Nimesamehe lakini sitasahau

Nimesamehe lakini sitasahau

Bi

Binafsi nimeona jinsi unavyoandika mtu

Mkuu binafsi upo sahihi na mawazo yako Ni mazuri Sana nashukuru Sana kwa ushauri lakini nakushauri tu kuwa huijui kesho yako punguza maneno ya vijiweni na ya vijana wavuta bangi akili yako Inafaa itailiwe uwe na upeo mkubwa kidogo ndg samahani lakini
ACHA UZOBA WEWE..ACHA UZOBAAAA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha kmmke hahahahahahhah hahahahahahhahahah

Umenichekesha mwanangu hahahahaha
😁😂🤣
Oya mwanangu nimwfatilia sana nondo zako kwny huu uzi. Naona una hasira kali juu ya haya anayofanyiwa ndugu yety.

Lkn ww huoni tayar kuna aina ya ushauri humu ndani anapenda kuuskia. Heheh punguza stress. Dunia ina mambo.

Wacha wengine tujifunze.
 
[emoji16][emoji23][emoji1787]
Oya mwanangu nimwfatilia sana nondo zako kwny huu uzi. Naona una hasira kali juu ya haya anayofanyiwa ndugu yety.

Lkn ww huoni tayar kuna aina ya ushauri humu ndani anapenda kuuskia. Heheh punguza stress. Dunia ina mambo.

Wacha wengine tujifunze.
Jamaaa nmeshamsoma, kuna ushauri anautafuta, ili tumhalalishie uhovyo wake

Kwamba anajua kupendaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ro
Mkuu una

Mkuu una akili Sana nashukuru
Robert acha ujinga wewe....!!! Ukaribu wote na huyo Mwanamke ni mauti yako...!!! Siyo Kila Mwanamke ni WA kuonea Huruma...!!! Kama unahaja ya kusomesha njoo Inbox nikupe Yatima uwasaidie... Akili umeacha wapi???
 
Ukileta bango kutafuta mke basi ukimpata yeye atakutafsiri kama mwanaume usiye na mbele wala nyuma. Yaani kote huko umekosa wa kuoa, ww ni dhaifu na una mapungufu.
Mke anapatikana kwa hatua na ni muhimu kuzifuata hzo kanuni.
 
Mkuu juzi nimepigiwa simu na mwalimu wa mtoto anasumbua anataka kuongea nami nikaumia Sana nikaongea na mtoto anaonekana kanimis Sana so sauti ya mtoto nikilala inajirudia naumia Sana juu ya mtoto si mama
Onaa


Wewe zoba kweli.




Yaaan huo uchungaji wako. Hata Mbingu unazikeraaaaa.
 
Kuna Uncle wangu alishauriwaga na ukoo mzima..likakubali.


Alivyorudi kwake, akabadili uamuzi, akamrudia yule demu.


Demu alikuja kivingine, ilibaki nusura afeee.


Ndo akamuachia jumla, akarudiana na mke wake mkubwa.
Hata mimi kisa kama hiki kilishamtokea mtoto wa baba mkubwa. Ndio maana kuna jamaa kasema anahisi mleta mada anachangamsha genge nimemkatalia kabisa, watu wa aina hiyo wapo. Ni mpaka ateseke sana ndio mwishoni akili zitakuja kumrudia.
 
Mie nawasoma tu mnavyokazana kushauri najisemea hiiiiiii bagheshi!!! We angalia hata ushauri anaokubaliana nao, kwa sasa huyu hata umpige makofi hawezi kukuelewa mpaka litakapomkuta jambo la kumshtua ubongo na kukumbuka akili alipoziacha.

Ila yote kwa yote wanawake tunapenda wanaume ambao ni WANAUME.
Hili ni furushi la karne!

Bageshi [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Hata mimi kisa kama hiki kilishamtokea mtoto wa baba mkubwa. Ndio maana kuna jamaa kasema anahisi mleta mada anachangamsha genge nimemkatalia kabisa, watu wa aina hiyo wapo. Ni mpaka ateseke sana ndio mwishoni akili zitakuja kumrudia.
Hahah et ni mpaka ateseke sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sna kwa kuchagua kijifunika shuka moja na chatu ambaye ulimchagua kwa msukomo wa hisia zako bila kuweka akili mbele
 
M
Well, Jamaa ameachana naye na akagundua dem bado anamawasiliano na mzazi mwenzie.


WAJIBU WA BABA HALALI WA MTOTO NI UPI??


HIVI UNAJUA ,MOJA YA SABABU YAMTOA MADA KUMUOA HUYO DUBWASHA WENU NA MTOTO, NI KWASABABU HUYO DEMU ALIMUHAKIKISHIA MTOA MADA. "HANA MAWASILIANO YOYOTE NA BABA WAMTOTO, KWAMBA HAJUI HALIPO. KWAMBA ALIMKATAA MTOTO, KWAMBA HAJAWAH TOA HATA HAMSINI??"

MTOA MADA AKAPENDA BOGA NA UA LAKE ..



SASA MALIPO ALOPEWA, UNAONA YANAMSTAHILI????.


YAAN UENDELEE KUTUNZA MTOTO MWENYE BABA NA MAMA WANAOTIANA KILA SIKU???



[emoji117][emoji117]ACHENI KUJIFANYAA ...


roho mbaya unaijua wewe ????

UMGEKUA WEWE UNGEENDELEA KUMTUNZA???



KAMA UNGEENDELEA TIFANYE IVII


[emoji117]KWA SASA MTOA MADA SIO MUME WA DEMU.

[emoji117]NAWEWE PIA SIO MUME WA DEMU.

[emoji117]NYOTE KWASASA MNAFANANA ..LINAPOKUJA SUALA LA DEMU NA MTOTO WAKE.


KWA KUA MTOA MADA HAFAIDIKI. NAWEWE HUFAIDIKI.

[emoji117][emoji117] MWAMBIE AKUPE NAMBA ZA HUYO DEMU UANZE KUMTUNZAA MTOTO UFANYE KAMA UNAMSAIDIA ,WEE NI MSAMALIA MWEMA.
Mwanamke Malaya Muongo msaliti siyo wa Kumuonea Huruma... Fukuzia mbali....
 
Wewe ni mpumbavu , msengee kabisa maninaa

UNAOKOTA MALAYA HUMU ASOJITAMBUA, ANAKUENDESHA WEEE, UNAVUMILIA.

UMEFANIKIWA KUMUACHA ,ALAFU ANAKUJA KUKULETEA UMALAYA WAKE WAZIWAZI

"ET ANAOMBA HELA ZA SHULE?"


HILO DUBWASHA LIMEKUONA WEWE NI BWEGEEE JINGAAAA FALAAAAAA


[emoji116][emoji116]
Baada ya Miezi kadhaaa ya kuachanaa...simu inapigwa

[emoji116]

Dubwasha.... Halo

Robert ......Halo mambo

Dubwasha.... Poa my zasiku

Robert .... Nzuri tu ,niambie

Dubwasha.... My sorry ila jamaan ninashida na hela ya kumpeleka mtoto shule

Robert....mmmhhh sawa lkn unakumbuka ulivyonitenda..mimi nilikua nakupenda sanaaa, nmekujali mnooo, yaan nilitaka ujione wee ni malaika lkn mmmhh

Dubwasha.... Jamaan My hayo tuyaache

Robert...poa ngoja nitaangalia alafu nitakujuza.( huki kichwan akiwaza kua demu akija kufata helaa, atampa na mbususu ajipigiee[emoji23][emoji23][emoji23]) ..........

Dubwasha... Anajisemea ( Bwege weweee nakuja nikiwa hedhi[emoji23][emoji23][emoji23])

Mimi Carlos The Jackal nikifanya Analysis ya hayo mazungumzo nakuja namambo haya

[emoji117]Robert toka atemane na demu, hajawahi kutia hata siku moja.[emoji23]

[emoji117]Robert ..sio tu aliacha, bali aliacha kwa sababu demu aliimiza sana kuachanaaa nahii nibaada ya Mwenye mtoto kumwambia achika, uje tulee mtoto.

[emoji117]Robert ..ni wanaume madome zege, kutongoza ni waoga..ndio maana aLitafuta mwanamke humu JF.

[emoji117]Robert anaweza kua kila mwanamke alokua naye alimkimbia .

[emoji117]Robert sio kwamba aliamua kutafuta mwanamke humu ,hata kama anamtoto yeye anabeba, sio kwasababu ana UPENDO bali hakua na chaguo jingine.

[emoji117]Demu alikua na stress nyingi za maisha, kuwaza kulea mtoto, maisha magumu sanaa kula, kuvaaaa ( enzi hizo vyuma vilikaza)

[emoji117]Demu ni kanamke ivi kembamkemba kana micheruko sio ya nchii hiii, yaan ni tulw tudemu tinavyoshindia chips au chai ya asubuhi, lkn kamejaza CD za tamthiliya na remote kanashikilia masaa 24.

[emoji117]Demu alikua anampelekesha humo ndani.

Kwa haya machache niseme kua, DEMU NI KIBOKO YA ROBERT...

ILA KWA WANAUME KAMA SISI..DEMU NI KAMALAYA KAMOJA KAPUMBAVU KAMEJAZA PUMBA KICHWANI.
100
 
Back
Top Bottom