Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Pm yangu hukuona?safi...za mwaka mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm yangu hukuona?safi...za mwaka mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]yani unataka aliye around the lake zone afu unaleta uzi jamii forum???......pita kwenye maredio yanaishia frequency za huko huko wakutangazie ndugu....
sijaiona dear vipi ni muamala au?[emoji39]Pm yangu hukuona?
I am not belonging to Sukuma ethnic group,but I like each and everything they do!Nilirudia Kuangalia jina la huyu jamaa nilipoona ni msukuma nilfikiri ni Deogratius Kisandu ila wasukuma huwa content zenu huwa zinafanana, anyway kila la kheri mkuu
Ninachoamini ni kuwa 'nikiundiwa tume basi nitapata mke kutoka kwenye hyo tume!Mke hatafutwi hivyo,unaishi wapi ambapo hukutani na wanawake? Una walakini...,uundiwe tume
Si kweli'Mungu atakupatia hitaji lako tatizo sisi Wadada tunaogopa kwenda pm tunaonekana Malaya na kutongoza na Kutongozwa visivyojulikana ni kama kucheza Biko na tatu mzuka
Haya km hujaonasijaiona dear vipi ni muamala au?[emoji39]
Kinachotufanya binadam tusiaminiane ni uovu tunaoutenda sisi wenyewe...,mm ni m2 mwema na ni mpole niliyepitiliza (siyo muongeaji na nina uhakika muhusika atakayepatkana ataleta mrejesho wa hali ya maisha)Ndugu yangu nimesoma bandiko lako nimeguswa kukusaidia. Ni PM tuzungumze mawili matatu. Ila kama unatafuta mabinti wa watu kwa nia ovu usini-Pm.
Fanya hivyo muda wowote utakaopata ujumbe huu.
AhahahaaaaaaBaada ya kukosa mke mwema sasa unatafuta unayefanana nae,kuna binti niko ne hapa mkuu yuko tayari ila ana pumu,legeza masharti kidogo uchukue chombo[emoji39]
Asante sana Mkuu,kuna ndugu yangu alishawahi kumuoa mwanamke mwenye tatzo la pumu...,ikitokea tatzo hilo limempata akiwa mwenyewe huwa anahangaika sana,pia kama unavyojua sisi wanaume ni viumbe wa kutembea muda mwingi kwaajili ya kutafuta au kujiongezea kipato...maradhi yakimpata akiwa mwenyewe anaweza kuhangaika sana!Baada ya kukosa mke mwema sasa unatafuta unayefanana nae,kuna binti niko ne hapa mkuu yuko tayari ila ana pumu,legeza masharti kidogo uchukue chombo[emoji39]
Thank you!Kla rakhel
Asante sana Mkuu,yani unataka aliye around the lake zone afu unaleta uzi jamii forum???......pita kwenye maredio yanaishia frequency za huko huko wakutangazie ndugu....
Mke hatafutwi hivyo,unaishi wapi ambapo hukutani na wanawake? Una walakini...,uundiwe tume
Nashukur sana Mkuu,ushauri wako nimeupokea lkn sitaufanyia kazi!Muoe mamako.