Nimesafiri na Fly 540 bila Life Jackets...!

Pdidy
Ahsante sana.
Sasa kama nimepona mimi kwa nini nikae kimya, vizuri waliangalie. Nitasafiri nao tena kipindi cha Easter niyaona kama watajirekebisha. Nikiona bado bado nabaki na hiyo option iliyopo.
 

Braza hata LIFE JACKET (Sio PArachute) zingekuwepo zisingekusaidia kama ndege ingeangua, kwani zile ni za kukufanya uelee majini, sio kwenye Mawe. JNIA-KIA-MNZ hamna Maji!...Pole hata hivyo!
 
Braza hata LIFE JACKET (Sio PArachute) zingekuwepo zisingekusaidia kama ndege ingeangua, kwani zile ni za kukufanya uelee majini, sio kwenye Mawe. JNIA-KIA-MNZ hamna Maji!...Pole hata hivyo!

Yah, lakini ufahamu pia kuwa ndg. huwa haianguki kama jiwe.
Rubani ana uwezo wa kuielekeza mahali ambapo anadhani panafaa akiona mambo ni magumu.
Kwa nini uelezwe kuwa hapa kuna emergency door kama baadhi ya facility hazipo?
 
pdidy
ahsante sana.
Sasa kama nimepona mimi kwa nini nikae kimya, vizuri waliangalie. Nitasafiri nao tena kipindi cha easter niyaona kama watajirekebisha. Nikiona bado bado nabaki na hiyo option iliyopo.


na wewe uutaniwi binafsi nishazichoka rip jamvini
sasa sembuse we ye ndugu yangu baba mmoja mama mmoja tumbo mbali mbali
kachiri kachiri........malizia basiiiiiiiiiiii
 
Spencer ahsanate kwa kufumbua watu macho
binafsi nitawajulisha ninaowajua walio 540 watusaidie kujibu na kurekebisha
tumechoka na rip rips ripppppppppeeeeeeeeeesttttttttttttt kila siku
 
Reactions: Edo
Mkuu Specer, Kama nimekusoma vizuri safari yako ilikuwa Dar, KIA, Mwanza. Hapo hata likikutokea la kutokea life jacket itasaidia nini wakati hamruki juu ya bahari? Kwanza toka lini ukasikia ajali ya ndege kuna watu wameokoka kwa life jacket? Usiombe hii kitu bwana, lile dude likija chini mziki wake usipime
 

Yanasaidia mkuu
 
Nami nilishawahi kuuliza na yule binti mkenya alinionyesha hiyo Life Jacket alisema iko kwa hapa. Pale ulipokaa zinakuwepe chini ya kiti bali kosa wao hawaonyeshi jinsi ya kuzitoa hizo vitu
 
ni tahadhari nzuri kabla ya shari kutokea
 
Wape taarifa wale wakaguzi wa usalama wa anga. Wanaweza kusaidia zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…