Nimeshaanza kuwasaidia Big Bullets FC ya Malawi ili Waifunge Simba SC ya Barbara na Matola tarehe 10 Sept 2022

Nimeshaanza kuwasaidia Big Bullets FC ya Malawi ili Waifunge Simba SC ya Barbara na Matola tarehe 10 Sept 2022

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
Duh!

Muddy asipoeleza Ukweli kuhusu B20 zilipo na matumizi yake pamoja na kuipora Simba Toka kwa kina Mzee Kilomoni...

Wenye Simba yao wataichukua kwa nguvu Timu yao, soon..

Muhindi mwizi sana... yaani Mwekezaji anajifanya ndio mwenyetimu yeye na Demu wake...

Mwenyekti wa Simba sijui ana kazi gani pale ....

Timu inahangaika na M/kiti ana lolote la kufanya mbele ya muajiriwa Barbra..

Usajili MBOVU, Mwekezaji Janja Janja,. Mashabiki Mbumbumbu...

Rage alikuwa sahihi sana...
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
We huna faida yoyote,na hatukuitaji Tena huwe shabiki wa wekundu wa msimbazi
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!

Endelea kujipaka mavi hadi unuke mwili mzima!
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
Mentality ya Simba kwenye kazi za kimataifa unaifahamu ,tutarudi kukuuliza ulivyo wasaidia wamalawi wakipokea pumzi ya moto lupaso
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
Usitusumbue, nguvu tumeelekeza kwenye timu ya WANAWAKE!

Timu ya WANAUME miaka ijayo tutaachana nayo!
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!

Damu Ya Yesu ikufunike. Pepo toka kwa Jina la Yesu
 
Mentality ya Simba kwenye kazi za kimataifa unaifahamu ,tutarudi kukuuliza ulivyo wasaidia wamalawi wakipokea pumzi ya moto lupaso
Mentality ukiwa na kikosi cha aina gani msimu huu, Mmekaririshwa ndo maana mkigongwa mnaanza kupayuka ovyo
 
Back
Top Bottom