NIMESALITIWA nisaidieni

unamaanisha yeye ndo mkuu wa JF au?

Nieleweshe kama vipi nichange faster kabla hajashtuka.

ni mkuu wa kaya?
haha, we umenusa upupu! ngoja 'pua' ikuwashe...
 

Inaelekea una gundu la kuopoa vicheche. Nenda kaogee maji ya mfenesi, jipake mate ya paka halafu uvae hirizi yenye kucha za kinyonga kwa siku 7, siku ya 8 nenda Chalinze au Rufiji ulizia kama kuna ngoma yoyote ya kumtoa mwali siku za karibuni, na mwali yeyote atakayekuwa anatolewa siku hiyo mtolee mahari huyo ndiye atakayekufaa.
 
We dogo unaonyesha si mtu mzuri wewe!

Mbona mbishi hivyo na huelewi kitu?

Umeiga jina...haitoshi hadi uige na Avatar?

Nilikuwa nakuonea huruma jinsi ulivyoporwa DEMU...kumbe ndiyo maana!...

FICHA UPUMBAVU WAKO..USIFICHE HEKIMA YAKO!!

PJ,Muacheni kijana aendelee kujivinjari jamani,maana binafsi sijaona popote alipokosea(kwa maana ya kuigajina na Avatar)...Robot anatumia jina la Invisible na kijana hapa anatumia jina la Visible...Na hata kwenye Avatar utaona kwamba Robot anatumia Avatar ambayo ni Bendera ya Afrika tofauti na hii aliyoiweka Visible....Sema mimi ambao huwa wananichanganya ni yule Invincible na The Invisible...Cha msingi msaidieni kumsahuri nini afanye kulitatua tatizo linalomkabili..Pamo jah
 


umenena niteteeeni.
 
Kwa heshima kuu ya kiongozi wangu BALANTANDA nakuruhusu uendelee kutumia jina hilo na avatar hiyo!..Ila kuwa mpole! Safari ni ndefu sana!


asantee sana na wewe ni mkuu wa kaya?au ?mnanimix sana watu wangu hapa.
 
asantee sana na wewe ni mkuu wa kaya?au ?mnanimix sana watu wangu hapa.

Balatanda ni mediator, anasuluhishaga tumigogoro hahaaa!!! si unaona kakuopoa kwenye janga?
 
Mkuu kuwa makini naona umeiga kwa mkuu wajamvi asiye ona kuanzia jina umekwepesha kidogo lakini umechukua ka avatar kake kwa kwenye signature haka hapa.​


Kwa nn usitafute Avatar ingine au unashindana na Invisible?
niishaweka ingine sasa.

malumbano kwisha ???au hata jina mkitaka nabadili
 
Visible



SAFI SANA DOGO.

Sasa naona taratibu tunaanza kuelewana...
Hivi ndivyo tunavyoenda hapa ndani bana!

Utakuwa rafiki yangu sasa...

Nilikuwa nawaza cha kukufanya!
 
niishaweka ingine sasa.

malumbano kwisha ???au hata jina mkitaka nabadili

as far as it has nothing to do with Invisible sioni tabu sasa, unaweza weka na toyota pia kwa nyuma yako, benzi na mengineyo of your choice
 


Tupo pamoja mkuu wa majeshi.

asante kunijuza.
 
niishaweka ingine sasa.

malumbano kwisha ???au hata jina mkitaka nabadili

poa dogo. Ila sasa hapo cha kukusaidia mkuu ni kuachana naye tu wala asikuumize roho huyo hakuwa wa kwako!
 
Well wakuu

Now we can go back to the SUBJECT MATTER!
We have been out of the topic just bcoz ze guy put us at loggerheads!


Mkuu PJ nimesharudi kitambo baada ya kuona kesi imeisha sasa!
 
Ah umeonyesha udhaifu mkubwa na hujiamini yaani eti umemuomba msamaha mara jamaa ana VX huenda shughuli yako bado ya kitoto kwenye mapenzi kiwete hupakatwa baba hiyo ni nukulu ya Dr Remi huyo dame wako alikuwa haridhiki nawe pia mwenyewe una matatizo dame wa kwanza ulimfuma na best wako huyu naye msg waulize akina Fidel watakupa mbinu za kuhandle madame vicheche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…