Nimeshangaa kusoma kuwa USA ilisaidia silaha USSR kumshinda dikteta Hitler

Nimeshangaa kusoma kuwa USA ilisaidia silaha USSR kumshinda dikteta Hitler

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Wadau,

Acha kabisa. Siasa za kimataifa hazina rafiki wa kudumu. Nilikua nasoma mahali. Kumbe wajerumani walikua wanaiteka USSR.

Kama kawaida mbabe USA akampatia support ya siraha kali kumsaidia urusi ya zamani kushinda vita.

Na kwahistoria hiyo Urusi hatoboi hapo Ukraine.
 
Unashangaa nini sasa? Hayo mambo mbona ni kawaida kwa hao mabwana, hao vita vyao na migogoro yao wanaijuwa wao wenyewe na njia za kusolve wanazijuwa wao wenyewe.

Ndiomaana huwa tunawashangaa sana hawa wapumbavu wanaojivika makundi ya pro Russians na pro westerns, hawa wajinga wanafikia hatua ya kutukanana, kuaibishana mpka wengine kutengana kisa hayo makundi ambayo vita vyao wanavijua wao wenyewe.

Tuache itikadi za kijinga
 
Mambo mengi yamebadilika sana tokea kipindi hiko, na bepari hakutoa huo msaada bure hio ilikua ni mikopo. Hilo jambo liliwezekana kwa sababu kwa kipindi hiko duniani marekani ndo ilikua nchi yenye viwanda vingi, aliweza kuzalisha kwa wingi na akawa na soko la uhakika, hakutoa kitu bure, alikua anawekeza na mikopo alizipa nchi zote zilizokua zinapigana na mjerumani ila mrusi ndo alieweza kumdhibiti mjerumani.

Hao waingereza walishaanza kulamba pesa ya mmarekani mapema zaidi ila waliishia kulamba sakafu tu mjerumani aliwatandika akachukua hadi nchi zao kwa sasa hali ni tofauti nchi yenye viwanda vingi na inayoweza kuzalisha bidhaa kwa wingi ni china huku muhindi akimfukuzia.

Kwa hii factor ya sasa mchina na muhindi wanapata gesi na mafuta kwa bei chee zaidi kutoka kwa mrusi, mchina akigeuza kibao wamagharibi watakimbiana , na mrusi anajua karata anayoicheza ndo maana hawa jamaa kipindi hiki wamekua karibu sana, hizo silaha wamagharibi wanazopeleka ukraine lazima stock ifidiwe gharama za uzalishaji kwa nchi za magharibi zinapanda, watu wanakimbiza mwizi kimya kimya.

Itaendelea🐎🐎
Screenshot_20220909-225931_RT News.jpg
Screenshot_20220910-002946_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220909-223831_Sputnik.jpg
Screenshot_20220910-003440_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220910-003521_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220910-003551_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220910-003623_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220910-003947_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220910-010023_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220910-010047_Samsung Internet.jpg
 
Wadau,

Acha kabisa. Siasa za kimataifa hazina rafiki wa kudumu. Nilikua nasoma mahali. Kumbe wajerumani walikua wanaiteka USSR.

Kama kawaida mbabe USA akampatia support ya siraha kali kumsaidia urusi ya zamani kushinda vita.

Na kwahistoria hiyo Urusi hatoboi hapo Ukraine.
Kweli Ford pia alipeleka Viwanda vyake kule, kusaidia Magari na vifaa vingi vya kuundia Viwanda vya awali.

Ili kumsaidia Urusi asishindwe, na ndio maana leo hii wanafanya hivyohivyo Uktaine asishindwe
 
Wadau,

Acha kabisa. Siasa za kimataifa hazina rafiki wa kudumu. Nilikua nasoma mahali. Kumbe wajerumani walikua wanaiteka USSR.

Kama kawaida mbabe USA akampatia support ya siraha kali kumsaidia urusi ya zamani kushinda vita.

Na kwahistoria hiyo Urusi hatoboi hapo Ukraine.
Hiyo vita hapo Ukraine itapiganwa hata miaka 10 lkn mrusi hatakubali na us hatakubali, tujiandae tu kwa maumivu makali ya maisha
 
Sio urusi pekee nchi karibu zote za Ulaya hasa UK hadi leo UK anadaiwa pesa na USA za vita vya pili vya Dunia. Thus makubaliano ni dola ndo itumike zaidi duniani. Soma historia ya rise of USA, wakati ulaya inapigana yeye ana make
 
UONGO
Sio urusi pekee nchi karibu zote za Ulaya hasa UK hadi leo UK anadaiwa pesa na USA za vita vya pili vya Dunia. Thus makubaliano ni dola ndo itumike zaidi duniani. Soma historia ya rise of USA, wakati ulaya inapigana yeye ana make
 
Mambo mengi yamebadilika sana tokea kipindi hiko, na bepari hakutoa huo msaada bure hio ilikua ni mikopo. Hilo jambo liliwezekana kwa sababu kwa kipindi hiko duniani marekani ndo ilikua nchi yenye viwanda vingi, aliweza kuzalisha kwa wingi na akawa na soko la uhakika, hakutoa kitu bure, alikua anawekeza na mikopo alizipa nchi zote zilizokua zinapigana na mjerumani ila mrusi ndo alieweza kumdhibiti mjerumani.

Hao waingereza walishaanza kulamba pesa ya mmarekani mapema zaidi ila waliishia kulamba sakafu tu mjerumani aliwatandika akachukua hadi nchi zao kwa sasa hali ni tofauti nchi yenye viwanda vingi na inayoweza kuzalisha bidhaa kwa wingi ni china huku muhindi akimfukuzia.

Kwa hii factor ya sasa mchina na muhindi wanapata gesi na mafuta kwa bei chee zaidi kutoka kwa mrusi, mchina akigeuza kibao wamagharibi watakimbiana , na mrusi anajua karata anayoicheza ndo maana hawa jamaa kipindi hiki wamekua karibu sana, hizo silaha wamagharibi wanazopeleka ukraine lazima stock ifidiwe gharama za uzalishaji kwa nchi za magharibi zinapanda, watu wanakimbiza mwizi kimya kimya.

Itaendelea[emoji237][emoji237]View attachment 2351907View attachment 2351908View attachment 2351909View attachment 2351910View attachment 2351911View attachment 2351912View attachment 2351913View attachment 2351914View attachment 2351917View attachment 2351918
Punguza mahaba na Rusia kaka.kama ni hivyo Uingeleza na Marekan hazikutia mguu Ujeruman why kulikuwa west na east German?Ujeruman ilikuwa inashinda vipa U.S ndiye iliyo geuza mkondo wa vita Ulaya 1941
 
Punguza mahaba na Rusia kaka.kama ni hivyo Uingeleza na Marekan hazikutia mguu Ujeruman why kulikuwa west na east German?Ujeruman ilikuwa inashinda vipa U.S ndiye iliyo geuza mkondo wa vita Ulaya 1941
Mahaba vipi kwani si ndo ukweli wenyewe.......kageuza mkondo ila waliokua uwanja wa mapambano ni wengine sio yeye mmarekani
 
Marekani akiweka bajeti ya kueleweka kwenye hii vita Urusi watarudi kwao.
hahahaaa bado wanamvutia kamba kila kitu mahesabu , inabid adhoofike then waje wamfuate hadi Moscow kama Hitler au Napoleon
 
Mahaba vipi kwani si ndo ukweli wenyewe.......kageuza mkondo ila waliokua uwanja wa mapambano ni wengine sio yeye mmarekani
Kaka kama hujui tulia, Marekani alikuwa anashambulia Ujerumani upande wa Magharibi na Urusi anapiga Mashariki.

Na Japani pekee ndio alipigana na Marekani kwenye aridhi yake, ndani ya Washington
 
Hapo unazungumzia Lend-Lease Act ya mwaka 1941 chini ya Rais Franklin D. Roosevelt ambapo Marekani ilitoa misaada mingi sana kwa nchi washirika wakati wa WW2.

USSR ni miongoni mwa nchi zilizopokea hiyo misaada wakati ikikabiliana na Operation Barbarossa ya Hitler.

Kuna watu humu hawaifahamu hii historia mpaka leo, wengi wa hao wanaijua Urusi ya karne hii tu.
 
Back
Top Bottom