Mbulukenge
Senior Member
- Jun 26, 2019
- 130
- 306
Its mandatory scheme broMi siamini kwenye kutunziwa hela zangu na mtu ni udhaifu mkubwa unatunziwa then unasota kuzipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its mandatory scheme broMi siamini kwenye kutunziwa hela zangu na mtu ni udhaifu mkubwa unatunziwa then unasota kuzipata
Wengi wenu huwa mnakosa supportive document ndio maana mnazungushwa kiongoziWewe mbulukenge mnalipwa allowance nyingi, mnapewa mafuta kila mwezi lakini output zero
Hiyo sheria bado haijawa applicableKwani mafao, bado yanatolewa, si kuna tamko Hadi mtu afikishe miaka 60.Ama Mimi nimelala usingizini bado?
Issue siyo wafanyakazi wa NSSF. Mnashindwa kujua tatizo ndio maana tatizo halitaisha.Hivi wafanyakazi wa NSSF wamesomea wapi?
Wamepewa mpaka uniform lkn productivity is almost nil.
Kwahiyo na mimi nitaweza kupata mafao yangu?hiyo sheria bdo haijawa applicable
Swala sio hilo tu, pia mnanyodo sana, unakuta mtu anakuja kudai madai yake katoka mbali mnashindwa kumsaidia unakuta kajaza vibaya fomu ambapo ni jambo la kumuomba mkae mrekebishe ila mnamwambia arudi tena akishakamilisha, unakuta ni mzee mtu kashachoka hana hata nauli, mnakosea sana.wengi wenu huwa mnakosa supportive document ndo maana mnazungushwa kiongozi
Inategemea na fao gani we chalii usikariri, kuna baadhi ya mafao unachukua pesa yako kama umekidhi matakwaKwani mafao, bado yanatolewa, si kuna tamko Hadi mtu afikishe miaka 60.Ama Mimi nimelala usingizini bado?
Mkuu mbona unaonekana mvivu kujifunza sana, ina maana ulikua hujui ama unatania?Kwahiyo na Mimi nitaweza kupata mafao yangu?
Ofkoz ukiwa na barua ya job termination na ya mwajiri wako na supportive document zote utakazo ombwa na afisa as evidenceKwahiyo na Mimi nitaweza kupata mafao yangu?
Sio uvivu ila mazingira na mambo kama hayo.Mkuu mbona unaonekana mvivu kujifunza sana, ina maana ulikua hujui ama unatania?
Uliza sasa maswali hapa usaidiwe, mazingira sio ukomo wa kupata elimu, mitandao ipo siku hizi hata ukiwa wapi unapata taarifa kamili na kwa harakaSio uvivu,ila mazingira na mambo kama hayo.
Wale kule psssf wanajinadi na mfumo wanaotumia waliotoka nao PPF, data system zao zipo vizuri tho Challenges hazikosekani, ila mfumo wao wanaotumia umekaa vizuri michango inaingia na ni rahisi kufanya tracking.Iceberg9 swali tatanishi mbona wale watumishi wanao vaa nguo kma chatu wao huwa wanawahi pewa mafao yao kule psssf tofauti na washika chaki? tujiulize
Unatengenezewa mazingira ya rushwa, toa hela upate helaTangu nimeachishwa kazi kampuni binafsi ni mwezi wa 7 sasa nazungushwa tu na hawa nssf.
Mizunguko niliyopiga huko nimepoteza muda na hela lakini hawawazi ndio kwanza wana vimajibu vya ajabuajabu [emoji17]
Yote maisha aisee tena bora hilo ingia ofisi zao ndani sasa unakuta watu wanapiga story J3 asubuhi na njee reception unakuta kijana wa volunteer ndio anasaidia wazeee, shida sana hii.Hao walio ndani kwa nyodo. Yaani hii dunia we acha tu. Unakuta mtu amefuata mafao ya ya laki tatu sasa wanavyo m treat.
Lakini siku ya kujiandikisha mmhh kama nawaona vile maelezo mengi mpaka basiTangu nimeachishwa kazi kampuni binafsi ni mwezi wa 7 sasa nazungushwa tu na hawa nssf.
Mizunguko niliyopiga huko nimepoteza muda na hela lakini hawawazi ndio kwanza wana vimajibu vya ajabuajabu 😔
Na madaktari pia wakisema hivyo tutaishi kweli?? Manesi nao?? Nchi ya ajabu hiiUnatengenezewa mazingira ya rushwa, toa hela upate hela