Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkoloni kesha zindua reli ya mwaka 1907Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Naenda kumchinja mtu toka kisogoniJina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.
Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.
Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Na Maghost votersSisi Watanzania tuliowengi
Kama kawa tunakata mtu kichwa live liveJina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.
Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.
Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Kura kwa magufuli unakuwa unaipoteza tu. Kushinda au kushindwa anategemea NEC na Polisi. Kura yako haina maana. Mpe Tundu Lissu tu.Kumukata wewe tu haitoshi ungejaribu kualika na ukoo wako mzima kabisa kaka.
Kwa maana Kura yako kwa Magufuli nikama punje ya mchanga kwenye ufukwe wa bahari.
Ikulu ya ikungiTundu Lissu saa 4 kamili asubuh tunatembea kwa mguu kukusindikiza ikulu
Matokeo yao ya saa mbili usiku watayasubiri wenyewe.
Tukapigee kuraaaa
Piga *152*00# afu chagua uchaguziMnahakiki vipi?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Chadema mikwara yao sio ya nchi hii.Tundu Lissu saa 4 kamili asubuh tunatembea kwa mguu kukusindikiza ikulu
Matokeo yao ya saa mbili usiku watayasubiri wenyewe.
Tukapigee kuraaaa
Kura yako na wenzako zitafika laki mbili?Jina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.
Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.
Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Sipo tayari kusutwa na nafsi yangu kisa nimemupa Kura yangu Mbeligiji angali Mimi Ni Mtanzania.Kura kwa magufuli unakuwa unaipoteza tu. Kushinda au kushindwa anategemea NEC na Polisi. Kura yako haina maana. Mpe Tundu Lissu tu.
Na ya Janet anayo. Ila ya Machinga hana hata 1Sawa
JPM atapata kura yangu.
SawaNa ya Janet anayo. Ila ya Machinga hana hata 1
Nasubiri kwa hamuJina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.
Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.
Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.