Uchaguzi 2020 Nimeshahikiki jina langu kwenye daftari, tarehe 28 naenda kumkata kidevu

Uchaguzi 2020 Nimeshahikiki jina langu kwenye daftari, tarehe 28 naenda kumkata kidevu

Nmehakiki jina langu!
Tarehe 28 naenda kumchinja Amsterdam bila huruma.
 
Nae
Jina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.

Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.

Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Naenda kumchinja mtu toka kisogoni
 
Kumukata wewe tu haitoshi ungejaribu kualika na ukoo wako mzima kabisa kaka.

Kwa maana Kura yako kwa Magufuli nikama punje ya mchanga kwenye ufukwe wa bahari.
 
Jina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.

Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.

Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Kama kawa tunakata mtu kichwa live live
 
Kumukata wewe tu haitoshi ungejaribu kualika na ukoo wako mzima kabisa kaka.

Kwa maana Kura yako kwa Magufuli nikama punje ya mchanga kwenye ufukwe wa bahari.
Kura kwa magufuli unakuwa unaipoteza tu. Kushinda au kushindwa anategemea NEC na Polisi. Kura yako haina maana. Mpe Tundu Lissu tu.
 
Tundu Lissu saa 4 kamili asubuh tunatembea kwa mguu kukusindikiza ikulu

Matokeo yao ya saa mbili usiku watayasubiri wenyewe.

Tukapigee kuraaaa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Chadema mikwara yao sio ya nchi hii.
 
Jina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.

Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.

Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Kura yako na wenzako zitafika laki mbili?
 
Kura kwa magufuli unakuwa unaipoteza tu. Kushinda au kushindwa anategemea NEC na Polisi. Kura yako haina maana. Mpe Tundu Lissu tu.
Sipo tayari kusutwa na nafsi yangu kisa nimemupa Kura yangu Mbeligiji angali Mimi Ni Mtanzania.
 
Jina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona.

Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi. Nimemjibu nitapigia Haki, Uhuru na Maendeleo.

Nakusihi sana mwanaJF kuanzia wamiliki mpaka wasomaji wasio members. Twendeni tukapige kura, usikae nyumbani.
Nasubiri kwa hamu
 
Back
Top Bottom