Nimesamehe lakini sitasahau

Nimesamehe lakini sitasahau

LIJAMAA LIMENIUDHI MNOOO, NMEUMIAA , NATAMAN HILO DUBWASHA LAKE NDIO LINGEKUTANA NAMM!

KWA HAKIKA LINGEJUTA 7 MARA 70


HUWEZ KUTA MWANAUME WA KANDA YA ZIWA, ANAHANGAIKA HIVI


YAAN NILIKUA TWITA NAFATILIA KESI YA MBOWEE


NIKASEMA NIINGIE JF..LA HAULAAAA NAKUTANA NA LIJIUZI LIMENICHAFUAAA ,NASIJUI SIKU YANGU KAZIN LEO ITAISHIJE
[emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2958]
 
Kama ni maneno "mpumbavu, msengee ,maninaa" .... Kwa akichokiandika ,kinamfaa. Tena alistahili zaidi ya hapo


Kama ni Neno "Malaya" ...sina lugha nyingine ya kumuelezea huyo Dubwasha zaidi ya neno Malaya,tena ni malaya suguuu asokua na haya.... Malaya kiasi kwamba anamwambia "leo naenda kwa bwana"...

Eeehh mkuu

Samahan kuuliza lakini
Why are you so negative about love thing
Kupitia tu threads zako... unaponda sana mahusiano na ndoa
Kuna kitu ushapitia au
Weren’t your parents married?????
 
UNATUAIBISHA SANA WASUKUMA YAANI HUU SIYO USHAMBA NI UPUMBAAAAAAAAFUUUUUUU KIWANGO CHA JALALA

MCHUNGAJI KWA NINI USIENDE KWA WACHUNGAJI WENZAKO

NATAMANI KUKUTAFUNA MZIMA MZIMA MWANAUME WA AJE WEWE HATA KAMA HUDINDISHI DAAAH

HATA KAMA HUNA NGUVU ZA KIUME KWA NINI USIJIKUBALI UKAKAA PEKE YAKO

AISEEEE
Mkuu maisha Yana mapito yake na changamoto yake pia mungu hutupitisha juu ya haya ili kutufanya tuwe imara kw ajiri ya kesho pia siyo kwamba mi mbaya au Sina pesa ninazo ila so za Kama zenu maana kila mwana jf no tajiri maisha mazuri .asante
 
Maisha ya ajabu sana!! Mi hawa wanawake nawakimbia pamoja na kunipenda mnoo!!!

Daa unafos uitwe baba[emoji849]

Sie wengine mbegu zetu zikitia mguu tu kyuman!!!!yai lajileta:::

N.B
Nina ushuhuda na wanawake wawil niliowatia mimba ...na wote kwa bahati wanaishi na midume mingine!!!!!

Lakin lazima niwale wote kila iitwao leo!!!

Huyu mmoja huwa ananitukana kwenye simu na mtandaon lakin sometime akinimiss anaijia matumiz ya mtoto na shoo ya kibabe juu:[emoji2958]
 
Maisha ya ajabu sana!! Mi hawa wanawake nawakimbia pamoja na kunipenda mnoo!!!

Daa unafos uitwe baba[emoji849]

Sie wengine mbegu zetu zikitia mguu tu kyuman!!!!yai lajileta:::

N.B
Nina ushuhuda na wanawake wawil niliowatia mimba ...na wote kwa bahati wanaishi na midume mingine!!!!!

Lakin lazima niwale wote kila iitwao leo!!!

Huyu mmoja huwa ananitukana kwenye simu na mtandaon lakin sometime akinimiss anaijia matumiz ya mtoto na shoo ya kibabe juu:[emoji2958]
Nashukiru mkuu
 
HESHIMA NI KITU CHA MSINGI SANA KWENYE MAHUSIANO.


YAAN MWANAMKE ANATAKIWA KUA HESHIMA KWAKO , AMA UPO NAYE USO KWA USO, UPO NAYE MBALI

MWANAMKE ANATAKIA KUKUHESHIMU AKIJUA KUA WEWE NI MWANAUME WAKE.



HILO MSIWE MNAJADILIANA NAO [emoji109]



NDOA NYINGI ZINAZODUMU NI HIZI ZA WANAUME WASOTABIRIKA..LEO UNAFOKA. KESHO UNAMBEBISHA. KESHO MAKOFI, MNANUNIANA WIKI NZIMA, MNARUDI KUA SAWA.



LKN NYIE WA BEBI BEBII BEBII WANGU, BEBIII NAKUPENDAA, BEBIII VILE..BEBI UKINIACHA NITAKUFAA, BEBI VILEEE[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji117]MTAKUFA MAPEMA.




USIUZE UANAUME WAKO KWA MWANAMKE , USIUZE UKUBWA WAKO KWA MWANAMKE, AWE ANAKUZIDI PESA, ELIMU

KAMWE USIUZE UANAUME WAKO.
Nakazia mkuu mi kuna mwanamke amezalishwa watoto wawili na njemba ipo mkoa x hyo moja, mbili demu anamsela ambae analipa ada ya mtoto mmoja Mimi sikujua alinificha nikamtokea chakwanza nilichofanya nikatumia mbinu za kivita nikampiga pampu nikamsikilizia akaanza kunidai ada ya mtoto mwingine nikamchana tu kuwa nitakusaidia wewe lakini watoto wako wanababa yao, akaleta ile kuzila nikamla kichwa block kila tundu na ndo basi tena mama Jen baibai
 
Mkuu maisha Yana mapito yake na changamoto yake pia mungu hutupitisha juu ya haya ili kutufanya tuwe imara kw ajiri ya kesho pia siyo kwamba mi mbaya au Sina pesa ninazo ila so za Kama zenu maana kila mwana jf no tajiri maisha mazuri .asante
Wanawake wa jf unawapa dhamana? Mchungaji hivi inaingia akilini kweli? Tupo hapa kukupa Yale yanayotuongoza sisi wanaume kuwa mwanaume ni jasiri sasa wewe ujasiri unamwanamke hyo ni hatar waheed
 
Wewe ni mpumbavu , msengee kabisa maninaa

UNAOKOTA MALAYA HUMU ASOJITAMBUA, ANAKUENDESHA WEEE, UNAVUMILIA.

UMEFANIKIWA KUMUACHA ,ALAFU ANAKUJA KUKULETEA UMALAYA WAKE WAZIWAZI

"ET ANAOMBA HELA ZA SHULE?"


HILO DUBWASHA LIMEKUONA WEWE NI BWEGEEE JINGAAAA FALAAAAAA
Nakazia
 
Hawa viumbe ni wepesi sana km unyoya km una msimamo. Ni kama watoto wadogo. Kama hauna msimamo utaona viumbe wa ajabu sana
Ningekuwa mm ningemwambia hivi
Huyo mtoto ana baba yake na hajafa. Iwe mwanzo na mwisho kunipigia simu au kunitumia meseji.
Anawekwa kwenye blacklist.
Mchana mwema mkuu
 
UBAYA ,UULIPE KWA UBAYA MARA MBILI.


WEMA ,UULIPE KWA WEMA MARA MBILI.


VIPI WEWE JAMAA???


HAPA DUNIANI MSALITI HASAMEHEWI NA HAPEWI NAFASI YA PILI.

UMEFANIKIWA KUMUACHA, ACHAAAA ,MWAMBIE AKOME KABISA
Khee. Inatosha ndugu.. kama kusikia na asikie. Akapime DNA ili awe huru

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
1. Kwanini shetani alifukuzwa mbinguni?
2. Kwann Mungu hakumsamehe shetani?
Ukijiuliza hivyo. Unatakiwa uwe mbali na huyo mwanamke. Huyo mtoto ana baba yake.
Mwambie huyo mwanamke, siku alipokutext anaenda kulala kwa mwanaume. Ampigie simu amlipie ada.
Huyo mtoto hatakujua, hawezi kukumbuka na huwezi kumuona tena.
Mi ni mchungaji
 
Hii sio busara bali ni ujinga,kweli unafungua thread kwa kuomba ushauri kwenye jambo la kipuuzi kama hili?
#shame
Kwani we unaonaje
1. Kwanini shetani alifukuzwa mbinguni?
2. Kwann Mungu hakumsamehe shetani?
Ukijiuliza hivyo. Unatakiwa uwe mbali na huyo mwanamke. Huyo mtoto ana baba yake.
Mwambie huyo mwanamke, siku alipokutext anaenda kulala kwa mwanaume. Ampigie simu amlipie ada.
Huyo mtoto hatakujua, hawezi kukumbuka na huwezi kumuona tena.
Kwani nimesemaje bado ninaye au sipo nae?
 
Hodi wakuu!

Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru mungu nilifanikiwa , taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa kukutanishwa naye !

Mwaka 2019 ndipo true colour yake halisi nikaitambua akawa ni mwanamke mwenye maneno mengi Sana na simu yake ikawa busy Sana nikaja tambua kumbe ana Yule mshikaji wake aliyemzalisha tayari wanawasiliana na tabia yake ikawa chafu Sana kiufupi nilipitia matatizo makubwa Sana kwenye ndoa hiyo Familia ikaingilia kidogo Mambo yakawa sawa huwezi amini nilimthamini sana yeye na ndugu zake pia lakini hakujali kabisa.

Ndgu zangu Mimi na wazazi wangu nikawa naumia Sana nikiamini ipo siku atabadilika nikawa nanunua zawadi napeleka nyumbani nadai kuwa mke wangu ndo kanunua kwa ajili yao kumbe hakuna nilifanya ivo ili kuwaaminisha wazazi kuwa anawapenda Sana lakini haikuwa ivo, mwaka huu January nilipata Safari ya kwenda Congo DRC mwanamke akarudia tabia zake za mwanzo ikafikia hatua akawa anatuma Text kwa leo anaenda kwa mwanamme so nisimsumbua na mengine mengi , nimerudi mwezi August moyo wangu ukiwa na maumivu makubwa Sana ila tayari nilikuwa na uamuzi wa kuachana nae !

Kweli nilifanikiwa Hilo nashukuru Mungu ndani ya muda mfupi Sana nimemsahau lakini kubwa lililonifanya kuja kwenu hapa jamvini Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Je wanawake wakweli wapo wapi ? au ndo utandawazi huu!

Nawasilisha.
Kweli Wanaume hakuna kabisa miaka hii....hivi huwa mnakosea wapi nyie maboya?
 
Back
Top Bottom