Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
Ahaaa na daraja la kigamboni ni misifa??miradi mingi ya NSSF ni sifuri kabisa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa na daraja la kigamboni ni misifa??miradi mingi ya NSSF ni sifuri kabisa,
Bonyeza*102# utapata picha mubashara.Kaweka picha au video katuni zile. Mimi nataka nione picha za hayo majengo. Live
Atazikwa hapo hapoMuulizeni akifa atazikwa wapi?
Wapi pichaNilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo,
Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa,
majumba kama utitiri,
baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village.
kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama kariakoo au hata zaidi.
Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.
hela zimelala pale matrioni nadhani.
Unajua kabisa unaleta uzi unaohitaji picha halafu unaweka maneno Matupu, BullShitNilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo,
Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa,
majumba kama utitiri,
baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village.
kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama kariakoo au hata zaidi.
Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.
hela zimelala pale matrioni nadhani.
Mahela mahela mahekaru
Design
Matrillion hayajalala anagalia hapa, unaemda kumakizika huu
NSSF kibubu cha viongozi.Zile hela za mikopo, au?
But, nchi hii inahitaji maendeleo kama haya.
PICHA tafadhali!