Nimeshangazwa na hili la ubaguzi halmashauri ya Mbeya

Nimeshangazwa na hili la ubaguzi halmashauri ya Mbeya

nimetokea kuuchukia huu mkoa na sasa ndio naanza kuamini hili ndilo linalofanya mkoa wao kutoendelea mijinga sana yani inataka misafwa na minykysa myenzao ndio iwahudumie wakati kodi tuvnalipa sote


Sasa hapo kuanza kutuingizia Wanyakyusa na Wasafwa hapo hatutakuelewa !

Afu We she / He ? Just asking
 
Nenda tu Dar kama unaweza. Utalalamika baadae
 
anayebisha mbeya hakuna ukabila ni mchawi wa mchanamchana,ndugu yangu kafungua saluni pande za uyole akachukua mtaalamu kutoka dar akamweka dah!mpaka alijuta na kuhisi labda hakuwa sahihi katika uchaguzi wa biashara mpaka alipobuni plan b ya kumtoa yule wa dar na kumleta mpolipoli kutoka igawilo yan sasa anafurahia biashara yake,tatizo la mbeya ukifungua biashara yako wanaanza kuuliza umetokea wapi?hili swali silipendi sana na ukimjibu kesho haji tena.
 
Sasa umekuja kutukana watu wa Mbeya au?
Kama unaichukia Mbeya si urudi kwenu ndg?
 
Sasa umekuja kutukana watu wa Mbeya au?
Kama unaichukia Mbeya si urudi kwenu ndg au wewe ni mfungwa kwamba unachaguliwa gereza?
 
Haya malalamiko hayana ukweli wowote inaonekana ni ya kutunga tu, Inaoneka matokeo yako si mazuri hata Ualimu huna uhakika wa kupata ndo sababu umepanic hata kabla ya kutuma maombi,dead lina tar 10 july zaid ya wiki mbili mbele unachanganyikiwa leo? ha ha ha una matatizo tena makubwa tu,kwanini usitume huko unakofikiri hawabagui?,au kwa nini usimtumie ndugu yako akupelekee mkoa unaoutaka wewe? Unapiga kelele kwamba Mkoa haundelei una uhakika na hilo au sababu umefeli basi hata data za mikoa inayoendelea kwa kasi Tz huijui?

Unajua lazima ufanyie kazi kila unachosikia siyo kutoa majumuisho tu. Ndugu huyu kaenda ofisi moja na kajibiwa hivyo unategemea hawape pongezi? Ukabila bado hupo, inabidi tuukomeshe sisi wenyewe kwani sisi wote ni binadamu na tunaoleana kwa kasi sana siku hizi hivyo tuache mambo ya kuulizana maswali ya ajabu heti umesomea au kuzaliwa wapi? Hapa nikupokea maombi na kuyapeleka kunako husika.

Naona mnamshambulia kuwa matokeo yake yatakuwa siyo mazuri, wewe nani kakwambia? Mbona tunapenda sana kuwadharau watu ambao hawajaweza kufanya vizuri darasani? Naona hata viongozi wetu wanatumia sana sehemu hii kutojibu maswali husika.

Ndugu Happycuit tumia posta kwa EMS na utafanikiwa tu. Usiwachukie hao wewe songa mbele, nasi tumepitia mengi tu lakini bado tunaishi kwa uwezo wa Mungu.
 
anayebisha mbeya hakuna ukabila ni mchawi wa mchanamchana,ndugu yangu kafungua saluni pande za uyole akachukua mtaalamu kutoka dar akamweka dah!mpaka alijuta na kuhisi labda hakuwa sahihi katika uchaguzi wa biashara mpaka alipobuni plan b ya kumtoa yule wa dar na kumleta mpolipoli kutoka igawilo yan sasa anafurahia biashara yake,tatizo la mbeya ukifungua biashara yako wanaanza kuuliza umetokea wapi?hili swali silipendi sana na ukimjibu kesho haji tena.

kipindi nasoma argumentation hii tulikuwa yunaita fallacy of generalization wewe ni wakuja kabisa
 
unaposema mkoa wa mby haujaendelea,unapima maendeleo kwa vigezo vipi? na una ufananisha na mkoa gani? pia unaposema "mijinga sana yani inataka misafwa na minykysa myenzao ndio iwahudumie wakati kodi tuvnalipa sote" unamaanisha nini? acha kutoa post ukiwa umepaniki relux kwanza ndipo utoe post...:llama:
 
umejuaje ofisini kulikuwa na wasafwa na wanyakyusya?
 
acha unafki wa kshoga we dogo, hakuna afisa elimu wa mbeya anaweza kufanya hvyo, alaf ujue hao maafisa wenyew wote ni wagen hapo mbeya iweje ubaguliwe? manispaa ya mbeya ukienda hujui kujieleza unatetemeka na hujiamini ujue imekula kwako, wanakushinda mabibi na mababu wanatoka miliman na wanajieleza vzur, ok nenda kjijin kwenu ukatume hyo barua, tahadhar manispaa ya mbeya kama haujiamin hawana muda wakupoteza na wajinga kama wew
 
nimetokea kuuchukia huu mkoa na sasa ndio naanza kuamini hili ndilo linalofanya mkoa wao kutoendelea mijinga sana yani inataka misafwa na minykysa myenzao ndio iwahudumie wakati kodi tuvnalipa sote
chunga kauli kijana acha generalization uliowakuta ndo wako hivyo....
 
dah!yan nimeishiwa nguvu kabisa na sijui nifanye nini maana tar10july ndio mwisho wa kuomba na hawa watu wa posta imani nao imenitoka kabisa yani toka nianze kutumia posta sijawah kufanikiwa nahisi barua hazifiki dg

Tuma kwa EMS
 
Inawezekana anachokisema huyu dogo kimemtokea,hata mim niliwah kunyanyapaliwa on tribe basis nilkuwa nafanya kaz tukuyu.
 
Back
Top Bottom