Nimeshangazwa na ukubwa wa biashara ya ukahaba Tiktok, kweli siku hizi haina haja kujipanga Riverside

Nimeshangazwa na ukubwa wa biashara ya ukahaba Tiktok, kweli siku hizi haina haja kujipanga Riverside

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Jana ika-pop up video ya live Tiktok mida ya jioni/usiku, zimejaa video za wadada kitandani wengine wakifanya biashara indirect huku wengine wakiwa tayari wamejiwekea price tag na zina viewers hatari. Tanzania watu wako mitandaoni, kila video inao watu... Nikakuta moja ya kidume kajiwekea live, ina viewers wawili tu!

Naona hii biashara imerahisishwa sana na teknolojia badala ya kwenda kwenye machimbo yao na kupambana na udhalilishaji wa Mkuu wa Wilaya... Lakini pia unaweza kukaa na mtoto kumbe akiwa zake ndani anaingia tiktok na kufanya biashara yake indirect wewe ukiwa sebuleni.

Ukahaba Tiktok.jpg
 
Jana ika-pop up video ya live Tiktok mida ya jioni/usiku, zimejaa video za wadada kitandani wengine wakifanya biashara indirect huku wengine wakiwa tayari wamejiwekea price tag na zina viewers hatari. Tanzania watu wako mitandaoni, kila video inao watu... Nikakuta moja ya kidume kajiwekea live, ina viewers wawili tu!

Naona hii biashara imerahisishwa sana na teknolojia badala ya kwenda kwenye machimbo yao na kupambana na udhalilishaji wa Mkuu wa Wilaya... Lakini pia unaweza kukaa na mtoto kumbe akiwa zake ndani anaingia tiktok na kufanya biashara yake indirect wewe ukiwa sebuleni.

Mkuu wa wilaya ubungo imeishia wapi
 
Jana ika-pop up video ya live Tiktok mida ya jioni/usiku, zimejaa video za wadada kitandani wengine wakifanya biashara indirect huku wengine wakiwa tayari wamejiwekea price tag na zina viewers hatari. Tanzania watu wako mitandaoni, kila video inao watu... Nikakuta moja ya kidume kajiwekea live, ina viewers wawili tu!

Naona hii biashara imerahisishwa sana na teknolojia badala ya kwenda kwenye machimbo yao na kupambana na udhalilishaji wa Mkuu wa Wilaya... Lakini pia unaweza kukaa na mtoto kumbe akiwa zake ndani anaingia tiktok na kufanya biashara yake indirect wewe ukiwa sebuleni.

Wakitoka fungia twita waje huku?
 
Jana ika-pop up video ya live Tiktok mida ya jioni/usiku, zimejaa video za wadada kitandani wengine wakifanya biashara indirect huku wengine wakiwa tayari wamejiwekea price tag na zina viewers hatari. Tanzania watu wako mitandaoni, kila video inao watu... Nikakuta moja ya kidume kajiwekea live, ina viewers wawili tu!

Naona hii biashara imerahisishwa sana na teknolojia badala ya kwenda kwenye machimbo yao na kupambana na udhalilishaji wa Mkuu wa Wilaya... Lakini pia unaweza kukaa na mtoto kumbe akiwa zake ndani anaingia tiktok na kufanya biashara yake indirect wewe ukiwa sebuleni.

Tiktok ndio mtaa gani huo tukathaminishe bidhaaa
 
Ukiachana na tik-tok, Kuna platform zipo huko unalipa pesa kuangalia watu wanapeana utamu live, wengine wamevaa mask wanafanya live webcam performances kama ngono, musturbate n.k, kuna wadada huko wanafanya hizo kazi na tunaishi nao mitaani kuwatambua ni ngumu wana mask, wanakuwa wanalipwa tips.

Ni hatari.
 
Wanaojipanga Riverside na maeneo kama hayo wanatarget tofauti kidogo, kukusanya buku mbili mbili, hadi kukuche ana mzigo wa maana. Mitandaoni ni bulk amount, ila inapatikana huenda once per day.
 
Kweli simu janja zina jua sana maana kama ww ni wa porn zitakuletea watu wako.. wa mpira zitakuleta site za mpira..wa dini zitakuletea dini..yani ukifungua tuu..so ni ww na matumizi yako....sasa unakutana na njemba pale kwny google search pamejaa porn sites..ujue huyo ni malaya au chaputa...
 
Back
Top Bottom