Keyser Söze
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 454
- 666
Sometimes wana import kutoka middle East. Twiga mgodi wao umeenda chini sana so kutoa material kwa ajili ya kutengeneza clinker ya kutosha muda wote ni changamoto, So kuna wakati huwa wana top up. Dangote, Huaxin na Tanga Cement hawa wanajitosheleza. Tena dangote na Huaxin huwa wanawauzia pia viwanda vingine ClinkerYour right mkuu! Malighaf zote za cement znapatikana hapa hapa hata hiyo clinker kiwanda kama twiga wanazalisha wenywe wana furnaces za kutosha za kuzalisha.
Nlidhani ulimanisha awawezi kuzalisha! Nmekusoma upo sahihi wanazalisha wenywe kama kuimport kwa ajili ya deficit sawa!Sometimes wana import kutoka middle East. Twiga mgodi wao umeenda chini sana so kutoa material kwa ajili ya kutengeneza clinker ya kutosha muda wote ni changamoto, So kuna wakati huwa wana top up. Dangote, Huaxin na Tanga Cement hawa wanajitosheleza. Tena dangote na Huaxin huwa wanawauzia pia viwanda vingine Clinker
Una matatizo mkuu,hilo ni gazeti la Mwananchi la leo,limemnukuu muuzaji..Leta bei ya leo ya kiwandani sio kipande cha gazeti tena kinachomnukuu unknown! Na tangu lini bati ya rangi ya gauge 30 iliwahigi kuuzwa 18,000? Umejenga kweli?
0752 290 043 namba hiyo ya Marketing stafff wa sunshare uliza uelimishwe!
Nmekuwekea na bei za bati hapo chini za mwezi Oktoba kutoka kiwandani.View attachment 2022079
Babu elimu yako no darasa la ngapi?Waziri anahusikaje na kupanda bei vitu?
La pili kijanaBabu elimu yako no darasa la ngapi?
Mm nilijenga 2014-2015 Simba dumu Grada A Tsh 16,000/Leo nimefanya window shopping kwenye moja ya kiwanda kikubwa cha mabati nimeshangazwa sana kukuta bati zimepanda bei sana! Sijui tunaelekea wapi na nn hatma ya hili.
Bati ya gauge 30 leo hi ni TZS 41,346 wakati miaka miwili nyuma bati hyo hyo ilikua TZS 27,000....Hata kama ni inflation hi kiboko na nadhani zitazidi kupanda.
Hapo sawa make hata madogo wa form 4 wanaelewa ni wajibu wa wizara ya fedha ku-control price na inflation.La pili kijana
Bati G.30 ni 28,000 hadi 27,500.Acha uongo mkuu kwamba pc 1=tsh.41,346? Kwamba bando 1 ni zaidi ya 600k? Mbona mkoani bei ni hiyo 27,000 kwa PC?
Sawa hizi bei zimepanda lakini sio Sana maana mwaka Jana ilikuwa 22500-24,000Bati G.30 ni 28,000 hadi 27,500.
G. 30 kiwandani ni 13,500@ mt 1. (Wachina)
Mabati ya alaf ni 17,500 @mt 1. Hii ni kwa hapa dodoma, nimenunua tar 19 nov. mwaka huu"
Sio kila kitu wizara ya fedha ina control,huelewi hata sababu za kupanda..Hapo sawa make hata madogo wa form 4 wanaelewa ni wajibu wa wizara ya fedha ku-control price na inflation.
Tutarudia kuezekea nyasi
Wapi kiongozi nijuze ..tufatilie huku dar bei chafuAcha uongo mkuu kwamba pc 1=tsh.41,346? Kwamba bando 1 ni zaidi ya 600k? Mbona mkoani bei ni hiyo 27,000 kwa PC?
Waziri mwenye dhamana ya viwanda nchini Prof. Kitila ameongea leoWanaonza kujenga sa hii Mama anawanyoosha😂...kinachonikera hamna kiongozi anaongelea hili swala
Kwamba watu wajipangie tu bei? Unakumbuka sakata la sukari? Juzi kati suala la mafuta ulimsikia waziri wa wizara husika?Waziri anahusikaje na kupanda bei vitu?
Kila kitu kinakontroliwa na wizara ila inaweza iache kufanya hivyo kwa kutojua wajibu wake, tools of monetary policy inaeleza vizuri kabisa nchi inapokumbwa na shortage of production wa bidhaa fulani, wizara inainstruct maafisa wa forodha warekebishe haraka import duties za bidhaa adimu.Sio kila kitu wizara ya fedha ina control,huelewi hata sababu za kupanda..
Wizara ya Fedha inaweza ku control vipi shortage ambayo inasababishwa na kupungua kwa uzalishaji vs demand?
Pole Sana,hizo monetary policy tools haziwezi ku effect kwenye short run..Kila kitu kinakontroliwa na wizara ila inaweza iache kufanya hivyo kwa kutojua wajibu wake, tools of monetary policy inaeleza vizuri kabisa nchi inapokumbwa na shortage of production wa bidhaa fulani, wizara inainstruct maafisa wa forodha warekebishe haraka import duties za bidhaa adimu.
Hongera mkuu! Ukisoma vzuri nmezungumzia corrugated, waliotumia wanaweza kuleta ushaidi azijawahi kuuzwa 18k kwa bati ya futi 10Mm nilijenga 2014-2015 Simba dumu Grada A Tsh 16,000/
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nani anaejipangia? Soko ndio linapanga..Vipi kwani serikali ilipopanga bei ya sukari ,sukari iliuzwa kwa bei ya serikali?Kwamba watu wajipangie tu bei? Unakumbuka sakata la sukari? Juzi kati suala la mafuta ulimsikia waziri wa wizara husika?
Nmeweka ushahidi wa document ya kiwandani! Weka reliable source ya bei unayosema, weka hata invoice ya kiwanda chochote, unajichekeshaje mbele ya wanaume wenzio? Weka fact mezaniUna matatizo mkuu,hilo ni gazeti la Mwananchi la leo,limemnukuu muuzaji..
Kwamba Tzn hii umejenga wewe tuu sio? [emoji23][emoji23].Nimekwambia Bati ya Rangi geji 30 bei zake kwa mwaka huu ni Kati ya 25,000-27,000 kwa PC moja sawa na sh.432,000 kwa bando PCs 16 ..
Sasa hizi bei sio kupanda Sana kama unavyosema bali zimepanda kwa wastani na sababu zipo
View attachment 2022194
View attachment 2022195
View attachment 2022196