Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamdogo, utaweza?Oke okee
Nataman kusema neno hapa ila ngoja nijikaze tu 😀😀
Mambo madogo hayo siwezi shindwaMamdogo, utaweza?
Msamehe tuMnatiwa mbaroni wewe na mpenzi wako muda siyo mrefu,jipange kisaikolojia.Utajutia teknolojia.Dada huyo atajuta kufahamiana nawewe.
Sijakuambia kuwa uzichukue mie nimekuambia nipatie namba zake. Mana huyu tunaweza tukatengeneza naye ugonjwa tukawaletea waafrika baadaye tukawatengenezea chanjoHela nilizo nazo zinanitosha mkuu, sihitaji madili haramu ili nipate pesa za misukosuko
Ukishindwa kujikaza naomba unijulishe ili nikusaidie kukukaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oke okee
Nataman kusema neno hapa ila ngoja nijikaze tu [emoji3][emoji3]
😀😀😀😀😀😀unasemaaUkishindwa kujikaza naomba unijulishe ili nikusaidie kukukaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha utoto kijana hahaAsante sana mleta mada nimechukua hayo mawasialiano yako kwa ajili ya uchunguzi zaidi,kama kuna lolote tuaonana.
Asante
Kwa kifupi mleta mda anaonekana mwanaume chini ya miaka 30
Mwanamke inaonekana pia ni chini ya miaka 25,hajaolewa,hana kazi ya maana either ni mdangaji au anakaa kwa ndugu.
Jina la Angle ni kweli ni jina halisi la mwanamke
Mleta mada yupo sehemu ya mjini mana mtandao unasoma 4G tena Tigo.
Mleta mada ni kijana mwenye kipato kidogo mana anatumia simu ya infinix.
Hii conversation ni ya leo picha zinajieleza.
Polisi tunaanzia hapo.
Nimejitolea kutoa msaada pasi na kuhitaji ujira wowote, ni kama vile NGO zinavyowasaidia watu na taifa kwa ujumla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unasemaa
NakaziaAchana nae kwakweli ,haufai kuwa mume wake.Unapaniki haraka sana
Uoga wako ndo umaskini wakoMtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu kujiridhisha ni yeye kweliView attachment 2676117
Tukaendelea
View attachment 2676118
View attachment 2676120
View attachment 2676120
View attachment 2676122
Baada ya hizi text nikaona isiwe tabu nikampigia simu, the way alivokuwa anajibu maswali niliyokuwa namuuliza, naona kabisa huyu bubie yupo kwenye huu mtandao wa madawa, nimeamua kuachana nae.
Kitu kilichonishangaza anaongea kwa kujiamini sana, kwamba mama yake kakamatwa na mzigo mambo yote yashawekwa sawa anatoka, Ina maana serikali imekuwa laini kiasi hiki? Binafsi namuomba mungu kaamua kuyaweka haya mambo wazi mapema, Angeweza hata kuniletea shida wakati sijui lolote kuhusu haya mambo.