Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

Kwenye Huo uzi hakusema kuw hakuna Ukimwi, bali hakuna HIV anayesababisha Ukimwi ( upungufu wa kinga mwilini).. akaendelea kuandika ukimwi unasabbishwa na mambo mbali mbali kama matumizi ya antibiotics kwa muda mrefu, ukoesfu wa antioxidant, malnutrition na nk. Na kuwa upungugu wa kinga mwilini hauwezi kumuambukiza mtu mwingine upungufu wako.....

Na kuwa matumizi ya ARV yana madhara?
 
Ungekuta non- reactive, ungesex nae. Si ndio?

Vp kama, bado antibodies hazijawa detected lakini tayari ana infection.??
Mwambie na ww huyu mwehu! Eti nampima! Ona sasa, inawezekana likawa likilimo kama lililotoa +ve jabir, na papai kumbe ni false positive! Mfyuuuuuu 😡!
 
Mkuu ndio utaratibu wangu, siwezi kula mtoto mpya bila kupima.
Umesema ni mtumishi kituo cha afya? Hivi taratibu za kumpima mtu HIV zikoje? Na taratibu za kumpa majibu zikoje? Na vipi ingetokea majibu kwa upande wako yangekuwa mabaya, ungemwambia? Au ndio ungemkomoa kwa kumla ili apate na yeye?

Mtakuja kuua watu. Kama unataka nendeni wote kituo cha afya mpimwe na mtu tofauti ili kila mmoja asikilizie moto wa kusubiri majibu.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mara zote huwa na kipimo zaidi ya kimoja, nikimaliza kumpima mlengwa na mimi hujipima ili aone majibu yangu then tunapiga nyama kwa nyama. Lakini pia siku mrembo anayokuja magettoni huwa najipima kwanza alone ili nijijue niko katika state ipi.
 
Umetua proffession yako vbaya
Kwani kila demu laZima umpime kisa tu unavifaa?? Au kisa ww dokta??
 
Stori za vijana hizi.Mnanikumbusha enzi zile nawafunga kamba washkaji.Uongo mwingiiii!
Mimi kweli mleta Mada hajanifurahisha kabisa, huwezi pima kila msichana kabla ya kutembea naye kwanza ni udhalilishaji hata stimu inakata kwanza
hizi ni hadithi za vijana, sasa akioa si kila mara atampima mke wake akitoka kazini. hata km mke atakuwa Nurse ni lazima kwanza aende akachukuwe majibu kwa mtaalam na NASAHA sio mtaalam wa kupima mikoja Maabara HII NI CHAI jamani
cc hopetumain
 
Afande Siro alisema tube na silaha magetoni. Ndo silaha hizo [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Unafanya(ga) cyo poa mzee ... Nimewahi kuwa na jamaa yangu dk. kwa sasa marehemu. Yeye alikuwa(ga) awanapima bila kujua, akishamzimia anasubiri hadi siku akienda hospital anaumwa then anampima na STDs & HIV....
Juzi pia nimeenda hosp moja naumwa, ajabu ugonjwa ulikuwa sio was kupima HIV, ila nikashangaa nafika maabara naambiwa kipimo kimoja nenda CTC. Heee, nikabaki nashangaa tu imekuwaje tena nimeandikwa kupima HIV jamani[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kupima muhimu sana,maana ndom nazo....
 
Huu usenge wenu wa kupimana kisichokuwepo! Nawaangalia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…