Nimeshaanza kuwasaidia Big Bullets FC ya Malawi ili Waifunge Simba SC ya Barbara na Matola tarehe 10 Sept 2022

Nimeshaanza kuwasaidia Big Bullets FC ya Malawi ili Waifunge Simba SC ya Barbara na Matola tarehe 10 Sept 2022

Leo hii akitumia ile ID yake iliyo zoeleka! Anajifanya eti kuisifia tena timu yake, na pia CEO wake aliyekuwa akimnanga kila aina ya matusi!

Hakika huyu jamaa kweli ni Popoma.
huyo anatumia dawa za uchizi, asipomeza kwa usahihi hasira zake anamalizia kwa kutukana kina matola na Barbara
 
Back
Top Bottom