili na kuomba radhi hapa nani aanze? :nono::nono:
hahaha ni kweli 'nililala'....na nililazwa kwa teknolojia, sasa pia kuna kulala kwa kushindwa kujua kwamba wakati napost (hata sasa hivi) kuna uwezekano wa kwamba post nyingine imerushwa na nikaiona baada ya kuwa nimerusha hii.....
wakati mwingine mtu unapata shida kuelewa, labda kwa sababu ya uelewa mdogo, lakini hili la maadili na kuomba radhi hapa nani aanze? :nono::nono:
Wapwaz na Binamuz wote.
Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama.Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza wale wote kwa namna moja ama nyingine mmeshiriki kufanikisha uchaguzi wa mwaka hu popote pale mlipo kwa ngazi yoyote ile iwe udiwani,ubunge na hata urais,pongezi sana!!!.
Napenda kuwaambia kuwa nimerudi salama toka Kilombero,nimepambana kadiri ya uwezo wangu na kufika hapa nilipofika.namshukuru MUNGU niko salama kabisa na nitaendelea kuvinjari kwenye jukwaa letu pendwa la urafiki na mapenzi.
Nimewamiss si kidogo!!!Natafuta muda nionane na baadhi yenu.
With love
Regia
Hakuna yeyote aliyesema chochote kuhusu kuwa hataenda au ataenda tena. Naongelea primary domicile hapa, unaelewa primary domicile ni nini ?
Jamani, wachaneni na KADA wa ubishi, wengine hawa wamejiajiri kuonyesha kuwa wako daima tofauti na BINADAMU!hahaha ni kweli 'nililala'....na nililazwa kwa teknolojia, sasa pia kuna kulala kwa kushindwa kujua kwamba wakati napost (hata sasa hivi) kuna uwezekano wa kwamba post nyingine imerushwa na nikaiona baada ya kuwa nimerusha hii.....
Sasa hilo ndilo laweza kuwa tusi.
Hii concept nzima ya "kurudi" kutoka Kilombero mimi napata tabu nayo sana. Inaonekana Kilombero -pamoja na majimbo mengine ya vijijini- ni sehemu za kwenda wakati wa uchaguzi tu, uchaguzi ukiisha watu wanarudi kwenye shughuli zao za kawaida mijini.
Badala ya wagombea walioshindwa mwaka huu kubaki huko vijijini kuimarisha vyama vya upinzani, kuisadidia jamii pamoja na kupanga mikakati ya kushinda hivi viti katika uchaguzi ujao, tunaona increasingly "wanarudi" mijini.
Wapinzani wakiendelea kushindwa katika kila chaguzi zijazo watashangaa kweli kwa mwendo huu wa kwenda majimboni nyakati za chaguzi tu, na chaguzi zikiisha wanarudi mijini kwenye mitandao na urahisi wa maisha ?
Tunawatendea haki wananchi kweli kwa mwenendo huu ?
Jamani, wachaneni na KADA wa ubishi, wengine hawa wamejiajiri kuonyesha kuwa wako daima tofauti na BINADAMU!
cHA MSINGI HAPA NI KUMPA MOYO DADA YETU, NA NIMEONA WATU WANAONGELEA kuhusu mjumuiko mahala...ndiyo cha maana kwa sasa, najua atapata ushauri wa aina tofauti tofauti sana akikutana na watu, especially wa hapa JF(ONGEA NA WATU UPATE VIATU)!.Mambo ya kukaa kwenye box na kubishia kila hoja ni ukoloni!...Nadhani huyu jamaa yetu anabishana usiku kucha na mke na watoto wake pia...what a hell!
Jamani on a serious note, naomba na mi niungane na waungwana wengine kukmaribisha tena hapa jamvini Mh Regia Mtema, nimpe pole na pongezi kwa kupambana vilivyo lakini zaidi kwa kuonyesha kuwa anaweza kuchallenge the status quo......
Karibu sana
By the way NN FYI calabash pale yupo FLORA, muulize big braza ODM akupe 'habari yake'