Visible
Senior Member
- Dec 8, 2009
- 139
- 1
- Thread starter
- #41
Ah umeonyesha udhaifu mkubwa na hujiamini yaani eti umemuomba msamaha mara jamaa ana VX huenda shughuli yako bado ya kitoto kwenye mapenzi kiwete hupakatwa baba hiyo ni nukulu ya Dr Remi huyo dame wako alikuwa haridhiki nawe pia mwenyewe una matatizo dame wa kwanza ulimfuma na best wako huyu naye msg waulize akina Fidel watakupa mbinu za kuhandle madame vicheche
huyu demu hata wewe uneomba msamaha manake ni mkali kinoma yani ni mrembo kwa kifupi miss tz alale mbali.