Nimesamehe lakini sitasahau

Nimesamehe lakini sitasahau

Eeehh mkuu

Samahan kuuliza lakini
Why are you so negative about love thing
Kupitia tu threads zako... unaponda sana mahusiano na ndoa
Kuna kitu ushapitia au
Weren’t your parents married?????
Nimsaidie Kujibu Kuna baadhi ya Wanawake wanaudhi sana kiasi kwamba maisha yako na watoto kama mnao yanaharibika Kabisa...!! Ujue hakuna Kitu kibaya kama break up. Hasa ikiwa uliweka Kila Kitu Ili Relation idumu milele...!!!
 
PIA PITIA POST YAKE HII UTANGUNDUA YUPO SERIOUS NA ANALICHOANDIKA.
Hu
Huyu jamaa ni Kweli Pitia Post zake za nyuma ni wale Haleluya Amen wanaoshona vitenge sare na Mke
 
WEE JAMAA HUZALISHI YAAN HUNA NGUVU ZA KIUME ??


KWAHIYO HILO DUBWASHA LAKO ,MTOTO WAKE KUTUMIA MAJINA YAKO .

NDIO UNAJIONA BABA ??? MAMAEEEE
Naona jamaaa kuna matatizo atakuwa nayo sasa yule mwanamke anatumia udhaifu wake kumuumiza na jamaa keshajikatia tamaa anavumilia kila aina ya ujinga,ee Mungu msaidie kijana hyu sisi hatujui nini kinamsibu lakini hii si hali ya kawaida
 
SINDO HAPO MKUU, YAAN K ?? K ZILIVYOJAAA HIVI DUNIAN PANDE ZOTE ZA DUNIA ???


HATA KAMA K YAKE INADONDOSHA DHAHABU.


AISEEEE, MWANAMKE LAZIMA AKUHESHIMU, YAAAN MWANAMKE NI LAZIMA, NASEMA NI LAZIMA AKUHESHIMU , UWE HAI, UWE UMEKUFA, LAZIMA AKUHESHIMU KWELIKWELI



" ET LEO NAENDA KWA BWAN"[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Carlos kachafukwa vibaya,ila kiukweli inaudhi watu hawana shukrani yaani mijitu mingine haisitiriki
 
Unachosema Kweli... Kwangu Mimi imenitokea hata sielewi Mpaka Leo Ile ndoa tamu vile ilisambaratikaje.... Huwa naongea peke yangu.. Nimekaa 3 years nimedate Tena nimekutana na tapeli la Pesa Yaani mtu anafoji Hadi cheti Cha ugonjwa Ili tuu apate pesa na Bado matumizi Kodi unampa... Nimejifunza kuanza Kuwa mkatili sana japo ngumu niliumbwa na Huruma na utu..!!! But inaudhi na kuumiza sana...!!!!
Just be a man, usiwe katili.
 
Kuhusu mtoto, fanya kama unalea mtoto wa mazingira magumu, ada peleka mwenyewe.

Huyu kunguru asikuzoee atakuharibia mahusiano mapya.
Kumbe onyo la kutokuoa singo parent linakuwaga na ukweli?
Acha jamani ada anapeleka vipi wakati baba wa mtoto na mama wananyanduana,hizo ni huruma za wapi?yaani utunze wewe afu watombe wengine?
 
Acha jamani ada anapeleka vipi wakati baba wa mtoto na mama wananyanduana,hizo ni huruma za wapi?yaani utunze wewe afu watombe wengine?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dunia ndivyo ilivyo mkuu atombha mwingine anatunza mwingine
 
[emoji117]Et leo naenda kwa mwanaume usinitext??

MAMAEE KABISAA, HUONI HUYO ALITAKA KUKUUA ?? HUONI HAJALI UFANISI WA KAZI ZAKO??

MANINAA KABISAAA WEE, MALAYA MMOJA ASOJITAMBUA, UMEMUOKOTA HUMU NA KESHAZALISHWA , NDIO ANAKUENDESHA KAMA MJINGA????
Yani dingi sijawahi kuona dem kiazi kama huyu

Na muhuni kashikilia tu
 
Aiseh kwamba naenda kwa mwanaume usinisumbue

Na muhuni unakomaa na hilo caterpillar tu
 
Hodi wakuu!

Samahani kwa hili lakini inabidi niseme , mwaka 2017 nilileta thread moja hapa kwenu ya kutafuta mke nashukuru mungu nilifanikiwa , taratibu nikafuata akawa mke rasmi , yeye alikuwa na mtoto mmoja nilimpenda hivo hivo nikawa namlea Kama wangu , kiukweli nilimshukuru mungu kwa kukutanishwa naye !

Mwaka 2019 ndipo true colour yake halisi nikaitambua akawa ni mwanamke mwenye maneno mengi Sana na simu yake ikawa busy Sana nikaja tambua kumbe ana Yule mshikaji wake aliyemzalisha tayari wanawasiliana na tabia yake ikawa chafu Sana kiufupi nilipitia matatizo makubwa Sana kwenye ndoa hiyo Familia ikaingilia kidogo Mambo yakawa sawa huwezi amini nilimthamini sana yeye na ndugu zake pia lakini hakujali kabisa.

Ndgu zangu Mimi na wazazi wangu nikawa naumia Sana nikiamini ipo siku atabadilika nikawa nanunua zawadi napeleka nyumbani nadai kuwa mke wangu ndo kanunua kwa ajili yao kumbe hakuna nilifanya ivo ili kuwaaminisha wazazi kuwa anawapenda Sana lakini haikuwa ivo, mwaka huu January nilipata Safari ya kwenda Congo DRC mwanamke akarudia tabia zake za mwanzo ikafikia hatua akawa anatuma Text kwa leo anaenda kwa mwanamme so nisimsumbua na mengine mengi , nimerudi mwezi August moyo wangu ukiwa na maumivu makubwa Sana ila tayari nilikuwa na uamuzi wa kuachana nae !

Kweli nilifanikiwa Hilo nashukuru Mungu ndani ya muda mfupi Sana nimemsahau lakini kubwa lililonifanya kuja kwenu hapa jamvini Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Je wanawake wakweli wapo wapi ? au ndo utandawazi huu!

Nawasilisha.
Kumbe wanaume wa hivi bado wapo[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Ni kuwa anapiga simu za kuomba pesa za shule za Yule mtoto ili hali Mimi so biological father ,but majina yote mtoto anatumia yangu na ananijua Mimi ndo baba yake , je nifanye nini wadau juu ya hili ndg zangu , niendelee na utaratibu huo au nimkaushie ?
Umerogwa sio bure.....Ushauri gani sasa hapa, Si umesema alirudiana na yule jamaa aliyemzalisha mwanzoni, Mtoto si yuko kwa Baba na Mama yake au?
 
Back
Top Bottom