Nimesamehe lakini sitasahau

Duh
 
Mie ni wa kweli
 
Jamaa ni Bwege Pro Max
 
Hahahaahahahahahahahahahahahahaha mku inaonyesha jinsi gani umeguswa na upuuzi wa huyu jamaa. Angekuwa karibu na wewe muda huu sijui ingekuaje?. Sema usisagau uwepo wa visa vya kutunga
 
Pole sana Mkuu nashauri ACHA huo utaratibu haraka sana.

Baba halisi yupo na ana mawasiliano na huyo mpuuzi so acha abebe majukumu yake.

Fanya utaratibu mtoto asitishe kutumia majina yako mtego huu.

Halafu relax mademu wazuri wenye tabia nzuri wapo tu utapata wa kufanya nae maisha achana na Hilo puuzi moja wapo.
 
POLE SANA! ILA NATAMANI NIONE BEHIND THE SCENE YKO..! HYO DADA NAYE AZUNGUMZE KUHUS WW.😟
 
Nashindwa kuelewa siku hizi tuna wanajeshi wazembe namna hii.

Halafu hawa wanawake mbona guwatesa sana wanajeshi?

Mkuu vunja daraja nyuma yako kisha songa mbele hapo huna mke wala mtoto. Huna cha kupoteza ndugu zaidi ya kurudia matatizo. Mpoge block achana nae hata maongezi
 
Inamana huyu Ni solja duh basi kuna WALAKIN mahali....
 
hahaha mkuu una mijimaneno
 
Duuh mkuu unahitaji ushauri kweli kwenye hili? Baada ya yote hayo kukukuta bado unaona unataka kushauriwa??? Na serious man

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mzima huyu jamaa,mwanamke kaishamuweza aidha kamzidi akili(midawa) au ni ulimbukeni wake tu.
 
Kwahyo hako kabinti kadogo saiz nikamama mchungaji? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…