NIMESALITIWA nisaidieni

Achana nae....kama anataka wenye mali there will always be someone more loaded than you are...hakufai kabisa.... tafuta akupendaye kwa dhati...kama wataka kuwa part of the statictics za walioadhirika...endelea kumuomba msamaha....

shishi naachana nae.
 
mapenzi ni kuvumiliana hivyo kama kashindwa kuwa mvumilivu just know hayupu kwa nia ya kimapenza pamoja na wewe muache haraka iwezekanavyo wapo mabinti wengi wenye mapenzi ya kweli make your choice .
 
mapenzi ni kuvumiliana hivyo kama kashindwa kuwa mvumilivu just know hayupu kwa nia ya kimapenza pamoja na wewe muache haraka iwezekanavyo wapo mabinti wengi wenye mapenzi ya kweli make your choice .

nadhani ulimanisha kimapenzi!
 
Kwanza niseme kuwa kama mwanaume mwenzangu umenilet down kabisa kwasababu hujiamini wala hujikubali kwa jinsi ulivyo kimuonekano na kiuwezo i.e pesa na kazi. Sababu ya kusema hivyo nafikiri unaijua soma thread yako vizuri utajua ninachokisema hapa.

Pili niseme kuwa unataka kutumia kazi yako hiyo uliyoipata kumrudisha huyo mwananmke kwako lakini what i want to tell you kuwa hata akirudi usitegemee kuwa utaishi naye kwa amani kwani kama nimpenda landcruiser na watu wenye pesa hakika hutomtosheleza hata kidogo kwa staili hiyo. Mwanamke sio wa kukupenda kwa kuwa una pesa au kazi nani kakwambia pesa na kazi ni vitu vya kudumu maishani mwa binadamu yeyote inabidi mwanamke akupende kwa mapenzi ya dhati na siyo yanayochagizwa na kitu kingine chochote

Tatu kwanini wanawake wako wanamegwa na wanaume wengine? Wa kwanza liveeeeee kabisa anakula mtarimbo uliolala doro na huyu naye meseji zinazomshawishi akakumbatie mtarimbo kwa jirani. Tatizo ni nini? Hujajiuliza eti Mpwa? Kaa chini uangalie umejikwaa wapi halafu uanze upya

Nimechoka kuandika baadae tena bana
 

nimeamua kuachana nae kwani maoni ya wengi humu ni afadhali niachane nae manake atajaniua bure.

cha msingi wanawake ni wengi sana na nitatafuta taratibu ila roho inaniuma sana sana,na itaniuma mpaka ntapopata mwingine.
 
nimeamua kuachana nae kwani maoni ya wengi humu ni afadhali niachane nae manake atajaniua bure.

cha msingi wanawake ni wengi sana na nitatafuta taratibu ila roho inaniuma sana sana,na itaniuma mpaka ntapopata mwingine.
Binafsi sijakushauri uachane naye hiyo ni juu yako mwenyewe bana ili baadae mambo yakiharibika Sipo asiwe ndani ya watu waliokuharibia. Thats up to you man

Kingine kama umeamua kuachana naye achana na biashara ya roho kukuuma, achana naye angalia mbele anza safari mpya bana, hayo mambo ya roho ya nini tena?
 

pole! greti thinka. kuna kadada kalianzisha thread ya kutafuta mchumba hapa, unaweza ukakaPM kakapunguza makali ya machungu. (PM et yowa own rizk)
 


kwa sababu nilimpenda sana mkuu.nadhani hata wewe ulishapenda....so unajua,u know how it hurts
 
pole! greti thinka. kuna kadada kalianzisha thread ya kutafuta mchumba hapa, unaweza ukakaPM kakapunguza makali ya machungu. (PM et yowa own rizk)

klorokwini:tx mkuu.kama vipi kaambie kawasiliane nami hapa.

awe tayari kwa mapenzi ya kweli na awe tayari kupima hiv.
 
kwa sababu nilimpenda sana mkuu.nadhani hata wewe ulishapenda....so unajua,u know how it hurts
Nalielewa sana hili Mpwa lakini ukiamua kutoka toka na miguu yote miwili, a prince never hestate
 
Nalielewa sana hili Mpwa lakini ukiamua kutoka toka na miguu yote miwili, a prince never hestate

as long as i have no place to fall back,lzma niumie.

she treated me unfair,god knows.
 
as long as i have no place to fall back,lzma niumie.

she treated me unfair,god knows.
Duh! Mpwa mbona unampa credit sana huyu mwanamke bana, unajua ni mbaya sana kama ni guest wa JF basi anakudharau kinoma Mpwa kama hujui.

Kuna place nyingi za kufall unaweza hata kuanzisha kilimo cha matikiti au kilimo cha mboga za majani.

Acha hii mambo ya kuumia

Mimi nimemaliza bana, siji tena uku labda uniPM
 
Muombe Huyu Jamaa akusaidie kumpata mwingine mzuri saaaana
 
wewe una tatizo kubwa la namna ya kuwa handle wanawake
especially vicheche......
sasa kabla hujatafuta mwingine
anza kujifunza abc d ya nini cha kufanya unapompenda
mwanamke.....
sio ngumu but sio rahisi pia...

kwanza kabisa wanawake
hawapendi wanaume dhaifu....
kama ulimfumania ni bora
ungezua varangati na kumuacha
sio kulia lia...

pili,wanawake hawapendi
mwanaume wa kupewa penzi kwa kuonewa
huruma,
wanataka a strong man who can handle
both pain and love.....

so kwa ufupi jifunze kuwa strong man...

tofautisha kuwa tough na kuwa strong...
 
usijali utapata mwingine mkubwaaaa


Si ndio, kwani mkuu wewe una kasoro gani? Kwa nini ujikombe kwa huyo binti, kosa afanye yeye msamaha uombe wewe? Ohoo hajaja tena sijui amebadili namba aaa jamani huku ni kupenda au ni ubwege!
 
si ndio, kwani mkuu wewe una kasoro gani? Kwa nini ujikombe kwa huyo binti, kosa afanye yeye msamaha uombe wewe? Ohoo hajaja tena sijui amebadili namba aaa jamani huku ni kupenda au ni ubwege!

kabisa.
 
Matukio hayo ni mengi sana kaka, sema tu hayawekwi wazi. Cha msingi tafuta tatizo ni nini hasa then rekebisha kama ni wewe! Huyu wa pili kumuacha japo sijajua ndani ya muda gani. Nachotaka kusema kuwa makini katika maamuzi na namna ya kuongea na viumbe hawa
 

chapa lapa mzee..
angalia wapi umejikwaa,
inuka kutoka hapo ulipoangukia kisha safari iendelee..
asiyekupenda achana naye.
 


ya ukeli sana hii mpwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…