Nimesababisha mimba kwa Mtoto wa Polisi ananiwinda na difenda

Nashukuru kwa kunipa taarifa kuwa unakimbilia mbeya,kesho nitakukuta uyole.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongea na mtoto wa kike vizuri akuandalie mazingira kwa baba ake ukifika ukweni unamaliza kazi

Sema uzuri pia haitamzui kuendeleza chuo ila msala ni kama baba mtoto alitaka kumuingiza Kwenye system akawe poti ndio utakua umemfelisha
 
Kumwaga ndani kuna rahaa yake na karaha yake!πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Na ile sakata lako na mtoto wa diwani liliishia wapi mr IQ?
 
Mkuu habari ya siku mingi
Nilikukumis sana
 
Umeitikisa Serikali ya Samia.
Wewe ni shujaa, utapandishwa cheo kwenye Chama chetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…