WOLF SEPTICEMIA
Senior Member
- Dec 11, 2017
- 168
- 102
- Thread starter
-
- #121
Mwache atukaneMwe mwe mwe jamani hata kama kakosea sio kumtukana hvi.... huwezi jua anapitia nini ukute ana msongo wa mawazo wewe si ndo unammaliza kabisa mwenzio. Labda bado yupo mahabani despite it all mpeleke mdogomdogo
Lini nmeponda mahusiano???Eeehh mkuu
Samahan kuuliza lakini
Why are you so negative about love thing
Kupitia tu threads zako... unaponda sana mahusiano na ndoa
Kuna kitu ushapitia au
Weren’t your parents married?????
Mimi ni zao la wazazi walooana na kutuzaa watoto ...Eeehh mkuu
Samahan kuuliza lakini
Why are you so negative about love thing
Kupitia tu threads zako... unaponda sana mahusiano na ndoa
Kuna kitu ushapitia au
Weren’t your parents married?????
MIMI SINA PESA, NINA VIJISENTI TU VIDOGO VYA KUENDESHA MAISHA KAMA MTANZANIA.Mkuu maisha Yana mapito yake na changamoto yake pia mungu hutupitisha juu ya haya ili kutufanya tuwe imara kw ajiri ya kesho pia siyo kwamba mi mbaya au Sina pesa ninazo ila so za Kama zenu maana kila mwana jf no tajiri maisha mazuri .asante
Sio limemuona tu yaaani huyu jamaa live ni bwege, fala, jinga , poyoyo,popoma,twatwa,ngetwa nkWewe ni mpumbavu , msengee kabisa maninaa
UNAOKOTA MALAYA HUMU ASOJITAMBUA, ANAKUENDESHA WEEE, UNAVUMILIA.
UMEFANIKIWA KUMUACHA ,ALAFU ANAKUJA KUKULETEA UMALAYA WAKE WAZIWAZI
"ET ANAOMBA HELA ZA SHULE?"
HILO DUBWASHA LIMEKUONA WEWE NI BWEGEEE JINGAAAA FALAAAAAA
Hhaahhahahah amigo umeshapanickAcha kumsumbua mchungaji. Wewe ndiyo huyo single mom unayeng'ang'ania hela za matunzo ya mtoto.
Mpeleke kwa baba yake. Nyie wanawake huwa hamfikiri kesho yenu itakuwaje?
Nimemkumbuka sana NYENYERE alisema 'Usioe single mother' ni kweli 100%
Amin amin nakuambia, huyu jamaa yupo serious wala sio kama anachangamsha genge. Wanaume wa aina hii wapo tena wengi tuu kuliko unavyofikiri. We unadhani hao mademu wa ajabu ajabu unaoona wanaolewa kila siku mitaani wanaolewa na kina nani? Sindio mijamaa kama hii?Nakuhakikishia mtoa mada anachangamsha watu, hakuna mwanaume wa ivo ......
BiLini nmeponda mahusiano???
Wapi nmeponda ndoa???
Nipe link au screenshots mahali popote nilipowahi onyesha negativity kwenye ndoa na Mahusiano.
NI IVI, NINA MWANAMKE WANGU KANIZALIA WATOTO WAZURIIIIII .
mimi huwa nikiponda basi naponda panapostahili... Na nikiunga mkono naunga panapostahili.
Ukiwa Unayefaa, nitakusifiaa nitakupa sifa zako zote.
Ila ukiwa na uwendawazimu, nitakuonyesha uwendawazimu wako wotee.
Yaan hapa, white is not black....nyeupe nni nyeupe...nyeusi ni nyeusi
Binafsi nimeona jinsi unavyoandika mtuLini nmeponda mahusiano???
Wapi nmeponda ndoa???
Nipe link au screenshots mahali popote nilipowahi onyesha negativity kwenye ndoa na Mahusiano.
NI IVI, NINA MWANAMKE WANGU KANIZALIA WATOTO WAZURIIIIII .
mimi huwa nikiponda basi naponda panapostahili... Na nikiunga mkono naunga panapostahili.
Ukiwa Unayefaa, nitakusifiaa nitakupa sifa zako zote.
Ila ukiwa na uwendawazimu, nitakuonyesha uwendawazimu wako wotee.
Yaan hapa, white is not black....nyeupe nni nyeupe...nyeusi ni nyeusi
Mkuu binafsi upo sahihi na mawazo yako Ni mazuri Sana nashukuru Sana kwa ushauri lakini nakushauri tu kuwa huijui kesho yako punguza maneno ya vijiweni na ya vijana wavuta bangi akili yako Inafaa itailiwe uwe na upeo mkubwa kidogo ndg samahani lakiniMimi ni zao la wazazi walooana na kutuzaa watoto ...
Wee unadhan wazazi wa miaka ile, ndio utakuja linganisha na nyinyi vibinti vya sasa hivi????
Zamani ,Wazeee walioa masingo mama, lkn huwezi kuta, huyo mama anafanya maujinga ya namna hii.
Why?? Kwasababu ni wanawake walolelewa na kufundishika, na waliojua KUPENDA.
Negativ about love thing?? Unaijua inavyofanana.
NJOO SASA HIVI
Kinachowaponza ni hiko, wengi wenu mnataka kubembelezwa hata kwa mambo ya ovyo.
KUSALI HAMSALI
KUSWALI HAMSWALI
MAISHA YA MKUMBO, STAREHE ZA AJABU .
HUJUI MIPAKA YAKO
HUJUI KUPENDA
MIMI SINA PESA, NINA VIJISENTI TU VIDOGO VYA KUENDESHA MAISHA KAMA MTANZANIA.
ILA PAMOJA NA HILO SIWEZI KURUHUSU MTU , ( AWE KE AU ME, ACHEZE NA UTU WANGU) SIWEZI.
WEEE SIO TU UNGEKUA NA HELA, WEWE HATA UWE NA MABILIONI YA PESA,.. UTASUMBULIWA SANA NA MWANAMKE.
Mangapi yakufanye imara??? 2019 ukajua kaanza kuwasiliana na mzazi mwenzio, visa kwa ndugu zako, umesafiri, Kakufanyia visa vya kipumbavu.umeamua kufukuza, tena umshukuri Mungu .
Alafu bado anakutafuta, unakuja kuomba ushauri humu???
[emoji117]JIPIGE KIFUANI MARA TATU UKIJIAMBIA " MIMI BWANA ROBERT SHIGULA NI BWEGE , NINA MAPENZI YA KIJINGAAAAAAA MPAKA NADHARAULIKAA".
Sasa kitakachokufanya unywe sumu ujiue kabisa ufe, ni pale utakapogundua kwamba huyu jamaa hapo alipo ana mpango wa kumrudisha huyo mwanamke na kumuomba msamaha kwa yote yaliyotokea, na kuahidi kuendelea kumlipia mtoto ada huku akimpa mwanamke zawadi kedekede!!MIMI SINA PESA, NINA VIJISENTI TU VIDOGO VYA KUENDESHA MAISHA KAMA MTANZANIA.
ILA PAMOJA NA HILO SIWEZI KURUHUSU MTU , ( AWE KE AU ME, ACHEZE NA UTU WANGU) SIWEZI.
WEEE SIO TU UNGEKUA NA HELA, WEWE HATA UWE NA MABILIONI YA PESA,.. UTASUMBULIWA SANA NA MWANAMKE.
Mangapi yakufanye imara??? 2019 ukajua kaanza kuwasiliana na mzazi mwenzio, visa kwa ndugu zako, umesafiri, Kakufanyia visa vya kipumbavu.umeamua kufukuza, tena umshukuri Mungu .
Alafu bado anakutafuta, unakuja kuomba ushauri humu???
[emoji117]JIPIGE KIFUANI MARA TATU UKIJIAMBIA " MIMI BWANA ROBERT SHIGULA NI BWEGE , NINA MAPENZI YA KIJINGAAAAAAA MPAKA NADHARAULIKAA".
Mi nadhani mrudishe tu huyo mwanamke uendelee kulea na huyo "mwanao". Kwa nnavyokuona huna ujanja hapo ndio mwisho wako wa kufikiri nahisi mmekutana pipa na mfuniko.Mkuu juzi nimepigiwa simu na mwalimu wa mtoto anasumbua anataka kuongea nami nikaumia Sana nikaongea na mtoto anaonekana kanimis Sana so sauti ya mtoto nikilala inajirudia naumia Sana juu ya mtoto si mama
Hachomoki humu😅mtoa mada akiwa na mkewake mwenye mtoto wa mwanaume mwingineView attachment 1954549
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha kmmke hahahahahahhah hahahahahahhahahahSasa kitakachokufanya unywe sumu ujiue kabisa ufe, ni pale utakapogundua kwamba huyu jamaa hapo alipo ana mpango wa kumrudisha huyo mwanamke na kumuomba msamaha kwa yote yaliyotokea, na kuahidi kuendelea kumlipia mtoto ada huku akimpa mwanamke zawadi kedekede!!
Hapo nahisi ndugu yangu Carlos ze Jackal utazimia kabisa kama sio kukata roho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani baba mchungaji nimebaini bado unampenda yule shetaniMkuu una
Mkuu una akili Sana nashukuru
Mkuu dunia hii ina mengi ukisema umeshaona kila kitu unajidanganya 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha kmmke hahahahahahhah hahahahahahhahahah
Umenichekesha mwanangu hahahahaha
Mie nawasoma tu mnavyokazana kushauri najisemea hiiiiiii bagheshi!!! We angalia hata ushauri anaokubaliana nao, kwa sasa huyu hata umpige makofi hawezi kukuelewa mpaka litakapomkuta jambo la kumshtua ubongo na kukumbuka akili alipoziacha.Mi nadhani mrudishe tu huyo mwanamke uendelee kulea na huyo "mwanao". Kwa nnavyokuona huna ujanja hapo ndio mwisho wako wa kufikiri nahisi mmekutana pipa na mfuniko.
Nadhani kuna watu ambao mmeumbwa kuteseka ili sisi wengine tupate fundisho na tujue mtu anapokua mjinga hua anakuaje.
Kuna Uncle wangu alishauriwaga na ukoo mzima..likakubali.Mkuu dunia hii ina mengi ukisema umeshaona kila kitu unajidanganya [emoji3]
wanasemaga awali ni awali hakuna awali mbovuHapana unaweza sema lolote voz nami no binadamu