Nimeshangaa mahindi ya kutengeneza popcorn yanatoka nje

Nimeshangaa mahindi ya kutengeneza popcorn yanatoka nje

trplmike

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
701
Reaction score
777
Leo nilijisikia kutengeneza popcorn ili weekend iende vizuri, nikajivuta sokoni hapa Dar. Kwenye maduka ya nafaka. Naulizia mahindi ya popcorn naambiwa kilo moja 3500. Wananiambia mahindi ya popcorm asilimia kubwa yanatoka USA.

Nimeshindwa kuelewa. Watanzania tumeshindwa kuchangamkia hii fursa? Mbona mikoa kibao soko la mahindi linakubali? Kwanini tumeshindwa kulima aina hii ya mbegu?
 
Ya nje yanavirutubisho vingi mkuu hujamsikia Bashe?
 
Hapa watu wanalima sana isipokuwa ubora wake unakuwa tofauti sana na yanayotoka nje.Mimi ni mtengenezaji mzuri wa popcorn ila ya ndani yanapasuka kidogo sana tofauti na yale yanayotka nje yanapasuka kwa kiwango kikubwa na kuvutia
 
Tuliowahi kutengeneza popcorn ndo tunaelewa hili! Chakufanya pita sokoni nunua mahindi yako yale ya njano kilo 2000-2500 kisha katengeneze popcorn zako.
Kaanga/choma kilo nzima uone utatoa mifuko mingapi.Tupiamo na kapicha hapa tuone yalivyopasuka!
================
Ila mbona kama bei imepanda mimi zama hizo nilikuwa nanunua Lavena elfu tatu! Siku hizi sijui ipo vipi.
 
Tuliowahi kutengeneza popcorn ndo tunaelewa hili! Chakufanya pita sokoni nunua mahindi yako yale ya njano kilo 2000-2500 kisha katengeneze popcorn zako.
Kaanga/choma kilo nzima uone utatoa mifuko mingapi.Tupiamo na kapicha hapa tuone yalivyopasuka!
================
Ila mbona kama bei imepanda mimi zama hizo nilikuwa nanunua Lavena elfu tatu! Siku hizi sijui ipo vipi.
Tena huko bei rahisi, huku maporini kwetu kilo ni 4500-5000.
 
Kuna ndugu yangu alilima hapa Iringa, siku niliyo kuepo pale alichukua akayakaanga kweny sufuria ndogo ya kawaida na moto kidog.
Yalipasuka vzr san asilimia 98.
Mm hilo sishangai najua ndo tulivyo sisi tz tunajipang kufanya mambo makubwa tu issue ndogo tunaona upuuzi.
Mfano juzi nilienda kununua stick zile ndefu za kuchomea mishikaki, aisee nilishangaa tule tufimbo tunatoa China!!!
Nilibidi nijidharau kwanza kisha nikapiga picha hii hapa.
IMG_20200605_124930_537.jpeg
IMG_20200605_124853_359.jpeg
IMG_20200605_124843_947.jpeg
 
Kuna ndugu yangu alilima hapa Iringa, siku niliyo kuepo pale alichukua akayakaanga kweny sufuria ndogo ya kawaida na moto kidog.
Yalipasuka vzr san asilimia 98.
Mm hilo sishangai najua ndo tulivyo sisi tz tunajipang kufanya mambo makubwa tu issue ndogo tunaona upuuzi.
Mfano juzi nilienda kununua stick zile ndefu za kuchomea mishikaki, aisee nilishangaa tule tufimbo tunatoa China!!!
Nilibidi nijidharau kwanza kisha nikapiga picha hii hapa.View attachment 1478834View attachment 1478836View attachment 1478839
Yakapasuka asilimia 98!!!
 
Nahitaji aniuzie kwa bei ya jumla mie nauza rejareja mfikishie huu ujumbe
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Hapa watu wanalima sana isipokuwa ubora wake unakuwa tofauti sana na yanayotoka nje.Mimi ni mtengenezaji mzuri wa popcorn ila ya ndani yanapasuka kidogo sana tofauti na yale yanayotka nje yanapasuka kwa kiwango kikubwa na kuvutia
upo sahihi
 
Back
Top Bottom