Nimeshangazwa na moja ya interview ya Mo Dewji akisema "hamjui Mayele kabisa"

Watu wengi mnarukiaga vitu bila kuwa na ufahamu wa kutosha. Sikiliza hiyo interview tena na sikiliza SWALI lililoulizwa na siyo jibu peke yake.

Kwa kukusaidia tu, kama nakumbuka vizuri aliulizwa "ukiacha mechi za Simba vs Yanga, kama ameshamuangalia Mayele", ndiyo maana akatoa jibu hilo.
 
Analia kwasababu amefungwa na Yanga na sio Mayele.
 
Mkuuu

Ahahaahha

Umepiga kwenye mshono
 
TAFUTA HELA KENGE WEWE,


🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
daaah combination ya ushamba na confidence ni hatari kwa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…