Nimsaidie Kujibu Kuna baadhi ya Wanawake wanaudhi sana kiasi kwamba maisha yako na watoto kama mnao yanaharibika Kabisa...!! Ujue hakuna Kitu kibaya kama break up. Hasa ikiwa uliweka Kila Kitu Ili Relation idumu milele...!!!
🤣...Bro umewaka,Angekua karibu ungemzaba mabanzi[emoji117]Et leo naenda kwa mwanaume usinitext??
MAMAEE KABISAA, HUONI HUYO ALITAKA KUKUUA ?? HUONI HAJALI UFANISI WA KAZI ZAKO??
MANINAA KABISAAA WEE, MALAYA MMOJA ASOJITAMBUA, UMEMUOKOTA HUMU NA KESHAZALISHWA , NDIO ANAKUENDESHA KAMA MJINGA????
Endelea, mpaka utakapokuua ndo utajua uko kwenye kaburi lako.Hodi wakuu!
Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru mungu nilifanikiwa , taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa kukutanishwa naye !
Mwaka 2019 ndipo true colour yake halisi nikaitambua akawa ni mwanamke mwenye maneno mengi Sana na simu yake ikawa busy Sana nikaja tambua kumbe ana Yule mshikaji wake aliyemzalisha tayari wanawasiliana na tabia yake ikawa chafu Sana kiufupi nilipitia matatizo makubwa Sana kwenye ndoa hiyo Familia ikaingilia kidogo Mambo yakawa sawa huwezi amini nilimthamini sana yeye na ndugu zake pia lakini hakujali kabisa.
Ndgu zangu Mimi na wazazi wangu nikawa naumia Sana nikiamini ipo siku atabadilika nikawa nanunua zawadi napeleka nyumbani nadai kuwa mke wangu ndo kanunua kwa ajili yao kumbe hakuna nilifanya ivo ili kuwaaminisha wazazi kuwa anawapenda Sana lakini haikuwa ivo, mwaka huu January nilipata Safari ya kwenda Congo DRC mwanamke akarudia tabia zake za mwanzo ikafikia hatua akawa anatuma Text kwa leo anaenda kwa mwanamme so nisimsumbua na mengine mengi , nimerudi mwezi August moyo wangu ukiwa na maumivu makubwa Sana ila tayari nilikuwa na uamuzi wa kuachana nae !
Kweli nilifanikiwa Hilo nashukuru Mungu ndani ya muda mfupi Sana nimemsahau lakini kubwa lililonifanya kuja kwenu hapa jamvini Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Je wanawake wakweli wapo wapi ? au ndo utandawazi huu!
Nawasilisha.
Wala sio kwamba kakumis kiivo bali ni maelekezo ya mama yakeMkuu juzi nimepigiwa simu na mwalimu wa mtoto anasumbua anataka kuongea nami nikaumia Sana nikaongea na mtoto anaonekana kanimis Sana so sauti ya mtoto nikilala inajirudia naumia Sana juu ya mtoto si mama
Espy nimejikuta katika Wakati mgumu sana... Sasa nimejikuta naogopa kuanza Tena Mahusiano umalaya pia siuwezi ndo maana nasema sitamuonea Huruma Wala Kumthamini Mwanamke Tena....!!!Just be a man, usiwe katili.
Emu fafanue ayavulie nguo vipi wewe smart wa mahondwa tena wewe jishikiliePole sana...
Maji ulishayavulia nguo huna budi kuyakoga...
Fanya kile ambacho nafsi yako itakuwa na amani kukifanya.Espy nimejikuta katika Wakati mgumu sana... Sasa nimejikuta naogopa kuanza Tena Mahusiano umalaya pia siuwezi ndo maana nasema sitamuonea Huruma Wala Kumthamini Mwanamke Tena....!!!
Wanawake wazuri wapo sema sometime inahitaji akili tatizo siku hizi mnaokotana mtaani lakini nakuhakikishia ukitulia utampata mwanamke mzuri dalili za mwanamke wa kuoa zinaanza kuonekana mapema huwezi kaa na mwanamke miaka miwili kama uko timamu usijue anafaa ama hafai,nakuhakikishia wanawake wazuri wapoEspy nimejikuta katika Wakati mgumu sana... Sasa nimejikuta naogopa kuanza Tena Mahusiano umalaya pia siuwezi ndo maana nasema sitamuonea Huruma Wala Kumthamini Mwanamke Tena....!!!
Watu mmechafukwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]WEE JAMAA HUZALISHI YAAN HUNA NGUVU ZA KIUME ??
KWAHIYO HILO DUBWASHA LAKO ,MTOTO WAKE KUTUMIA MAJINA YAKO .
NDIO UNAJIONA BABA ??? MAMAEEEE
***** zako wewe hv unajielewa ww?Hodi wakuu!
Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru mungu nilifanikiwa , taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa kukutanishwa naye !
Mwaka 2019 ndipo true colour yake halisi nikaitambua akawa ni mwanamke mwenye maneno mengi Sana na simu yake ikawa busy Sana nikaja tambua kumbe ana Yule mshikaji wake aliyemzalisha tayari wanawasiliana na tabia yake ikawa chafu Sana kiufupi nilipitia matatizo makubwa Sana kwenye ndoa hiyo Familia ikaingilia kidogo Mambo yakawa sawa huwezi amini nilimthamini sana yeye na ndugu zake pia lakini hakujali kabisa.
Ndgu zangu Mimi na wazazi wangu nikawa naumia Sana nikiamini ipo siku atabadilika nikawa nanunua zawadi napeleka nyumbani nadai kuwa mke wangu ndo kanunua kwa ajili yao kumbe hakuna nilifanya ivo ili kuwaaminisha wazazi kuwa anawapenda Sana lakini haikuwa ivo, mwaka huu January nilipata Safari ya kwenda Congo DRC mwanamke akarudia tabia zake za mwanzo ikafikia hatua akawa anatuma Text kwa leo anaenda kwa mwanamme so nisimsumbua na mengine mengi , nimerudi mwezi August moyo wangu ukiwa na maumivu makubwa Sana ila tayari nilikuwa na uamuzi wa kuachana nae !
Kweli nilifanikiwa Hilo nashukuru Mungu ndani ya muda mfupi Sana nimemsahau lakini kubwa lililonifanya kuja kwenu hapa jamvini Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Je wanawake wakweli wapo wapi ? au ndo utandawazi huu!
Nawasilisha.
Mtoa mada labda anashida ya nguvu za kiume mwanaume anayedinda sawasawa hawezi kuwa mnyonge hivi. Hata beberu hujimwambafai mbele ya majikeMkuu umemaindi balaa lakin kama ataelewa na aelewe
Wewe hujitambuiAlwaysbusara Ni nzuri hasa ukiwa u ajitambua
Karibu robert ila nimesapoti kumlipia ada kama uwezo unao na hasa kama wazazi halisi ni wale wajinga wasiotaka kusomesha na kumpa mtoto haki zake.Mkuu una
Mkuu una akili Sana nashukuru