Nimesamehe lakini sitasahau

Wazee wa kununua matatizo kwenye ubora wenu.

Unaona huu ni moto, unaambiwa huu ni moto lakini bado unaenda kuukumbatia. Aiseee
 
uskute huyu ndo mchumba wako uliyempata jf hapa kaja na ID nyingne hahahahaha๐Ÿค•๐Ÿ˜ต๐Ÿค ๐Ÿคฏ๐Ÿคฉ
 
nmeusoma huu uzi kidogo tuu nipandishe mashetani kwa hasira nilizopata alaaaaah ๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘น๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘น๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘น๐Ÿ‘บ hv umu jf hawaruhusu kupigana au????
 
Achana naye wewe.Usiwe fala kiasi hicho.Potezea mazima
 
Usifanye wema ili ulipwe wema bali huo ubaya alio kufanyia unatosha usiwe bwege huyo mtoto nenda mpaka shule mlipie mnunulie madaftari alafu kinachofata ni block mpaka mwakani mda wa ada na madaftari
Yaani uoe mwanamke kutoka jf ana mtoto halafu arudiane mzazi mwenzake wawe wanagongana wao ila wewe ulee mtoto wao? Hizo akili za wapi? Siwezi kudhalilisha elimu na mizimu yangu kwa wakati mmoja
 
Kwanza umetusaliti, tulikibaliana kabla ya kuoa singo mother uwe umeona kaburi la baba wa mtoto, na ujue kilicho muua usikute in stress za huyo mwanamke, we we hujaona kaburi na stress umekutana Nazi na baba mtoto anapga mzigo. Mwambie hizo pesa za ada amuulize baba wa mtoto.
 
Eti Robert anasema mtoto anatumia majina yangu yote pumbavu
 
Et niendelee na utaratibu huo au nimkaushie??

Hivi wee ni MWANAUME KWELI???

UNAJIAMIN?? AU NDO WALE WANAUME WAKIPATA MWANAMKE, WANAPIGA MAGOTI NAKUSHUKURU MBINGU MAANA WAPO KAMA WAMEFANYIWA BAHATI NA HURUMA TU


HUJIAMINI EEH???
Huyu jamaa ni wa kupiga makofi, ametudhlilisha sana.
 
Huko jeshini mpewe na somo la kuwa mwanafamilia
 
nmeusoma huu uzi kidogo tuu nipandishe mashetani kwa hasira nilizopata alaaaaah ๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘น๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘น๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘น๐Ÿ‘บ hv umu jf hawaruhusu kupigana au????
Haaaaa Haaaaa ๐Ÿ˜‚ jamani nimecheka hadi nimelia
 
Block namba yake, asijue unapoishi, usitembelee maeneo ambayo mtakutana.

Kama umejenga huwezi kuhama kwako chukua hii muhimu sana [emoji117] KUA MWANAUME NA SI MTOTO WA KIUME. hutamuona tena
 
Wewe kweli ni jabali la karne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ