Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Status
Not open for further replies.
Kiranga jibu swali langu; unaijua mipango yote ya regia?

Mimi "natabiri" kwamba atakuwa 'amelala' sasa ndo maana hilo swali halioni...au inawezekana pia kuona huku ukiwa umelala?
 
Wivu wa kike mbaya sana maana unabomoa

Haya ni matusi kwa watu wake (wakike) wote duniani, pamoja na huyo mnayemshabikia Regia Mtema.

Kama mna punje ya maadili mtawaomba radhi.
 
You are requesting her to protest the results, regardless of the tight finances.
Mwisho unampamba kuwa una high hopes. This psychological push mnayowapa wenzenu hapa inawafanya wachemshe kwa kuwa wanaacha kufikiri kivyao zaidi, wanafikiri kuwaridhisha wapambe.
Wapambe nuksi.
NI KWELI MKKUU... MIE MPAMBE WAKE

tunakutana leo kupanga upambe zaidi, tukiona mifuko haitoshi tutamuomba aamue, lakini so far nam-encourage hivyo kwani kuna options za sapoti ambazo tayari ziko on papaer

ni translation from papers ndiyo tunayosubiri
 
Mimi "natabiri" kwamba atakuwa 'amelala' sasa ndo maana hilo swali halioni...au inawezekana pia kuona huku ukiwa umelala?

Uliyelala ni wewe ambaye hujaona jibu nililotoa kitambo kabla ya post yako. Hapa mwendo wa vita kama Napoleon, hamna kulala usawa huu.
 
Sawa sawa,

Siwezi kujua mipango ya Regia, kwa sababu so far anaonekana hana mipango. Mtu mwenye mipango anaweza kutoa vipost kama vya Regia ?

Haya ni matusi kwa watu wake wote duniani, pamoja na huyo mnayemshabikia Regia Mtema.

Kama mna punje ya maadili mtawaomba radhi.

wakati mwingine mtu unapata shida kuelewa, labda kwa sababu ya uelewa mdogo, lakini hili la maadili na kuomba radhi hapa nani aanze? :nono::nono:
 
Wapwaz na Binamuz wote.

Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama.Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza wale wote kwa namna moja ama nyingine mmeshiriki kufanikisha uchaguzi wa mwaka hu popote pale mlipo kwa ngazi yoyote ile iwe udiwani,ubunge na hata urais,pongezi sana!!!.

Napenda kuwaambia kuwa nimerudi salama toka Kilombero,nimepambana kadiri ya uwezo wangu na kufika hapa nilipofika.namshukuru MUNGU niko salama kabisa na nitaendelea kuvinjari kwenye jukwaa letu pendwa la urafiki na mapenzi.

Nimewamiss si kidogo!!!Natafuta muda nionane na baadhi yenu.

With love
Regia

Pamoja na matokeo kwenda tofauti na matazamio yako na ya wapigakura wako songa mbele kwani naamini utakuwa mbunge kupitia viti maalum vya kina mama. Ukipata hiyo nafasi akikisha huyo aliyetangazwa mshindi unamfunika bungeni kwa kutoa michango yenye manufaa kwa taifa hili. Kawathibitishie wapiga kura wako kuwa wewe uko juu
 
Kakwambia haendi tena??

Hakuna yeyote aliyesema chochote kuhusu kuwa hataenda au ataenda tena. Naongelea primary domicile hapa, unaelewa primary domicile ni nini ?
 
Uliyelala ni wewe ambaye hujaona jibu nililotoa kitambo kabla ya post yako. Hapa mwendo wa vita kama Napoleon, hamna kulala usawa huu.


hahaha ni kweli 'nililala'....na nililazwa kwa teknolojia, sasa pia kuna kulala kwa kushindwa kujua kwamba wakati napost (hata sasa hivi) kuna uwezekano wa kwamba post nyingine imerushwa na nikaiona baada ya kuwa nimerusha hii.....
 
wakati mwingine mtu unapata shida kuelewa, labda kwa sababu ya uelewa mdogo, lakini hili la maadili na kuomba radhi hapa nani aanze? :nono::nono:

Aliyewatusi binadamu wa kike wote duniani kwamba ni viumbe wenye wivu inherently.
 
hahaha ni kweli 'nililala'....na nililazwa kwa teknolojia, sasa pia kuna kulala kwa kushindwa kujua kwamba wakati napost (hata sasa hivi) kuna uwezekano wa kwamba post nyingine imerushwa na nikaiona baada ya kuwa nimerusha hii.....

Amka basi,

Na kabla ya kukurupuka kwamba wenzako wamelala, nawa uso, toa tongotongo, fanya research na kuhakiki kwamba wamelala kweli.

Isije kuwa wewe ndiye uliyelala unaota wenzako wamelala, wakati wenzako wako macho wanaku sanif tu.
 
wakati mwingine mtu unapata shida kuelewa, labda kwa sababu ya uelewa mdogo, lakini hili la maadili na kuomba radhi hapa nani aanze? :nono::nono:

Hivi kuwa na wivu wa kike kwa mwanamke ni tusi? Nikimwambia Regia, ambaye ni mwanamke kuwa ana wivu wa kike ni tusi kwake? Ebo!!
 
Wapwaz na Binamuz wote.

Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama.Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza wale wote kwa namna moja ama nyingine mmeshiriki kufanikisha uchaguzi wa mwaka hu popote pale mlipo kwa ngazi yoyote ile iwe udiwani,ubunge na hata urais,pongezi sana!!!.

Napenda kuwaambia kuwa nimerudi salama toka Kilombero,nimepambana kadiri ya uwezo wangu na kufika hapa nilipofika.namshukuru MUNGU niko salama kabisa na nitaendelea kuvinjari kwenye jukwaa letu pendwa la urafiki na mapenzi.

Nimewamiss si kidogo!!!Natafuta muda nionane na baadhi yenu.

With love
Regia

pOLE NA hONGERA SANA!
 
Hakuna yeyote aliyesema chochote kuhusu kuwa hataenda au ataenda tena. Naongelea primary domicile hapa, unaelewa primary domicile ni nini ?

Sasa hilo ndilo laweza kuwa tusi.
 
hahaha ni kweli 'nililala'....na nililazwa kwa teknolojia, sasa pia kuna kulala kwa kushindwa kujua kwamba wakati napost (hata sasa hivi) kuna uwezekano wa kwamba post nyingine imerushwa na nikaiona baada ya kuwa nimerusha hii.....
Jamani, wachaneni na KADA wa ubishi, wengine hawa wamejiajiri kuonyesha kuwa wako daima tofauti na BINADAMU!
cHA MSINGI HAPA NI KUMPA MOYO DADA YETU, NA NIMEONA WATU WANAONGELEA kuhusu mjumuiko mahala...ndiyo cha maana kwa sasa, najua atapata ushauri wa aina tofauti tofauti sana akikutana na watu, especially wa hapa JF(ONGEA NA WATU UPATE VIATU)!.Mambo ya kukaa kwenye box na kubishia kila hoja ni ukoloni!...Nadhani huyu jamaa yetu anabishana usiku kucha na mke na watoto wake pia...what a hell!
 
Hii concept nzima ya "kurudi" kutoka Kilombero mimi napata tabu nayo sana. Inaonekana Kilombero -pamoja na majimbo mengine ya vijijini- ni sehemu za kwenda wakati wa uchaguzi tu, uchaguzi ukiisha watu wanarudi kwenye shughuli zao za kawaida mijini.

Badala ya wagombea walioshindwa mwaka huu kubaki huko vijijini kuimarisha vyama vya upinzani, kuisadidia jamii pamoja na kupanga mikakati ya kushinda hivi viti katika uchaguzi ujao, tunaona increasingly "wanarudi" mijini.

Wapinzani wakiendelea kushindwa katika kila chaguzi zijazo watashangaa kweli kwa mwendo huu wa kwenda majimboni nyakati za chaguzi tu, na chaguzi zikiisha wanarudi mijini kwenye mitandao na urahisi wa maisha ?

Tunawatendea haki wananchi kweli kwa mwenendo huu ?

Mkuu nadhani anamaanisha kurudi hapa jamvini na si kukimbia kutoka Kilombero....TUMSIMHUKUMU BALI TUMSAIDIE na kumpa moyo ajipange upya
 
Jamani, wachaneni na KADA wa ubishi, wengine hawa wamejiajiri kuonyesha kuwa wako daima tofauti na BINADAMU!
cHA MSINGI HAPA NI KUMPA MOYO DADA YETU, NA NIMEONA WATU WANAONGELEA kuhusu mjumuiko mahala...ndiyo cha maana kwa sasa, najua atapata ushauri wa aina tofauti tofauti sana akikutana na watu, especially wa hapa JF(ONGEA NA WATU UPATE VIATU)!.Mambo ya kukaa kwenye box na kubishia kila hoja ni ukoloni!...Nadhani huyu jamaa yetu anabishana usiku kucha na mke na watoto wake pia...what a hell!

Kama atakuwa ameoa. Si ndio?
 
Jamani on a serious note, naomba na mi niungane na waungwana wengine kukmaribisha tena hapa jamvini Mh Regia Mtema, nimpe pole na pongezi kwa kupambana vilivyo lakini zaidi kwa kuonyesha kuwa anaweza kuchallenge the status quo......

Karibu sana

By the way NN FYI calabash pale yupo FLORA, muulize big braza ODM akupe 'habari yake'
 
Jamani on a serious note, naomba na mi niungane na waungwana wengine kukmaribisha tena hapa jamvini Mh Regia Mtema, nimpe pole na pongezi kwa kupambana vilivyo lakini zaidi kwa kuonyesha kuwa anaweza kuchallenge the status quo......

Karibu sana

By the way NN FYI calabash pale yupo FLORA, muulize big braza ODM akupe 'habari yake'

NN amevuka lengo...Hata Diana anamjua achilia mbali Viki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom