hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 528
- 316
- Thread starter
-
- #21
Nimempimia magettoni tukiwa wawili.Na wanaofanya usafi pia ni Watumishi wa spitali.
Kila mtu acheze kivyake kwenye angle zake.
Ukute hapo umesomea Dada wa watu results ambazo sio zake ni zako [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji12][emoji12][emoji12]afu unakuja kutuhadisia
Hapo nimeelewa kabisa.Nimempimia magettoni tukiwa wawili.
Nilianza kumpima yeye majibu yalivyotoka mkanganyiko nikarudia tena yakaja kama mwanzo.Hapo nimeelewa kabisa.
Ila kusoma majibu hapo....[emoji2960][emoji2960]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hutu tukaka twenye vifaa vya kupima nyumbani ama kwenye gari tumalaya sana.
Kenge nyie.
Thread 'Mpenzi wangu anatongozwa sana!' Mpenzi wangu anatongozwa sana!
Thread 'Mchepuko wangu kaanza kuchepuka' Mchepuko wangu kaanza kuchepuka
Afu si unajifanya Dokta?
Thread 'Madhara ya dawa ya kuzuia mimba P2' Madhara ya dawa ya kuzuia mimba P2
Umeona eeeeh?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una uzoefu na hili bila shaka.
Muwindaji makini hakosi silaha alipo
Viliniishia mkuu ndio maana nikachukua hiko cha ORA, ila kwa leo ndio nachukua hapa nikaweke magettoni.Mfanyakazi wa Afya unakosa SD bioline? Utakuwa mzembe au unatuuzia Chai
We mrembo mbn hasira ivoHutu tukaka twenye vifaa vya kupima nyumbani ama kwenye gari tumalaya sana.
Kenge nyie.
Thread 'Mpenzi wangu anatongozwa sana!' Mpenzi wangu anatongozwa sana!
Thread 'Mchepuko wangu kaanza kuchepuka' Mchepuko wangu kaanza kuchepuka
Afu si unajifanya Dokta?
Thread 'Madhara ya dawa ya kuzuia mimba P2' Madhara ya dawa ya kuzuia mimba P2
Jamaa medical ethics zipi zinakufanya unajiachia kupost kits na mkono wako namna hii!!??Viliniishia mkuu ndio maana nikachukua hiko cha ORA, ila kwa leo ndio nachukua hapa nikaweke magettoni.View attachment 1819152
Vijana wa Leo wakishajua kuchoma sindano ,kutoa dawa,kufanya surgery kwisha Kaz hzo medical ethics wazee pekee ndio huzingatiaJamaa medical ethics zipi zinakufanya unajiachia kupost kits na mkono wako namna hii!!??
Dah .
Hana usongo huyoWe sio mroho wa k.....
Mkuu hizi kits zinapatikana bure, kila mtu anaweza kuwa nayo wala sio siri, ni kwa usalama wako, ethics ni kuto kutoa taarifa za mteja na kuexpose confidential documents.Jamaa medical ethics zipi zinakufanya unajiachia kupost kits na mkono wako namna hii!!??
Dah .
Mi ninhemsukumia tu upele, Kwanza mambo ya kupima pima siyatakagi, najua wanaume hawapati ukimwi kirahisi