The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
NGOJA NIKWAMBIE
wakati ndo huu wa wewe kuw ajuu nimeoteshwa kuwa utakuwa mtu mkubwa sana hivyo kuwa makini na marafiki zako ulionayo wasikutoe hapo juu utakapofikishwa asante
insha'Allah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NGOJA NIKWAMBIE
wakati ndo huu wa wewe kuw ajuu nimeoteshwa kuwa utakuwa mtu mkubwa sana hivyo kuwa makini na marafiki zako ulionayo wasikutoe hapo juu utakapofikishwa asante
Karibu sana biriani, siku hizi TIGO wanatoa tu bila hata kuombwa wanatoa tu bila kufuata utaratibuHABARI
Wadau muwazima
Ni kitambo tumekosana humu mjengoni maana hizi pilikapilika za maisha acha tu bwana zimeniendesha mpk basi
niliwamiso sana hasa wale wadau wa enzi zile akina Bujibuji Asprin Madame B snowhite Husninyo Mtambuzi KakaKiiza
Khantwe lady general na wengine wengi mpaka nimesahau majina aisee kitambo kwakweli mpogo kweli
wengine wamebadiilika na wengine hawako duniani hasa bestito warumi (RIP BESTIE) nitakumiss sana hasa
NIMEFURAHI KUWEPO TENA NAWAKUMBUKA NA NIKO MJENGONI LETENI ISSUE
Wasalaamu
Mama mfundaji
Ladyf yuleyule asieye na mpinzani
Karibu kwanguHahahahahah. Mahaba Niue. Natafta wa kumbadilisha jina na mimi
acha kumzimisha mwenzio hujui linaloendelea baina yetu funga😷Kasome kichwa cha uzi
Unajua kwanini hakuwepo..?
Haya Sasa karudi tena..!
wewe babu una dogo mpk uweke chumvi🤪Kumekucha