Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Pole mkuu, ndivyo walivyo tuishi nao kwa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SASA BASI.. UKISHINDWA KUTEKELEZA.Nimeanza utekelezaji wa kukushughulikia. Muda ndiyo utaamua. Si unadhani kila mtu ni wa kutukana humu ndani. Subiri.
Unasoma HGK, HGL, HGE, HKL umepata 2 . Au umesoma Ka diploma kann huko. Umeunga.Nimeanza utekelezaji wa kukushughulikia. Muda ndiyo utaamua. Si unadhani kila mtu ni wa kutukana humu ndani. Subiri.
[emoji23][emoji23][emoji23] komando wa leo[emoji91][emoji91][emoji91]SASA BASI.. UKISHINDWA KUTEKELEZA.
NITAKUA NA WASIWASI NA HAKO KAELIMU KAKO KASHERIA
NITAKUONA NIKM HAWA MAWAKILI WA SERIKALI WANAOULIZA
"wakili....Posta unapajua ????
Shahidi...Hapana.
Wakili...Unapajua Stesheni ???
Shahidi ...Ndio
Wakili...Pale ndio Posta.
Jaji....Sasa niandike nini??
Wakili..mmUnapajua Posta[emoji23][emoji23][emoji23]
Serikali huwa inapoteza sana Pesa kusomesha vichwa maji kama wewe.
HAYA NAKUTAKIA KAZI NJEMA..NASUBIRI UCHURO WAKO.
KMMKE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Komando leo ametuvunja sana mbavuu[emoji23][emoji23][emoji23] komando wa leo[emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 1956473
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huyu kibokooo[emoji23][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Komando leo ametuvunja sana mbavuu
" labda ungenishtua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna ule wakati wa ..." MikazoHuyu kibokooo[emoji23][emoji91][emoji91]View attachment 1956502
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]ni kusudi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna ule wakati wa ..." Mikazo
Wakili waserikali akawa anajiondoa ufahamu
Hahaha sasa kuna zile komenti za wana , ulikua unazipitia???
Miye tenaa[emoji23][emoji23]Hahaha sasa kuna zile komenti za wana , ulikua unazipitia???
Mbongo ni mbadi sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Safari yako imekuwa ngumu na fupi sana hapa Love Connect :
1. Hapa unatafuta mke
Natafuta mke aliye serious, hata kama una mtoto
Habari zenu ndg ! natafuta mwanamke wa kuoa umri kuanzia miaka 23 na kuendelea sichagui dini wala kabila ila lazima awe mikoa ya mwanza mara shy na dodoma hata uwe na mtt usiogope nafanya kazi nimeajiliwa ,professional yangu ni lab technologist plz nipo serious contact me 0742713444www.jamiiforums.com
Natafuta mwanamke wa kuoa
Habari jf kwanza kabisa napenda kutoa shukurani kw mungu mpk now nipo mzima wa afya nanyi natumai mu wazima kama nilivyosema natafuta mwanamke wa kuishi nae umri wake awe na 25 +..... 30 pia awe mkristu mm nafanya kazi nimeajiliwa plz kama upo tayari contact me 0742713444 ahsanteni naomba...www.jamiiforums.com
2. Hapa ukaleta mrejesho
Mrejesho: Nimepata mke kupitia jukwaa hili la Love Connect
Habari za jioni wakuu, Napenda kuwashukuru wote kwa maoni na mawazo yenu kwa kile nilichokiandka siku za nyuma kidogo. Niliandika; Natafuta mwanamke wa kuoa Niliandika nahitaji mke na kweli, Mungu kanipa kupitia jukwaa hili la JF sasa nafurahia maisha ya uchumba. Kupitia jukwaa hili...www.jamiiforums.com
3. Nawe ukaanza na kutoa ushauri
MAANA NA JINSI YA KUMTATHIMINI MCHUMBA /MPENZI
Habari zenu wakuu ! nimeamua kuandika huu uzi kwa sababu nami ni muhanga katika suala hili ila nimekaa chini na kuamua kuandika ili niwasaidie vijana wenzangu juu ya suala hili Lakini mtakumbuka kuwa naandika huu uzi baada ya.kupata.mke kupitia jukwaa hili la JF Niende kwenye mada , ukitaka...www.jamiiforums.com
4. Kazi kwisha. Vilio na majuto. Pole sana!
Nimesamehe lakini sitasahau
Hodi wakuu! Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru Mungu nilifanikiwa, taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa...www.jamiiforums.com
Very simple bro,mwambie no sitaweza kutoa fedha za ada kwakuwa wewe sio baba mzazi,ulifanya hayo yote mlipokuwa pamoja,kwa sasa hampo pamoja,achukue ustaarabu wakeHodi wakuu!
Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru mungu nilifanikiwa , taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa kukutanishwa naye !
Mwaka 2019 ndipo true colour yake halisi nikaitambua akawa ni mwanamke mwenye maneno mengi Sana na simu yake ikawa busy Sana nikaja tambua kumbe ana Yule mshikaji wake aliyemzalisha tayari wanawasiliana na tabia yake ikawa chafu Sana kiufupi nilipitia matatizo makubwa Sana kwenye ndoa hiyo Familia ikaingilia kidogo Mambo yakawa sawa huwezi amini nilimthamini sana yeye na ndugu zake pia lakini hakujali kabisa.
Ndgu zangu Mimi na wazazi wangu nikawa naumia Sana nikiamini ipo siku atabadilika nikawa nanunua zawadi napeleka nyumbani nadai kuwa mke wangu ndo kanunua kwa ajili yao kumbe hakuna nilifanya ivo ili kuwaaminisha wazazi kuwa anawapenda Sana lakini haikuwa ivo, mwaka huu January nilipata Safari ya kwenda Congo DRC mwanamke akarudia tabia zake za mwanzo ikafikia hatua akawa anatuma Text kwa leo anaenda kwa mwanamme so nisimsumbua na mengine mengi , nimerudi mwezi August moyo wangu ukiwa na maumivu makubwa Sana ila tayari nilikuwa na uamuzi wa kuachana nae !
Kweli nilifanikiwa Hilo nashukuru Mungu ndani ya muda mfupi Sana nimemsahau lakini kubwa lililonifanya kuja kwenu hapa jamvini Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Je wanawake wakweli wapo wapi ? au ndo utandawazi huu!
Nawasilisha.
Uncle wako bado atakuwa anasumbuliwa na huo ufalaSema jamaaa anachukua ushauri unao mfurahisha yeye alitaka sapoti tu ya watu watao muunga mkono kwa ujinga wake na sisi tumuache aendelee na ufara wake si penda penda sana yeye halafu miaka kibao hujamtia hata mimba huyo malaya si bora ubaki single.
Nina uncle fara fara kipindi hicho nae ni mchungaji ila mkewe(mama mchungaji) alimtesa kifara mara asepe home akapigwe pumbu huko anakuja kurudi baada ya muda na anapokewa maisha yanaendelea sema uncle bana baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani kwa muda mrefu akili zilimrudi saizi kaoa ka bint kengine mambo shwari
We endelea kumpepelea huyo malaya anakupenda sana, kwani joka jeusi kapotelea wapi wakuu
Kwa jinsi unavyotukana na kujifanya mbabe humu jukwaani JF kwa mtu mzima na mwenye uelewa anajifunza kuwa ni mtu wa namna gani. Wewe ni either ni mtu wa kanda ya ziwa Msukuma na bado una ushamba na umwamba/utemi wa kizamani kama JPM, pili umeishi maisha ya kuumizwa/kuteswa utotoni, umekuliaWeee mjinga kweli , umeona nimegombana naye ???
Nmeamua kutofautiana naye kwa lugha hiyohiyo ambayo nmeona inafaa.
Unajua maana ya kugombana???
We matako nini,, sasa wee ndio tunagombana.
Unaniletea vitisho vya kipumbavu ,, ANZA HATA SASA KUSHUGHULIKA SASA
Wee fala nini, mpuuzi kabisa, unaona kwa maisha haya na umri huu ni wakuongea namm kama huna akili ???
TENA UKOMEE NA USITHUBUTU SIKH NYINGINE KUNIFUNULIA MDOMO WAKO MKUBWA HUO.
KABLA YA KUNIFUNZA JAMBO ..HAKIKISHA U.EUNGANISHA DOMO LAKO KUBWA NA KA KAUBONGO KAKO KADOGO ULIKOJALIWA
Mungu akusaidie uache kunipurukia siku nyingine.
Mjinga mmoja wee, nilini wapi?? Nmewahi kukutweza utu wako???
Uliwah niPM mahali popote toka uanze kunifatilia ???
UMESHINDWA NN KUNIBLOK??? NMEKUOMBA UWE UNASOMA MAANDIKO YAKO???
MANYOKO KABISA...
SASA NIIVI, WEWE NA WENGINE AMBAO MNAKWEZEKA NA MAANDIKO YANGU, SIWALAZIMISHI KUSOMA, NA BADO HAMNIPANGIII NINI NIANDIKE .
MNIBLOK [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123].
Msamehe bro, huyo ana mtindo wa ubongo. Mtu mzima na mwenye akili timamu asingeandika hayo aandikayo. Anatukana sana na mods wanamuangalia tu.Nimeanza utekelezaji wa kukushughulikia. Muda ndiyo utaamua. Si unadhani kila mtu ni wa kutukana humu ndani. Subiri.
Umenifanya nicheke kwanguvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safari yako imekuwa ngumu na fupi sana hapa Love Connect :
1. Hapa unatafuta mke
Natafuta mke aliye serious, hata kama una mtoto
Habari zenu ndg ! natafuta mwanamke wa kuoa umri kuanzia miaka 23 na kuendelea sichagui dini wala kabila ila lazima awe mikoa ya mwanza mara shy na dodoma hata uwe na mtt usiogope nafanya kazi nimeajiliwa ,professional yangu ni lab technologist plz nipo serious contact me 0742713444www.jamiiforums.com
Natafuta mwanamke wa kuoa
Habari jf kwanza kabisa napenda kutoa shukurani kw mungu mpk now nipo mzima wa afya nanyi natumai mu wazima kama nilivyosema natafuta mwanamke wa kuishi nae umri wake awe na 25 +..... 30 pia awe mkristu mm nafanya kazi nimeajiliwa plz kama upo tayari contact me 0742713444 ahsanteni naomba...www.jamiiforums.com
2. Hapa ukaleta mrejesho
Mrejesho: Nimepata mke kupitia jukwaa hili la Love Connect
Habari za jioni wakuu, Napenda kuwashukuru wote kwa maoni na mawazo yenu kwa kile nilichokiandka siku za nyuma kidogo. Niliandika; Natafuta mwanamke wa kuoa Niliandika nahitaji mke na kweli, Mungu kanipa kupitia jukwaa hili la JF sasa nafurahia maisha ya uchumba. Kupitia jukwaa hili...www.jamiiforums.com
3. Nawe ukaanza na kutoa ushauri
MAANA NA JINSI YA KUMTATHIMINI MCHUMBA /MPENZI
Habari zenu wakuu ! nimeamua kuandika huu uzi kwa sababu nami ni muhanga katika suala hili ila nimekaa chini na kuamua kuandika ili niwasaidie vijana wenzangu juu ya suala hili Lakini mtakumbuka kuwa naandika huu uzi baada ya.kupata.mke kupitia jukwaa hili la JF Niende kwenye mada , ukitaka...www.jamiiforums.com
4. Kazi kwisha. Vilio na majuto. Pole sana!
Nimesamehe lakini sitasahau
Hodi wakuu! Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru Mungu nilifanikiwa, taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa...www.jamiiforums.com
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kivipi? Au alimkabidhi dem wake?