Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakubaliHongera sana, hata ukipata Credit na kufa hapohapo bado utakuwa HERO kwasababu umetimiza ndoto yako
Furaha yangu ni kusoma sio kuajiriwaUna connection?
Kwaio hii kitaalam inaitwajeMiaka 11 iliyopita nilimaliza form 4 nikakosa nafasi ya kuingia form 5
Nimestay street 11 years nikasema2024 ni muda wa kuanza kutimiza ndoto zangu
Binafsi I live in another dimension hua sikati tamaa ndo maana nmejiita riskytaker
Nina misimamo mikali sana mixer maamuzi makali ambayo ordinary people hawez kudhubutu
Furaha yangu ni Mpira ,pesa , na kusoma .naamini with effort it can be done
.napambana kimtindo japo physics ni ngumu
Ila .bado Niko na matumaun kibao kwa sababu wakati bado Upo .
Kwa umri nilio nao ni umri wa PhD au masters kw nchi kama china Japan na south Korea.
Nilichogundua Tanzania tuna potentials sana Ila obstacles na challenges ndo zinatutoa kwenye mstari na kuchelewa kufikia malengo
We heros we don't give upKwaio hii kitaalam inaitwaje
Mkuu, ivi Open unaweza kusoma online mpaka siku ya paper, bila kwenda chuoni.?Ingia open ndugu, kale foundation studies endelea na elimu za juu. Kwa hulka uliyonayo yakusoma utafaulu vizuri sana kule. Otherwise best wishes in your studies
Ndio mkuu, hata bila kujuana na walimu wala kuhudhuria vipindi vya zoom. Cha maana usome vizuri na kujibu mitihani yako vizuriMkuu, ivi Open unaweza kusoma online mpaka siku ya paper, bila kwenda chuoni.?
Nakuja inbox mkuu... 💪Ndio mkuu, hata bila kujuana na walimu wala kuhudhuria vipindi vya zoom. Cha maana usome vizuri na kujibu mitihani yako vizuri
Ujue ratba za mitihani and university calender haswa field training haswa.
KaribuNakuja inbox mkuu... 💪
SawaFuraha yangu ni kusoma sio kuajiriwa
Uzi wa elimu inakupa wigo mpana wakufikiria vitu chanya katika maendeleoMiaka 11 iliyopita nilimaliza form 4 nikakosa nafasi ya kuingia form 5
Nimestay street 11 years nikasema2024 ni muda wa kuanza kutimiza ndoto zangu
Binafsi I live in another dimension hua sikati tamaa ndo maana nmejiita riskytaker
Nina misimamo mikali sana mixer maamuzi makali ambayo ordinary people hawez kudhubutu
Furaha yangu ni Mpira ,pesa , na kusoma .naamini with effort it can be done
.napambana kimtindo japo physics ni ngumu
Ila .bado Niko na matumaun kibao kwa sababu wakati bado Upo .
Kwa umri nilio nao ni umri wa PhD au masters kw nchi kama china Japan na south Korea.
Nilichogundua Tanzania tuna potentials sana Ila obstacles na challenges ndo zinatutoa kwenye mstari na kuchelewa kufikia malengo