Nimeshangazwa na moja ya interview ya Mo Dewji akisema "hamjui Mayele kabisa"

Nimeshangazwa na moja ya interview ya Mo Dewji akisema "hamjui Mayele kabisa"

Umeelewa nilichokiandika hapo juu naona umekuja na povu tu.
Mo hamjui kabisa mayele na ndio hivyo anaona vi clip vyake TU , sisi ni kina nani tumlazimishe Mtu kumjua mtu mwingine
 
Daaah kwani kosa? Au katiba ya TFF inasemaje?kuhusu ilo
 
Umeelewa nilichoandika ?? Mimi nimefunua unafiki wa boss wenu huyo anayekuja mbele ya media nakuongea utumbo.
Wewe akili ndogo sana Mo big brain akili yako ndogo mno ,wewe mwenyewe haumjui mayele unamfahamu TU ,wewe sio mke wake,baba yake au ndg yake umjue ,nikuulize mayele kazaiwa wapi?anao watoto wangapi?birthday yake lini?anapenda kula chakula gani?marafiki zake ni kina nani?anapenda team gani ulaya?alizaliwa wapi?alisoma wapi ?kama hauna majibu haya ya maswali machache haumjui mayele unamfahamu TU ni mchezaji mzuri wa yanga.Akili yako ndogo hauwezi kuwelewa akili kubwa ndio maana matajiri hawajibu kama masikini.
 
Wewe akili ndogo sana Mo big brain akili yako ndogo mno ,wewe mwenyewe haumjui mayele unamfahamu TU ,wewe sio mke wake,baba yake au ndg yake umjue ,nikuulize mayele kazaiwa wapi?anao watoto wangapi?birthday yake lini?anapenda kula chakula gani?marafiki zake ni kina nani?anapenda team gani ulaya?alizaliwa wapi?alisoma wapi ?kama hauna majibu haya ya maswali machache haumjui mayele unamfahamu TU ni mchezaji mzuri wa yanga.Akili yako ndogo hauwezi kuwelewa akili kubwa ndio maana matajiri hawajibu kama masikini.
Umesikiliza interview au umekuja kutoa povu tu hapa we kenge maji popoma mkubwa.
 
Kwamba hajawahi kuona tukitetema?
Amuulize GENTA atamwambia.
 
Hata sis Ihefu jana tulifungwa lini mpaka sasa sijui ni nani aliye funga hayo magoli manne. Yupo sahihi. By the way kwani Yabga anayefunga n Mayele peke yake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Umesikiliza interview au umekuja kutoa povu tu hapa we kenge maji popoma mkubwa.
Narudia tajiri hawezi kujubu Kwa akili ya kimasikini kama yako ,masikini wanamakasiriko na mara zote wanaona matajiri hawana akili na wanakosea ,kiufupi tafuta Hela utajua kujibu kama matajiri.Ufupi wa akili yako unaweza kimasikini masikini
 
Back
Top Bottom