Kuna ndugu yangu alilima hapa Iringa, siku niliyo kuepo pale alichukua akayakaanga kweny sufuria ndogo ya kawaida na moto kidog.
Yalipasuka vzr san asilimia 98.
Mm hilo sishangai najua ndo tulivyo sisi tz tunajipang kufanya mambo makubwa tu issue ndogo tunaona upuuzi.
Mfano juzi nilienda kununua stick zile ndefu za kuchomea mishikaki, aisee nilishangaa tule tufimbo tunatoa China!!!
Nilibidi nijidharau kwanza kisha nikapiga picha hii hapa.
View attachment 1478834View attachment 1478836View attachment 1478839