sweetlady JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 16,947 Reaction score 8,419 May 13, 2011 #21 Umesahau kuanza na Hapo Zamani za Kale. Ungeanza hivyo ingeleta maana.
Blaki Womani JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 11,229 Reaction score 13,442 May 13, 2011 #22 Hadithi hadithi hadithi njoo utamu kolea
afrodenzi Platinum Member Joined Nov 1, 2010 Posts 18,150 Reaction score 9,255 May 13, 2011 #23 merytina said: hadithi, hadithi Click to expand... Hadhiiii njoooooo utamu kuleaaaaa.. Hapo zamani za kale mmmmhhhhh Kulikuwa na aa. .....
merytina said: hadithi, hadithi Click to expand... Hadhiiii njoooooo utamu kuleaaaaa.. Hapo zamani za kale mmmmhhhhh Kulikuwa na aa. .....
Manumbu JF-Expert Member Joined Oct 28, 2009 Posts 1,746 Reaction score 1,283 May 13, 2011 #24 paukwa? Pakwa! Palitokea? Chenja kaa Kajenga nyumba? Kakaaa...! Mwanangu Mwana Sitti? VIjino kama vijiti! Vya kujengea nyumba? Na Vilango vya kupitia! Hadithi? Hadithiii??? Hadithi Njoo! Maajabu Njoo! Utamu Koleaa!!!
paukwa? Pakwa! Palitokea? Chenja kaa Kajenga nyumba? Kakaaa...! Mwanangu Mwana Sitti? VIjino kama vijiti! Vya kujengea nyumba? Na Vilango vya kupitia! Hadithi? Hadithiii??? Hadithi Njoo! Maajabu Njoo! Utamu Koleaa!!!
Magulumangu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 3,051 Reaction score 461 May 13, 2011 #26 hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahha keyboard yangu inateleza kujibu naona inacheka tuuuuu hahahahahahhaahahahahahahahahahahaha...tukupe mji au?
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahha keyboard yangu inateleza kujibu naona inacheka tuuuuu hahahahahahhaahahahahahahahahahahaha...tukupe mji au?