Nimesamehe lakini sitasahau

Nimesamehe lakini sitasahau

Safari yako imekuwa ngumu na fupi sana hapa Love Connect :

1. Hapa unatafuta mke



2. Hapa ukaleta mrejesho


3. Nawe ukaanza na kutoa ushauri


4. Kazi kwisha. Vilio na majuto. Pole sana!

Ngosha jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi huyu sio ngosha kweli?
 
Kwa jinsi unavyotukana na kujifanya mbabe humu jukwaani JF kwa mtu mzima na mwenye uelewa anajifunza kuwa ni mtu wa namna gani. Wewe ni either ni mtu wa kanda ya ziwa Msukuma na bado una ushamba na umwamba/utemi wa kizamani kama JPM, pili umeishi maisha ya kuumizwa/kuteswa utotoni, umekulia
maisha ya kimaskini sasa ndio unajionesha umwamba kama JPM and other sukuma gang, u limbukeni, u mshamba sanaaaaa. Maandishi yako yananena tabia na makuzi yako hata kama hatufahamiani huku. Pole na samahani kwa hilo bro.
Wala hata usiseme Samahani

Nilikua napita pita mahali , sasa nmepata muda Ngoja nikujibu...nakujibu kwa sababu kubwa moja[emoji117]HUWA SIRUHUSU KAULI YA MWISHO YA MTU IJARIBU KUNIPAKA UONGO ".


Kiongozi wa familia yetu( Baba) ni PROF mwajiriwa wa serikali ktk Chuo kkuu kimoja hapa TZ na mkufunzi wa vyuo vikuu kadhaa..

Bi mkubwa ( sitamgusia) .



Kwetu tumezaliwa wengi sitowazungumzia ndugu zangu, ila Tulichagua kusoma kwa sababi Elimu ndio Urithi muhim wa Baba kwa wanawe na, Ninawapongeze wazazi wangu kwakua walisema" Anayetaka kusoma atasomeshwa anapotaka.. Kwa ufupi Mkubwa wetu amemaliza PhD yake Japan.
Na mdogo wa mwisho, yupo Mzumbe anafanya Sheria.


Katika usomaji wetu mpaka tunamaliza masomo ya vyuo vikuu, hamna hata mtoto mmoja aliyesoma shule za serikali ,hayupo hata mmoja...hivo sijawahi hata siku moja kupitia maisha ya mateso na kuumizwa sijui nn, sijawahiiii sijawahiiii hata [emoji23] ( NA VIJANA WENZANGU KAMA UNAHELA, USIPELEKE MTOTO WAKO SHULE YA SERIKALI).


KITABIA, NADHAN KAMA NI KULELEWA WAZAZI WANGU WALIJITAHIDI SANA KUTUISHI KATIKA MAISHA YA DINI SANA SANAAAA , NA HII NDIO SABABU TUMEKUA TUKIZUNGUMZWA VIZURI NDANI YA JAMII.

( Kwa hivo, usirudie kuhisianisha Ninachokiandika humu na malezi toka kwa Baba na Mama yangu)

Kuhusu kabila.

Mimi ni MSUKUMA, , Mfuasi wa mfumo Dume yaan ,mimi kwangu namuishi mwanamke kama ambavyo Biblia inaniongoza, sio mkorofi wala sio mgonvi .( ndio maana ninawatukana nyinyi wanaume mnaolia lia humu sababu ya wanawake kwa uzembe wenu na uzwazwa wenu na uzoba wenu wa kushindwa kujua MIPAKA YA UANAUME WENU).

[emoji123]Binafsi ni DAKTARI DARAJA LA PILI ( hujui tu inakuchukua nn mpaka kumaliza safari ya miaka mitano ) ,NINA VITEGA UCHUMI VYANGU, VINAVYONIPA MIA MIA KILA SIKU IVO sina njaaaaaa, sina shidaa, siwez kukopa mtu, nikikopa nakopa Taasisi za kifedha kwaajili ya mipango yangu ya maisha.

[emoji117]Huku nje , ni wale vijana ambao watu watakuzungumzia hivi.." Kama unaenda pale, hakikisha unamuona Fulani "

Yaan wale vijana ambao, watu wanaenda baadae wanarudi kukushukuru[emoji123]


Ni Baba wa watoto, watoto wazuriiiiiii mnoooo



Miaka yangu ni 29 ivo bado kijana mdogo , nikilinganisha Mafanikio yangu na Umri wangu, huwa namshukuru Muumbaji


CHOCHOTE NACHOKIANDIKA HUMU, NINAKIANDIKA KWA MAKUSUDI YA AKILI YANGU MWENYEWE WALA USIANZE KULINGANISHA FAMILIA.




HIVO NIKUSHAURI, USIJIKITE KUNIJUA , JIKITE NA NINACHOKIANDIKA , HUTAKI KUKIPOA, KIACHE.
 
Hodi wakuu!

Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru mungu nilifanikiwa , taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa kukutanishwa naye !

Mwaka 2019 ndipo true colour yake halisi nikaitambua akawa ni mwanamke mwenye maneno mengi Sana na simu yake ikawa busy Sana nikaja tambua kumbe ana Yule mshikaji wake aliyemzalisha tayari wanawasiliana na tabia yake ikawa chafu Sana kiufupi nilipitia matatizo makubwa Sana kwenye ndoa hiyo Familia ikaingilia kidogo Mambo yakawa sawa huwezi amini nilimthamini sana yeye na ndugu zake pia lakini hakujali kabisa.

Ndgu zangu Mimi na wazazi wangu nikawa naumia Sana nikiamini ipo siku atabadilika nikawa nanunua zawadi napeleka nyumbani nadai kuwa mke wangu ndo kanunua kwa ajili yao kumbe hakuna nilifanya ivo ili kuwaaminisha wazazi kuwa anawapenda Sana lakini haikuwa ivo, mwaka huu January nilipata Safari ya kwenda Congo DRC mwanamke akarudia tabia zake za mwanzo ikafikia hatua akawa anatuma Text kwa leo anaenda kwa mwanamme so nisimsumbua na mengine mengi , nimerudi mwezi August moyo wangu ukiwa na maumivu makubwa Sana ila tayari nilikuwa na uamuzi wa kuachana nae !

Kweli nilifanikiwa Hilo nashukuru Mungu ndani ya muda mfupi Sana nimemsahau lakini kubwa lililonifanya kuja kwenu hapa jamvini Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Je wanawake wakweli wapo wapi ? au ndo utandawazi huu!

Nawasilisha.
Piga zinga la block kila sehemu. Pumbavu
 
Wewe ni mpumbavu , msengee kabisa maninaa

UNAOKOTA MALAYA HUMU ASOJITAMBUA, ANAKUENDESHA WEEE, UNAVUMILIA.

UMEFANIKIWA KUMUACHA ,ALAFU ANAKUJA KUKULETEA UMALAYA WAKE WAZIWAZI

"ET ANAOMBA HELA ZA SHULE?"


HILO DUBWASHA LIMEKUONA WEWE NI BWEGEEE JINGAAAA FALAAAAAA


[emoji116][emoji116]
Baada ya Miezi kadhaaa ya kuachanaa...simu inapigwa

[emoji116]

Dubwasha.... Halo

Robert ......Halo mambo

Dubwasha.... Poa my zasiku

Robert .... Nzuri tu ,niambie

Dubwasha.... My sorry ila jamaan ninashida na hela ya kumpeleka mtoto shule

Robert....mmmhhh sawa lkn unakumbuka ulivyonitenda..mimi nilikua nakupenda sanaaa, nmekujali mnooo, yaan nilitaka ujione wee ni malaika lkn mmmhh

Dubwasha.... Jamaan My hayo tuyaache

Robert...poa ngoja nitaangalia alafu nitakujuza.( huki kichwan akiwaza kua demu akija kufata helaa, atampa na mbususu ajipigiee[emoji23][emoji23][emoji23]) ..........

Dubwasha... Anajisemea ( Bwege weweee nakuja nikiwa hedhi[emoji23][emoji23][emoji23])

Mimi Carlos The Jackal nikifanya Analysis ya hayo mazungumzo nakuja namambo haya

[emoji117]Robert toka atemane na demu, hajawahi kutia hata siku moja.[emoji23]

[emoji117]Robert ..sio tu aliacha, bali aliacha kwa sababu demu aliimiza sana kuachanaaa nahii nibaada ya Mwenye mtoto kumwambia achika, uje tulee mtoto.

[emoji117]Robert ..ni wanaume madome zege, kutongoza ni waoga..ndio maana aLitafuta mwanamke humu JF.

[emoji117]Robert anaweza kua kila mwanamke alokua naye alimkimbia .

[emoji117]Robert sio kwamba aliamua kutafuta mwanamke humu ,hata kama anamtoto yeye anabeba, sio kwasababu ana UPENDO bali hakua na chaguo jingine.

[emoji117]Demu alikua na stress nyingi za maisha, kuwaza kulea mtoto, maisha magumu sanaa kula, kuvaaaa ( enzi hizo vyuma vilikaza)

[emoji117]Demu ni kanamke ivi kembamkemba kana micheruko sio ya nchii hiii, yaan ni tulw tudemu tinavyoshindia chips au chai ya asubuhi, lkn kamejaza CD za tamthiliya na remote kanashikilia masaa 24.

[emoji117]Demu alikua anampelekesha humo ndani.

Kwa haya machache niseme kua, DEMU NI KIBOKO YA ROBERT...

ILA KWA WANAUME KAMA SISI..DEMU NI KAMALAYA KAMOJA KAPUMBAVU KAMEJAZA PUMBA KICHWANI.
Nimeishia kwenye points zako na asikoment mwingine maneno kuntu
 
Wala hata usiseme Samahani

Nilikua napita pita mahali , sasa nmepata muda Ngoja nikujibu...nakujibu kwa sababu kubwa moja[emoji117]HUWA SIRUHUSU KAULI YA MWISHO YA MTU IJARIBU KUNIPAKA UONGO ".


Kiongozi wa familia yetu( Baba) ni PROF mwajiriwa wa serikali ktk Chuo kkuu kimoja hapa TZ na mkufunzi wa vyuo vikuu kadhaa..

Bi mkubwa ( sitamgusia) .



Kwetu tumezaliwa wengi sitowazungumzia ndugu zangu, ila Tulichagua kusoma kwa sababi Elimu ndio Urithi muhim wa Baba kwa wanawe na, Ninawapongeze wazazi wangu kwakua walisema" Anayetaka kusoma atasomeshwa anapotaka.. Kwa ufupi Mkubwa wetu amemaliza PhD yake Japan.
Na mdogo wa mwisho, yupo Mzumbe anafanya Sheria.


Katika usomaji wetu mpaka tunamaliza masomo ya vyuo vikuu, hamna hata mtoto mmoja aliyesoma shule za serikali ,hayupo hata mmoja...hivo sijawahi hata siku moja kupitia maisha ya mateso na kuumizwa sijui nn, sijawahiiii sijawahiiii hata [emoji23] ( NA VIJANA WENZANGU KAMA UNAHELA, USIPELEKE MTOTO WAKO SHULE YA SERIKALI).


KITABIA, NADHAN KAMA NI KULELEWA WAZAZI WANGU WALIJITAHIDI SANA KUTUISHI KATIKA MAISHA YA DINI SANA SANAAAA , NA HII NDIO SABABU TUMEKUA TUKIZUNGUMZWA VIZURI NDANI YA JAMII.

( Kwa hivo, usirudie kuhisianisha Ninachokiandika humu na malezi toka kwa Baba na Mama yangu)

Kuhusu kabila.

Mimi ni MSUKUMA, , Mfuasi wa mfumo Dume yaan ,mimi kwangu namuishi mwanamke kama ambavyo Biblia inaniongoza, sio mkorofi wala sio mgonvi .( ndio maana ninawatukana nyinyi wanaume mnaolia lia humu sababu ya wanawake kwa uzembe wenu na uzwazwa wenu na uzoba wenu wa kushindwa kujua MIPAKA YA UANAUME WENU).

[emoji123]Binafsi ni DAKTARI DARAJA LA PILI ( hujui tu inakuchukua nn mpaka kumaliza safari ya miaka mitano ) ,NINA VITEGA UCHUMI VYANGU, VINAVYONIPA MIA MIA KILA SIKU IVO sina njaaaaaa, sina shidaa, siwez kukopa mtu, nikikopa nakopa Taasisi za kifedha kwaajili ya mipango yangu ya maisha.

[emoji117]Huku nje , ni wale vijana ambao watu watakuzungumzia hivi.." Kama unaenda pale, hakikisha unamuona Fulani "

Yaan wale vijana ambao, watu wanaenda baadae wanarudi kukushukuru[emoji123]


Ni Baba wa watoto, watoto wazuriiiiiii mnoooo



Miaka yangu ni 29 ivo bado kijana mdogo , nikilinganisha Mafanikio yangu na Umri wangu, huwa namshukuru Muumbaji


CHOCHOTE NACHOKIANDIKA HUMU, NINAKIANDIKA KWA MAKUSUDI YA AKILI YANGU MWENYEWE WALA USIANZE KULINGANISHA FAMILIA.




HIVO NIKUSHAURI, USIJIKITE KUNIJUA , JIKITE NA NINACHOKIANDIKA , HUTAKI KUKIPOA, KIACHE.
Ndio maana nikasema wewe ni mshamba na Limbukeni na hauna lolote. Hayo yananihusu nini? Unajua mimi ni nani? Nimekuignore na kukudharau na kuwa na siku njema.
 
Ndio maana nikasema wewe ni mshamba na Limbukeni na hauna lolote. Hayo yananihusu nini? Unajua mimi ni nani? Nimekuignore na kukudharau na kuwa na siku njema.
Huna akili una matope kichwani.


Siumeongea ili nikupe Ufafanuzi ??

Nmekupa ,bado tumbo limekuhara??


Ulidhan nmekulia kwenye familia za dhiki ,ufukara na shida kama uliyotoka wewe???


Mbwa kabisa wee.


UKOME.
 
Huna akili una matope kichwani.


Siumeongea ili nikupe Ufafanuzi ??

Nmekupa ,bado tumbo limekuhara??


Ulidhan nmekulia kwenye familia za dhiki ,ufukara na shida kama uliyotoka wewe???


Mbwa kabisa wee.


UKOME.
Haya Hongera na kuwa na siku njema bro ila Jitahidi ufiche uchi wa akili yako mbele za wenzako. Ficha ushamba na ulimbukeni wako.
 
Wewe ni mpumbavu , msengee kabisa maninaa

UNAOKOTA MALAYA HUMU ASOJITAMBUA, ANAKUENDESHA WEEE, UNAVUMILIA.

UMEFANIKIWA KUMUACHA ,ALAFU ANAKUJA KUKULETEA UMALAYA WAKE WAZIWAZI

"ET ANAOMBA HELA ZA SHULE?"


HILO DUBWASHA LIMEKUONA WEWE NI BWEGEEE JINGAAAA FALAAAAAA


[emoji116][emoji116]
Baada ya Miezi kadhaaa ya kuachanaa...simu inapigwa

[emoji116]

Dubwasha.... Halo

Robert ......Halo mambo

Dubwasha.... Poa my zasiku

Robert .... Nzuri tu ,niambie

Dubwasha.... My sorry ila jamaan ninashida na hela ya kumpeleka mtoto shule

Robert....mmmhhh sawa lkn unakumbuka ulivyonitenda..mimi nilikua nakupenda sanaaa, nmekujali mnooo, yaan nilitaka ujione wee ni malaika lkn mmmhh

Dubwasha.... Jamaan My hayo tuyaache

Robert...poa ngoja nitaangalia alafu nitakujuza.( huki kichwan akiwaza kua demu akija kufata helaa, atampa na mbususu ajipigiee[emoji23][emoji23][emoji23]) ..........

Dubwasha... Anajisemea ( Bwege weweee nakuja nikiwa hedhi[emoji23][emoji23][emoji23])

Mimi Carlos The Jackal nikifanya Analysis ya hayo mazungumzo nakuja namambo haya

[emoji117]Robert toka atemane na demu, hajawahi kutia hata siku moja.[emoji23]

[emoji117]Robert ..sio tu aliacha, bali aliacha kwa sababu demu aliimiza sana kuachanaaa nahii nibaada ya Mwenye mtoto kumwambia achika, uje tulee mtoto.

[emoji117]Robert ..ni wanaume madome zege, kutongoza ni waoga..ndio maana aLitafuta mwanamke humu JF.

[emoji117]Robert anaweza kua kila mwanamke alokua naye alimkimbia .

[emoji117]Robert sio kwamba aliamua kutafuta mwanamke humu ,hata kama anamtoto yeye anabeba, sio kwasababu ana UPENDO bali hakua na chaguo jingine.

[emoji117]Demu alikua na stress nyingi za maisha, kuwaza kulea mtoto, maisha magumu sanaa kula, kuvaaaa ( enzi hizo vyuma vilikaza)

[emoji117]Demu ni kanamke ivi kembamkemba kana micheruko sio ya nchii hiii, yaan ni tulw tudemu tinavyoshindia chips au chai ya asubuhi, lkn kamejaza CD za tamthiliya na remote kanashikilia masaa 24.

[emoji117]Demu alikua anampelekesha humo ndani.

Kwa haya machache niseme kua, DEMU NI KIBOKO YA ROBERT...

ILA KWA WANAUME KAMA SISI..DEMU NI KAMALAYA KAMOJA KAPUMBAVU KAMEJAZA PUMBA KICHWANI.
Aisee umemfunda vizuri jamaa yetu,sina Cha kupunguza wala kuongeza.
 
Ukiamua kusonga mbele, vunja madaraja yaliyoko nyuma yako. Baba halali wa mtoto alipe ada na matunzo. Sio vinginevyo!

Lakini pia wewe nae ugangamale asee. Umekua dhaifu mpaka mkeo wa ndoa anakuambia usimsumbue kwenye simu eti "anaenda kwa wanaume". Huo ni ufala.

Man up, and have a nice day!
Atakuwa ni WA Dar.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asee,Kuna watu nafikiri mungu kawaumba kwaajili ya kutoa mafunzo tu kwa binadamu wengine...
 
Hapana saizi hataki hata kumsikia mpaka akaamua kuoa tena ilitumika nguvu kubwa sana, kwa sababu wife wake wa zamani akirudi kuomba msamaha anamsamehe haipiti hata miezi mwanamke anaamsha tena kwa mahawara wake akikazwa huko akaridhika anarudi kwa boya lake(uncle) na anapokewa na anasamehewa

Uncle baada ya msoto wa zaidi ya miaka 7 alikuja kufanya tukio heavy kwa uyoo malaya mpaka saizi huyo malaya anamuogopa balaaa si alimzoea kua ni mchungaji hana cha kumfanya uncle aliweka uchungaji pembeni akafanya swala la kigaidi [emoji23][emoji23],

kiufupi huyo malaya kama alishavurugwa saizi akili sio nzuri akimuona tu jamaa anachanganyikiwa nduki
Alimroga au alimbaka
 
Inasemekana ni Mnyaki. Hakuna furushi la kingosha la hivi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ila na wewe ukija kunifanyia hivi utanikoma! [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
@Heaven Sent njoo tumuombee baba mchungaji!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani wakati huo hata utajua kama nakufanyia hivyo?
 
Mkuu juzi nimepigiwa simu na mwalimu wa mtoto anasumbua anataka kuongea nami nikaumia Sana nikaongea na mtoto anaonekana kanimis Sana so sauti ya mtoto nikilala inajirudia naumia Sana juu ya mtoto si mama
Kwa kifupi ww ni ndezi halafu inawezekana una matatizo ya kiafya kwahiyo unamtumia huyo mtt kuficha madhaifu yako, walimu wanakusumbua kwani ww ni baba yake ?
 
Back
Top Bottom